TUNAHITAJI parliamentary democracy (system ) sio kuendelea chini ya Presidential democracy (system )

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,026
12,338
Awali ya yote wacha niweke wazi kuwa mimi sio muumini wa Presidential system ila ni mfuasi mkubwa wa Parliamentary system.

Kwa kweli kwa namna yoyote ile kama taifa tulikosea pakubwa wakati Nyerere anakabidhiwa nchi kwa kuhamisha mfumo wa Taifa kutoka mamlaka kwa bunge kwenda mamlaka yote kuhodhiwa na taasisi ya Urais.

Hilo kwangu lilikuwa kosa kubwa, kwa hakika kwa sasa kama taifa tunaumizwa na huu mfumo wa Presidential system ambao rais kwa kiasi kikubwa ndie muamuzi wa kila kitu hapa nchini bunge ni jumba la makumbusho tu halina maana wala nguvu yoyote kiasi hicho dhidi ya Rais.

Huu mfumo wa Presidential system kwa kiasi kikubwa hapa nchini unaondoa uwajibikaji unaohitaji kwa Rais ni kwa namna gani mtaweza kumfuta Rais na kuchagua mwingine kwa kipindi kifupi kutokana na upuuzi wowote atakao fanya( hapana hii itakuwa ngumu sana).

Ila Parliamentary system kwa kiasi kikubwa unaongeza uwajibikaji kwa mawaziri na waziri mkuu muda wowote anaweza wajibishwa kwa namna yoyote na kuchaguliwa mwengine atakaye sogeza gurudumu la taifa mbele bila shida yoyote.

Kwenye Parliamentary democracy waziri mkuu hawezi kusema nimeamua kukaa kimya katika ajenda kubwa inayo endelea kulitikisa taifa lazima alazimishwe na bunge mara moja atoe maelekezo akishindwa moja kwa moja anawajibishwa na bunge.

TURUDI PARLIAMENTARY DEMOCRACY TULIO ACHIWA NA MKOLONI NA KUACHANA NA HUU UPUUZI WA PRESIDENTIAL DEMOCRACY MARA MOJA
 
Tulianza na hiyo, wabunge walimchachafya kweli Nyerere ile 1961-1962. Akasema 'sisi' hatuoni sababu ya kutenganisha cheo cha mkuu wa nchi na mkuu wa serikali.

'Tunataka' mkuu wa serikali awe na utukufu kama wa malkia / mfalme wa uingereza na majukumu kama ya waziri mkuu wa uingereza.

Lakini kusema ukweli ni yeye ndiye alitaka hivyo, na sio 'sisi'. Inawezekana ilikuwa ni muhimu kufanya hivyo kwakua nchi ilikuwa changa na rahisi kuhujumiwa kiongozi asipokuwa na nguvu.

Lakini alikuwa na nafasi ya kurekebisha haya kabla hajaondoka. Kwa bahati mbaya alikuja kugundua makosa yake akiwa amechelewa sana. Akajaribu ku push mabadiliko lakini mwisho wa siku tumeishia kuwa na mfumo ulipo sasa.
 
Tulianza na hiyo, wabunge walimchachafya kweli Nyerere ile 1961-1962. Akasema 'sisi' hatuoni sababu ya kutenganisha cheo cha mkuu wa nchi na mkuu wa serikal...
Kosa kubwa alilokuwa nalo mwalimu ni kuhofia madaraka yake kupokonywa au kuwa shakani lakini sio uimara wa taifa that's why aliogopa mfumo alioachiwa ikamfanya aunde mfumo madaraka yote ahodhi hapa ndipo kosa kubwa lilipo fanyika watawala walio futia wanatumia hii fimbo kutuumiza kama alivyofanya yeye wakati wake
 
Awali ya yote wacha niweke wazi kuwa mimi sio muumini wa Presidential system bali ila ni mfuasi mkubwa wa Parliamentary system.

Kwa kweli kwa namna yoyote ile kama taifa tulikosea pakubwa wakati Nyerere anakabidhiwa nchi kwa kuhamisha mfumo wa Taifa kutoka mamlaka kwa bunge kwenda mamlaka yote kuhodhiwa na taasisi ya Urais.

Hilo kwangu lilikuwa kosa kubwa, kwa hakika kwa sasa kama taifa tunaumizwa na huu mfumo wa Presidential system ambao rais kwa kiasi kikubwa ndie muamuzi wa kila kitu hapa nchini bunge ni jumba la makumbusho tu halina maana wala nguvu yoyote kiasi hicho dhidi ya Rais.

Huu mfumo wa Presidential system kwa kiasi kikubwa hapa nchini unaondoa uwajibikaji unaohitaji kwa Rais ni kwa namna gani mtaweza kumfuta Rais na kuchagua mwingine kwa kipindi kifupi kutokana na upuuzi wowote atakao fanya( hapana hii itakuwa ngumu sana).

