kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,751
- 595
hawako hewani si redio wala luninga.
Wanamficha waziri mkuu asiumbuke kwa ugaidi make nasikia kambi ya upinzani inatka maneno yote yaliyosemwa na mbunge wa ccm hasa mwigulu kuwa chadema ni chama cha kigaidi yafutwe kwenye harnsad za bunge, inaitajika kauli ya waziri mkuu na spika.
Wakuu, mbona mnaongelea kitu ambacho hamna uhakika nacho? Ni bora tukafanya subira ili tupate ukweli juu ya nini kimetokea. Kwani ni haki ya wananchi kupata matangazo ya bunge. Wabunge tumewachagua kwa kura zetu na hivyo ni vyema tukatumia muda huu wa bunge kupima uwezo wao ili tuamua kama 2015 tuwe nao tena au tuchague wengine wanaotuwakilisha vizurihiki chombo kwa kweli akina nguvu ata kidogo TBC ina matatizo mengi sana kiuchumi kati mashirika ya serikali yalitelekezwa na kupewa watendaji vibaraka ni TBC hali yake ni mbaya sana kile kipindi cha kusoma taarifa ya habari kwa kutumia kibatari pale RTD (TBC TAIFA) NYERERE ROAD. inarudi akika.
"NI BORA KUPIGANA NA MTU ANAESIKIA KULIKO KUPIGANA NA KIZIWI KWANI ATA KAMA AMEKUZIDI NGUVU HAWEZI KUKUACHA HADI DAMU IKUTOKE"
Bila shaka umetumwa kuandika hayo. Si kila kitu kuingiza siasa mkuu. Tunatakiwa kutafakari kwa pamoja na kuwa na msimamo wa pamoja. Kwani naamini hata wafuasi wa ccm pia hawafurahii hali hiyoHawana lolote nguvu ya uma ikiamua hakuna kurudi nyuma, badala wawe bize kutekeleza ahadi za Raisi na ilani ya CHAMA chao wao bize kufukuzana na upepo! SI wa uache upite tu Kama walivyoamuriwa na Mukulu!
Mkuu, usije kuingia jehanamu kwa kusema uongo na kuwazulia watu uongo.Kuna kipindi watajikuta wanashindwa kutangaza chochote kwa kuhisi sasa kila kitu kiko against CCM. Manake mambo yanazidi kuongezeka kila siku. Bora waanze kuachane na matangazo yote tu kuanzia sasa, wapige taarabu manake mitaa ya pwani ina washabiki wengi.