Hii ni baada ya kutakiwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa kesi za kubambika.
====
Rais Samia Suluhu: Kwenye suala la wingi wa mahabusu, labda niseme kwamba jana nikiapisha majaji nililigusia hili, uharakishwaji wa kesi na nimezitaka taasisi zote ikiwemo jeshi la polisi ambalo...
As investors look at safe bets during the pandemic, nothing could be more attractive than government bonds. But is Tanzania the right place to do this? De Carnys Capital LTD CEO, Jim Coleman joins CNBC Africa for more.
De Carnys Capital announces Tanzanian loan note - CNBC Africa
Anasema ile sheria inayozuia mtu asiye mwalimu mkuu kuadhibu wanafunzi kwa viboko imekosewa.
Rais Magufuli amesema haya...
Nilikuwa nazungumza na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, nikamwambia ulitakiwa uwatandike viboko kwelikweli na uwafukuze shule, na natangaza hapa kuwa wale wanafunzi wote...
Viongozi wa muda wa ACT Mkoani Mwanza wanahojiwa na Star TV kwenye kipindi cha medani za siasa. Mtangazaji ni Yvonne Kamuntu. Wanasema hadi sasa wana wanachama mikoa 18 ya Tanzania bara ambao wanakidhamini ili wapate usajili wa kudumu.
Ni Diwani wa kata ya Chigunga Hoja Mkalyamu. Ni mabati 14 yalitolewa na mbunge wa Busanda Lolencia Bukwimba. Ameamriwa kuyarudisha ndani ya siku 14 baada ya kukiri kosa hilo.
source: Tanzania Daima.
Ni baada ya kukataa kurudisha kabrasha linalodaiwa kuwa na majina feki ya walipwa fidia kwenye shamba la katani lillorudishwa toka kwa mwekezaji. Anadai kachaniwa blauzi na kupoteza Tshs 5,000.000/=. Kafungua jalada polisi.
Source: Wapo Radio.
Hawako hewani si redio wala luninga. Hakuna sababu yoyote iliyotolewa zaidi ya mtangazaji wa zamu kusema anasikitika hakutakuwa na matangazo toka bungeni hadi tutakapoarifiwa tena.
Wana JF Tumsikilize atakachoongea. Kutakuwa na fursa ya kumuuliza maswali live!
Updates: Ameanza na hivi anaeleza kulikuwa kuna kesi 257 mwaka 2011/2012 na wakaokoa zaidi ya bilioni 9.
Ni baada ya rufaa yake kutupiliwa mbali na mahakama kuu Iringa leo hii. kwenye rufaa hiyo namba 13/2010 wakili wa Makalebela alikuwa akidai kuwa hati ya mashtaka haitengenezi kosa la jinai. hii ni kwenye rufaa
aliyokata kupinga kushtakiwa kwake na takukuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.