SIKU moja baada ya kumalizika kwa msimu wa 2021/22, Yusuf Bakhresa, mmoja wa wakurugenzi wa Azam FC alitangaza vita kwenye mbio za ubingwa katika msimu unaofuata, 2022/23.
Majina ya wachezaji wenye hadhi kubwa pamoja na wataalamu kwenye benchi la ufundi wakashushwa Chamazi kwa mbwembwe kubwa...
Ukweli ni kwamba, hutakiwi kujichosha kuwa mwanamume anayemtaka mwanamke hatofanikiwa. Na sio wewe tu, tangu dunia hii ianze hakuna mwanaume aliyefanikiwa kwenye hilo.
Wakati mwanamume anataka mwanamke ambaye labda anampenda na kumuheshimu tu, wanawake wenyewe wanataka mwanaume mwenye mwili wa...
YESU WAWILI
Picha ya ukubwa wa futi 15 kwa futi 29 kwenye ukuta wa kanisa, The Last Supper ya mchoraji Leonardo da Vinci, inayoonyesha mlo wa mwisho kati ya Yesu na wanafunzi wake kabla ya kukamatwa; muda mfupi baada ya Yesu kumtamkia Yuda kuwa atamsaliti, inaweza kuwa ndiyo kazi ya sanaa...
HII NDIO MAANA YA KUSHAURI KWA VITENDO
SANT'AGATA, Bolognese ni makao makuu ya supercars aina ya Lamborghini. Maranello, Modena, ndio HQ ya Ferrari. Kutoka Sant'Agata kwenda Maranello ni umbali wa kilometa 34. Miji hiyo ipo Italia.
Mwasisi wa Ferrari ni Enzo Ferrari na Lamborghini godfather...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Moja kwa moja mwenye mada husika, leo nikiwa naelekea Makumbusho nilifanikiwa kupita uwanja wa Mwembeyanga uliopo jirani na chuo cha Bandari na kushuhudia mashine zikichota mchanga mpaka sasa sijajua nini kinachoendelea pale au wanataka...
SIFA
1. Umri usizidi miaka 30
2. Awe anajua kuzungumza lugha ya Kiswahili na Kiingereza kwa ufasaha.
3. Awe na lugha nzuri kwa wateja na wafanyakazi wenzake.
4. Ajue kutumia kompyuta, Microsoft Office
5. Location ni Makumbusho, Dar es Salaam.
6. Awe na CV
Mawasiliano ni 0735093062
Mfanyakazi wa usafi anahitajika. Atakuwa anafanya usafi kwenye hosteli
Mahali: Mtoni Kwa Aziz Ally
Sehemu ya kulala bure, aje na begi lake na nguo zake tu.
Jinsia: KE
Hakuna kigezo cha umri.
Mshahara wa kuanzia ni 100k
Kikubwa awe na akili timamu na mchapakazi
Piga simu : 0694139204...
Habari zenu.
Siku za hivi karibuni kumezuka kuwepo kwa neno"UNYAMA". Mfano mtu anamuliza Extrovert
"Wee jamaa mbona hela yangu haunilipi tangu nikukope?"
Extrovert anajibu "huku ni unyama unyama mwanangu"
Hivi ili neno "unyama" lina maana gani?
Juzi siku ya Ijumaa tarehe 26 Novemba 2021, kampuni pendwa ya mawasiliano ya Tanzania, TTCL ilizindua kifurushi cha BUFEE PACK ili kuendelea kutanua wigo wa mawasiliano nchini.
Kuelekea msimu huu wa sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya TTCL haiwaacha nyuma wateja wake. Imezindua kifurushi kipyaa na...
Mbeya.
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wawili akiwemo mwalimu wa shule ya msingi na dereva bajaji kwa tuhuma za kuvunja sheria za usalama barabarani na kusafirisha wanafunzi 17 kwa wakati mmoja kwa kutumia bajaji.
Wanafunzi hao ni kutoka shule za awali tofauti tofauti ambao...
ADOLF HITLER NI NANI KTK HISTORIA YA DUNIA?
Wanahistoria Na Watu wengi Duniani wamekuwa wakisimulia kuhusu Maisha ya Dikteta Adolf Hitler Wa Ujerumani .Leo Ninamuelezea kwa kifupi Hitler kuwa ni nani ktk Historia ya Dunia Hii. Je ,Adolf Hitler alikuwa katili tu hakuwa na Mema ktk...
Hahahaha ah vijana sasa hivi naona wanajitahidi
Ari Mpya
Kasi Mpya
Nguvu Mpya
Ehee hata mimi nimeliona hilo toka longi taim
Au siyo Babu Ayubu
Hilo liko wazi
Jamani vijana wapewe nafasi
Si ndio sisi-M
Si ndio sisi-M
Si ndio sisi-M
Ah pisha njia
Tunaingia
Wote pisha njia
Nasema tena kwamba si...
JULAI 24, 1933, Rais wa 32 wa Marekani, Franklin Delano Roosevelt ‘FDR', alihutubia umma wa taifa lake na kueleza kipimo cha siku 100 tangu alipoingia madarakani. Siku 100 za FDR zilitimia Juni 11, 1933. Aliapishwa kuwa Rais, Machi 4, 1933.
FDR aliingia ofisini akiikuta nchi ikiteswa na mdororo...
Licha ya kufeli darasa la saba, mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amefanikiwa kuhitimu chuo kikuu akiibuka mwanafunzi bora aliyefaulu kwa kiwango cha juu zaidi.
Kabla ya kwenda chuo kikuu, anasema alijifunza lugha ya Kiingereza mtaani, kama wengine wanavyojifunza lugha ya makabila.
Shigongo...
Ushakuwa legend Naseeb... Usiishi maisha ya kisiasa ambayo yanafanya issues za kitaifa uside upande mmoja zinapojitokeza. Issue ambazo kimsingi zinaumiza watu wengi. Nigga simama, ongea, kemea, shauri, lalamika... Acha utoto wa kukaa kimya.
Sehemu kubwa ya mawe unayoingiza ni kwa njia ya...
Kisanga kilitokea katika kanisa moja eneo la Buchinga baada ya majamaa kufokea vikali mtumishi wa Mungu kwa madai alikuwa akiwapendelea akina dada katika mahubiri yake.
Mdakuzi alisema kwamba, mara kwa mara, mchungaji alikuwa akiwapendelea sana wanawake wakati akitoa mafunzo yake kanisani jambo...
Mara ya ngapi umesikia jengo la Yanga linakarabatiwa? Mara ya mwisho ilikuwa wiki iliyopita. Bosi wa timu, Mzee Mshindo Msolla aliwaita waandishi wa habari akatangaza ukarabati wa jengo hilo. Kila chumba kitagharimu shilingi milioni sita za Kitanzania.
Hapo miaka ya katikati Yanga waliwahi...
Dar es Salaam. Wingi wa wanafunzi katika shule ya msingi Toangoma wilayani Temeke jijini Dar es Salaam, umetajwa kuwa mojawapo ya sababu ya kukithiri kwa vitendo vya ngono miongoni mwa wanafunzi wa shule hiyo.
Pamoja na wingi wa wanafunzi, shule hiyo haina uzio na imezungukwa na vichaka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.