Ila Parliamentary system kwa kiasi kikubwa unaongeza uwajibikaji kwa mawaziri na waziri mkuu muda wowote anaweza wajibishwa kwa namna yoyote na kuchaguliwa mwengine atakaye sogeza gurudumu la taifa mbele bila shida yoyote.

Kwenye Parliamentary democracy waziri mkuu hawezi kusema nimeamua kukaa kimya katika ajenda kubwa inayo endelea kulitikisa taifa lazima alazimishwe na bunge mara moja atoe maelekezo akishindwa moja kwa moja anawajibishwa na bunge.

TURUDI PARLIAMENTARY DEMOCRACY TULIO ACHIWA NA MKOLONI NA KUACHANA NA HUU UPUUZI WA PRESIDENTIAL DEMOCRACY MARA MOJA
Nyerere alifanya hivyo ili kuzima ukosoaji dhidi yake na kujilimbikizia madaraka....huo ndio mfumo aliourithisha hata Ccm.
 
Hili wengi tunaojitambua tumeliongelea Sana. Lakini Kwa hapa kwetu chanzo na mwendelezo wa tatizo unajulikana. Walioko madarakani wanajitahidi kudumisha Hali iliyopo (Status quo) Kwa vile inalinda maslahi yao binafsi hata kama haigusi maslahi ya Taifa.
 
Awali ya yote wacha niweke wazi kuwa mimi sio muumini wa Presidential system bali ila ni mfuasi mkubwa wa Parliamentary system.

Kwa kweli kwa namna yoyote ile kama taifa tulikosea pakubwa wakati Nyerere anakabidhiwa nchi kwa kuhamisha mfumo wa Taifa kutoka mamlaka kwa bunge kwenda mamlaka yote kuhodhiwa na taasisi ya Urais.

Hilo kwangu lilikuwa kosa kubwa, kwa hakika kwa sasa kama taifa tunaumizwa na huu mfumo wa Presidential system ambao rais kwa kiasi kikubwa ndie muamuzi wa kila kitu hapa nchini bunge ni jumba la makumbusho tu halina maana wala nguvu yoyote kiasi hicho dhidi ya Rais.

Huu mfumo wa Presidential system kwa kiasi kikubwa hapa nchini unaondoa uwajibikaji unaohitaji kwa Rais ni kwa namna gani mtaweza kumfuta Rais na kuchagua mwingine kwa kipindi kifupi kutokana na upuuzi wowote atakao fanya( hapana hii itakuwa ngumu sana).

Ila Parliamentary system kwa kiasi kikubwa unaongeza uwajibikaji kwa mawaziri na waziri mkuu muda wowote anaweza wajibishwa kwa namna yoyote na kuchaguliwa mwengine atakaye sogeza gurudumu la taifa mbele bila shida yoyote.

Kwenye Parliamentary democracy waziri mkuu hawezi kusema nimeamua kukaa kimya katika ajenda kubwa inayo endelea kulitikisa taifa lazima alazimishwe na bunge mara moja atoe maelekezo akishindwa moja kwa moja anawajibishwa na bunge.

TURUDI PARLIAMENTARY DEMOCRACY TULIO ACHIWA NA MKOLONI NA KUACHANA NA HUU UPUUZI WA PRESIDENTIAL DEMOCRACY MARA MOJA
Naunga mkono hoja.
P
 
Nyerere alifanya hivyo ili kuzima ukosoaji dhidi yake na kujilimbikizia madaraka....huo ndio mfumo aliourithisha hata Ccm.
Huu mfumo sio mzuri kwa maendeleo ya nchi ila mzuri kwa watawala kuwa more powerful
 
Umeleta hoja makini sana kiongozi, naiunga mkono kwa asilimia zote.

Wakoloni wetu wa zamani Uingereza na Ujerumani wanatumia huo mfumo

Waziri mkuu hawezi kuwaambia eti nimeziba masikio ataamka asubuhi na kujikuta hana kazi.
Kiongozi kukaa kimya au kuziba masikio bila kujibia ajenda kubwa za taifa tafsiri yake ni dharau kwa waliomchagua na kwa vile hakuna njia yoyote nyepesi ya kumlazimisha kujibia au kumuwajibisha katika nafasi aliyopo huo ukimya utaendelea kuliumiza taifa.

Huwezi kuliambia bunge kuwa nimeziba masikio na sitaki kuongoe chochote na wewe ni waziri/waziri mkuu lazimisha litakuwajibisha mara moja na hiyo nafasi kupisha watakao weza kuitendea kazi
 
Back
Top Bottom