Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,675
- 22,265
Wenzako walipotakiwa kuonesha hiyo sheria mahakamani walishindwa wewe bado unsng'ang'ania matakwa ya CCM!Kisheria hairuhusiwi kuingia na simu ikiwa imewashwa ndani ya chumba au eneo kesi inapoendeshwa; acheni kuingiza siasa kwenye masuala ya kisheria. Kuchambua ushahidi kwenye mitandao ni kuilekeza mahakama namna ya kufikia uamuzi kitu ambacho ni kosa