Nahitaji msaada wa kupata mwongozo wa ufanyikaji wa vikao vya baraza la wafanyakazi la Halmashauri

mkamanga original

JF-Expert Member
Jan 21, 2015
614
597
Wakuu naomba msaada wa kusaidiwa mwongozo wa vikao vya baraza La wafanyakazi LA Halmashauri .Ikiwa ni pamoja na
1.wajumbe wake
2. Ikidi
3. Meza kuu wanakaa watu gani
4. Linatakuwa lifanyike Mara ngapi kwa mwaka
5. Mwenyekiti wake anapatikanaje
 
Back
Top Bottom