Iboya=boyamwisho wa mbowe ni huu hamuwezi kushindana na huu ushahidi unamfunga mbowe ni gaidi
Mkuu uwe unaangalia ni nani unabishana nae !!, huyo zoba anafikiri watu wote wanaochati hapa JF wako mtaani, akili ya mataga isikusumbue sana, hao ccm ndio inawapenda wanaofikiria matumbo peke yakeKwani mtu hawezi kuwa kazini au shambani au kwenye biashara yake huku akifuatilia yanayoendelea JF???
Kifungu gani cha sheria kinasema hivyo...?embu kiweke otherwise utakuwa ni umama huo..Kisheria hairuhusiwi kuingia na simu ikiwa imewashwa ndani ya chumba au eneo kesi inapoendeshwa; acheni kuingiza siasa kwenye masuala ya kisheria. Kuchambua ushahidi kwenye mitandao ni kuilekeza mahakama namna ya kufikia uamuzi kitu ambacho ni kosa
sio rahisi ivo mkuu,mwisho wa mbowe ni huu hamuwezi kushindana na huu ushahidi unamfunga mbowe ni gaidi
Kamwe ubaya na dhuluma havitashinda haki.Polisi: Hakuna kuingia /kuingia na simu mahakamani
Mahakama:Rugemalira wa escrow upo huru...
Msajili wa mahakama anaweza kutoa go ahead ila je kwa tanpol watatii huo mhimili unaopaswa kuwa huru?
GoodPart 1.
Jaji Mustapha Siyani, anaingia ndani ya chumba cha mahakama. Saa tatu na dakika hamsini, saa za Afrika ya mashariki.
Mawakili wa Jamhuri wanajitambulisha...
Taja hicho kifungu cha sheria kinachokataza watu kuingia mahakamani na simu zikiwa zimewashwa acha kubwanbwaja ujingaKisheria hairuhusiwi kuingia na simu ikiwa imewashwa ndani ya chumba au eneo kesi inapoendeshwa; acheni kuingiza siasa kwenye masuala ya kisheria. Kuchambua ushahidi kwenye mitandao ni kuilekeza mahakama namna ya kufikia uamuzi kitu ambacho ni kosa