Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 6,925
- 7,936
Nani kakuambia mashoga hawagongi k mzee? Tena usikubali mke wako awe na rafiki shoga wale jamaa wanapiga mashine kama kawaida ila wanapenda kupiga wanaume wenzao, ila ukiona demu wako yuko karibu nao jua huwa anapashwa pashwa mara mojamoja ila siyo starehe zao wanawake.
Hapo umetuongopea mkuu, Mashoga huwa hawapendi/hawaenjoy kufanya mapenzi na wanawake. Kwa wanawake wanafata kampani tu na si mahusiano. Unless otherwise una lako jambo.