kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,751
- 595
Ni baada ya kukataa kurudisha kabrasha linalodaiwa kuwa na majina feki ya walipwa fidia kwenye shamba la katani lillorudishwa toka kwa mwekezaji. Anadai kachaniwa blauzi na kupoteza Tshs 5,000.000/=. Kafungua jalada polisi.
Source: Wapo Radio.
Source: Wapo Radio.