Ukumbusho kwa Mama Samia kuwa kuendelea kupata Urais 2025 inahitaji akili mbovu.

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
2,553
2,992
Tunajua

Ndani ya chama cha Mapinduzi CCM kunatofauti nyingi mno zinazotokana na uchu wa madaraka,makundi mengi yanazuka kulingana na nani ananipa nini pia nitapata nini?

unazani kwa mtu kama Samia Suluhu afanye kitu gani ili kudhibiti mwendendo huu mbaya ambao unatishia kukiangusha chama cha mapinduzi??

jibu ni Moja kuna makundi makubwa ambayo yamejengwa ndani ya chama kutokana na madaraka au fedha hivyo kuna mambo hayo mawili ambayo yametengeneza makundi hivyo hata afanyaje ni ngumu mno kushawishi mtu wa muelekeo fulani kwenda upande mwengine.

Divide and Rule

ambapo ndani yake kuna njia kama kuharibu(destruction) mtandao wa mawasiliano ya hawa jamaa kupitia kupitia mambo yanayowaunganisha.(pesa au fedha ila sio kwa kiasi kikubwa).

Creativity anatakiwa kubuni mbinu za kuunganisha chama kulingana na msimamo wake na mwisho kuendeleza mazuri yaliyokuwepo ambayo kimsingi unayapata kwenye katiba yao ya chama.

nawasilisha.
 
Mtaka yote hukosa yote,Biblia inasema huwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati Mmoja,utampenda Mmoja na mwingine hatopata haki yake msingi.

Mwishowe akasema ya Caisar apewe Caisar na ya Mungu apewe yaliyo yake.Nuru na Giza huwezi kuwa navyo kwa wakati Mmoja.Chagua kimoja.
 
Tunajua

Ndani ya chama cha Mapinduzi CCM kunatofauti nyingi mno zinazotokana na uchu wa madaraka,makundi mengi yanazuka kulingana na nani ananipa nini pia nitapata nini?

unazani kwa mtu kama Samia Suluhu afanye kitu gani ili kudhibiti mwendendo huu mbaya ambao unatishia kukiangusha chama cha mapinduzi??

jibu ni Moja kuna makundi makubwa ambayo yamejengwa ndani ya chama kutokana na madaraka au fedha hivyo kuna mambo hayo mawili ambayo yametengeneza makundi hivyo hata afanyaje ni ngumu mno kushawishi mtu wa muelekeo fulani kwenda upande mwengine.

Divide and Rule

ambapo ndani yake kuna njia kama kuharibu(destruction) mtandao wa mawasiliano ya hawa jamaa kupitia kupitia mambo yanayowaunganisha.(pesa au fedha ila sio kwa kiasi kikubwa).

Creativity anatakiwa kubuni mbinu za kuunganisha chama kulingana na msimamo wake na mwisho kuendeleza mazuri yaliyokuwepo ambayo kimsingi unayapata kwenye katiba yao ya chama.

nawasilisha.
chama chenye makundi siku zote ni Madhubuti, Imara na kina afya na hai Kamili tele...
Maana yake ndani ya chama kuna watu wa kutosha, wenye sifa, uwezo na umahiri wa kuongoza...

kisichokua na makundi ni mfu na dhaifu sana..
 
Binafsi ningemuelewa sana iwapo angejikita tu kwenye kuandaa mifumo mizuri ya kiuongozi, angehakikisha mchakato wa katiba mpya pamoja na uwepo wa tume huru ya uchaguzi; vyote vinakamilika kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025!

Halafu angewaachia sasa watu wapambane wenyewe kwenye uchaguzi huru na wa haki. Ila nfiyo hivyo tena!! Tamaa ya kuendelea kubakia madarakani imeshamzidi nguvu.
 
Tunajua

Ndani ya chama cha Mapinduzi CCM kunatofauti nyingi mno zinazotokana na uchu wa madaraka,makundi mengi yanazuka kulingana na nani ananipa nini pia nitapata nini?

unazani kwa mtu kama Samia Suluhu afanye kitu gani ili kudhibiti mwendendo huu mbaya ambao unatishia kukiangusha chama cha mapinduzi??

jibu ni Moja kuna makundi makubwa ambayo yamejengwa ndani ya chama kutokana na madaraka au fedha hivyo kuna mambo hayo mawili ambayo yametengeneza makundi hivyo hata afanyaje ni ngumu mno kushawishi mtu wa muelekeo fulani kwenda upande mwengine.

Divide and Rule

ambapo ndani yake kuna njia kama kuharibu(destruction) mtandao wa mawasiliano ya hawa jamaa kupitia kupitia mambo yanayowaunganisha.(pesa au fedha ila sio kwa kiasi kikubwa).

Creativity anatakiwa kubuni mbinu za kuunganisha chama kulingana na msimamo wake na mwisho kuendeleza mazuri yaliyokuwepo ambayo kimsingi unayapata kwenye katiba yao ya chama.

nawasilisha.
We huijui CCM, hakuna atakayechukua fomu ya kugombea urais zaidi ya Samia na hakuna makundi kuna kundi moja tu la Samia. Wa-CCM wana nidhamu ya hali ya juu sana.
 
Binafsi ningemuelewa sana iwapo angejikita tu kwenye kuandaa mifumo mizuri ya kiuongozi, angehakikisha mchakato wa katiba mpya pamoja na uwepo wa tume huru ya uchaguzi; vyote vinakamilika kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025!

Halafu angewaachia sasa watu wapambane wenyewe kwenye uchaguzi huru na wa haki. Ila nfiyo hivyo tena!! Tamaa ya kuendelea kubakia madarakani imeshamzidi nguvu.
Mamako anaweza kugombea?
 
Back
Top Bottom