ushoga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    JamiiForums Tanzania Yasemavyo maandiko kuhusu ushoga

    Yasemavyo maandiko kuhusu ushoga Ushoga ni nini Ushoga ni ile hali ya mwanaume au mvulana kujihusisha kingono na mwanaume au mvulana mwingine kinyume na maumbile. Uhusiano wa jinsia moja katika kipindi cha mababu katika Biblia Mapenzi ya Mungu kuhusu ngono ya binadamu ni nini hasa? Mapenzi...
  2. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Chama cha democrat kimegeuka kuwa chama cha vurugu kutokana na wao kutengeneza alliance na ideas za ukomonisti, trans fury (ushoga) na itikadi kali

    DEmocrat ya sasa sio ile ya wakina clinton na kurudi nyuma. Ni chama kilichogeuka kuwa na sera ambazo zinazopinga utamaduni wa kimagharibi. Ni chama kilichogeukia usasa wa ushetani na matakwa yasioendana na utamaduni chanya wa binadamu. Ndio maana leo tunaaona vikundi vinavyofaziliwa na...
  3. ngara23

    JamiiForums Tanzania Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

    Nampongeza sana Waziri Dr Dorothy Gwajima ( wazara yake siijui vyema) Kwa kuthubutu kupinga uchafu wa ushoga ambao ni kinyume cha maadili ya Mtanzania na mtu mweusi Kwa ujumla Ushoga na usagaji ni kinyume cha nature yaani maumbile Vita dhidi ya agenda ya ushoga ni ngumu mno Nadhani hapa...
  4. jimama26

    JamiiForums Tanzania Mama Dorothy Gwajima suala la ushoga hulioni? Mbona linazidi kushika kasi? Umenyamazishwa?

    Kwako Mama Dorothy Gwajima. Natumai unaendelea vizuri na majukumu yako. Hivi Mama Gwajima, suala la ushoga hapa nchini Tanzania unaliona linavyozidi kasi au hulioni? Nakuelekezea wewe hii mada nikiamini kabisa ni eneo unaloliweza vilivyo tu, ila siku hizi umelikalia kimya, kama halikuhusu...
  5. petro matei

    JamiiForums Tanzania Nimesoma kitabu chote cha Mtumishi wa Mungu Dana Morey sijaona viashiria vyovyote vya ushoga

    Yes! nimesoma kitabu chote kimenibariki sana kwa Neno la Mungu, sijaona hata Maneno au habari mbaya zilizo na viashiria vya ushoga hakika. Nimebaki najiuliza waliompa taarifa Mkuu wa mkoa JE ni rangi ya nje ya kitabu au rangi ya mipira maana pia Haina rangi za upinde wa mvua (Rainbow) Kwa...
  6. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo cha kusambaa Kwa ushoga Tanzania?

    Nini chanzo cha kusambaa Kwa ushoga Tanzania? Jee ni: 1. Umaskini 2. Kupungua kwa ushawishi wa dini kwa jamii? 3. Malezi ya hovyo kwa watoto? 4. Maendeleo ya teknolojia ya kupashana habari? 5. Kufuata Mila za mataifa ya nchi nyingine. Jee tabia hizi pia zimeathiri mahusiano kati ya wanaume...
  7. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe akataa Kupinga USHOGA asema "Naheshimu Faragha Za Watu"

    Baada ya Chief Odemba kumbananisha Zitto Kabwe na kuambiwa hadharani aping ushoga, kulingana na maadili ya Tanzania na Nchi nyingi za Afrika, watu walitegemea atapinga ushoga kwa kauli moja tu. Badala yake alikwepa na kusema yeye anaheshimu faragha za watu. Jambo lililotafsiriwa kama...
  8. Keynez

    JamiiForums Tanzania Ni nchi gani ambayo Marekani imewahi kuwapelekea na kuwalazimisha ushoga?

    Kuna wapuuzi wanadhani hatuna akili kama wao. Tunapolalamikia ukiukwaji wa haki za binadamu, utawala mbovu usiofuata misingi ya sheria, ubadhilifu wa mali za umma, rushwa, utekaji na mauaji ya watanzania wasio na hatia, wanatuambia Marekani na "wazungu" wakishirikiana na baadhi ya watu waliopo...
  9. Pakome

    JamiiForums Tanzania Kulikoni mtandao wa TikTok kutawaliwa na maudhui ya Ushoga!

    Mtandao wa TikTok umetawaliwa na maudhui ya Ushoga Umekuwa ni mtandao uliojaa maudhui ya vijana wa kiume wanaojihusisha na ushoga wakijipamba, kunengua viuno na kuonesha miondoko ya kike Je umegeuzwa kuwa dating website ya mashoga? Kinachonipeleka TikTok ni kupata elimu ya Magari Baada ya...
  10. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Urais NRA: Tutatunga sheria ngumu dhidi ya ushoga

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA), Hassan Almas, ameahidi kuwa iwapo chama chake kitapewa ridhaa ya kuongoza nchi, serikali yake itatungua sheria kali dhidi ya mapenzi ya jinsi moja ndani ya siku 30 baada ya kuundwa kwa...
  11. mkokamoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada tafadhari: Tiktok inamfundisha shemeji yangu ushoga

