Kenge (Eng)
JF-Expert Member
- Dec 7, 2006
- 543
- 156
Shahidi no. 2 hajamtaja Mh. Mbowe sehemu yoyote.
Bado shahidi 23.
Bado shahidi 23.
Papai wewe.Tena kale ka Martin kaunganishwe kwenye kesi kale
Sheria ipi wewe au unabwabwaja tu.Kisheria hairuhusiwi kuingia na simu ikiwa imewashwa ndani ya chumba au eneo kesi inapoendeshwa; acheni kuingiza siasa kwenye masuala ya kisheria. Kuchambua ushahidi kwenye mitandao ni kuilekeza mahakama namna ya kufikia uamuzi kitu ambacho ni kosa
Wamezoea kufanya ubabe wao kila mahali sasa wamwekewa brekiaisee..... yaani jeshi linafanya kazi bila vifungu cha sheria bila kujua kwamba ukiwa mahakamani ukitoa kauli lazima uisindikizie na sheria. kazi ipo tena pevu.
washauri wenyewe wengi wao ni Vi- Kingai kingai tupuNina hofu na mashaka juu ya IQ za washauri wa mheshimiwa rais.
DuuhFreeman Mbowe na wenzake wameletwa tayari. Lakini ulinzi mkali umeimarishwa. Askari wengi. Pia kuna zuio la watu kuingia ndani ya mahakama. Wanasema ni mawakili 20 tu, wanahabari 10 (leo wameruhusiwa), ndugu 5, Viongozi 5, lakini simu marufuku...
Jau sanaHivi viongozi huwa wanasahau kuwa Dhuluma haiwezi kuishinda haki!?..
Sijui akili zao zikoje jamani.
Nchi yangu itaangamia kwa ukosefu wa maarifa!
Hii ndy bongoNi swala la muda tuu
Ccm ibaki ya wanawake. Kuna muda ukifika bado kuna mwanaume ndani ya ccm basi apimwe akili
Rejea kauli ya rais