Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,482
- 6,502
Wamejilipua kweli mpaka kuuweka wazi waraka wao. Kina Sheikh Ponda watakuja na waraka wao wa kuunga mkono uwekezaji bandarini na hapo pataibuka kutokuelewana kati ya dini hizi mbili.
Sioni kama ni hekima kwa TEC kuja na waraka muda huu huku wakifahamu kuwa waislam wanasimama na mheshimiwa SSH. Walichokifanya sio heshima kwa mamlaka ya juu ya nchi.