    Habarini wana jukwaa!!! Tujikumbushe tu oktoba hakuna uchaguzi utayeyuka shwaaa🤓 Nina shemeji yangu wa miaka ishirini ambaye yuko chuo cha uuguzi likizo hii yupo kwangu Anapenda mitandao ya kijamii balaa hasa hii ya kuitwa Tiktok, toka likizo ianze dogo kawa mtu wa kuingia live...
  12. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Apps zinazoshabikia Ushoga zifungiwe

    Zipo apps zinaunganisha wapenzi wa jinsia moja katika eneo walilopo. Humo wamejaa wanachuo, bodaboda na mabazazi. Dakika 5 nyingi mtu huyu hapa anatwetwa kama Una geto ununue na bia/konyagi uweke geto ndo basi tena. Yaan daily kama wanaambiana. Ni hatari ndugu zangu vijana wamekwisha/oza.
  13. Mende mdudu

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya EFM ya dada VERONICA mpya ya leo ina viashiria vya kupromote ushoga

    Hadithi zake zina mafundisho ila leo ameanza hadithi mpya. katika pitapita zangu nimekutana nayo ila maudhui yake hayendani na tamaduni zetu, Mtoto wa form one ana rafiki mzungu mara wana pigiana simu video call waogeshane. Kwa video call mzungu na uyo kijana wote wakiume ata kama una...
  14. Mshana Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushoga na usagaji changamoto zinazowatesa wengi kimyakimya kwenye familia na kwenye ndoa

    NB: Maslahi ya uzi; Hii mada nimeombwa niiandike na mdau wa hapa JF ambaye ni mwathirika wa muda mrefu lakini sasa anaendelea vema Yeye ni shoga kwa ajali na mkewe ni msagaji kwa ajali pia kutokana na mazingira ya makuzi na elimu.. Wote walizaliwa bila hizo kasoro.. Mwanaume akafundishwa na...
  15. byeyombo

    JamiiForums Tanzania Inaarifiwa kwamba Suala la Ushoga limeanza kuongezeka kwa kasi Mkoa wa Mara

    Inaarifiwa kwamba Suala la Ushoga limeanza kuongezeka kwa kasi Mkoa wa Mara ambapo Kuna danguro la ushoga, huku baadhi ya watumishi wa umma wakiwemo kwenye kundi la ushoga.
  16. snipa

    JamiiForums Tanzania Muonekano wa Logo ya Vodacom wanayotumia X kuunga mkono Ushoga.

    Kampuni zinapofanya modifications kwenye logo zao nakuzitumia, kunakuwaga na mawazo tofauti, lakini hili la vodacom litaleta mitizamo tofauti hasa kwa tusiosupport LGBTQ. Hii ni account ya X inayomilikiwa na kampuni mama ya Vodacom SA ambao ndio wamiliki wa Vodacom TZ
  17. Mag3

    JamiiForums Tanzania Je, matibabu ya Kitanzania (Tanzania Treatment) ni utamaduni wa Kitanzania? Kwanini tunapiga vita ushoga?

    Watanzania wote waliotendewa vitendo viovu kama hivi kwa kawaida hukaa kimya na kwa aibu hawathubutu kusimulia kwa undani yaliyowakumba kwenye kinachodaiwa matibabu ya Kitanzania? Je kuna uwezekano kwamba watekaji pamoja na viongozi wanaowatuma kufanya hivi vitendo nao hupitia hayo matibabu ya...
  18. Kant Ombe

    JamiiForums Tanzania Nchi 10 Zenye Idadi Kubwa ya Watu wa LGBTQ+ (2023/2024)

    Nchi 10 Zenye Idadi Kubwa ya Watu wa LGBTQ+ (2023/2024) | Nchi | Idadi ya LGBTQ+ (Makadirio) | Asilimia ya Watu | Sheria za LGBTQ+ | Marekani | ~31 million | ~9.2% | Ndoa halali (2015) | | Brazil | ~20 million | ~10% | Ndoa halali (2013)...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Mbunge Bunge la Ulaya: Pesa zetu za Umoja wa Ulaya zinatumika kusaidia Serikali kandamizi Tanzania

    MAZITO YAJADILIWA KATIKA BUNGE LA ULAYA, TUNDU LISSU KESI YA UHAINI, ALI KIBAO KUUAWA,,WATU KUPOTEZWA N.K https://m.youtube.com/watch?v=4QH2juya5sk Wabunge wa Bunge la Ulaya wasema kuwa zile 4R za rais Samia Hassan zimetuhadaa Misaada mfano €160,000,000 na mingine mingi ya EU inatumika...
  20. DeepPond

    JamiiForums Tanzania Papa mpya Robert Prevost kachaguliwa kimkakati

    Kwa kuangalia cv ya papa mpya, Cardinali Robert provost Toka marekani. Ndiye ndiye aliekuwa mshauri mkuu WA papa Francis aliyefariki, na wakatoliki duniani kote tunakumbuka vema papa Francis aliefariki alivokuwa akitoa kauli tata Sana kuhusu ajenda zinazohusu mashoga na ushoga kiujumla. Na kwa...
Back
Top Bottom