Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,438
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Moja kwa moja mwenye mada husika, leo nikiwa naelekea Makumbusho nilifanikiwa kupita uwanja wa Mwembeyanga uliopo jirani na chuo cha Bandari na kushuhudia mashine zikichota mchanga mpaka sasa sijajua nini kinachoendelea pale au wanataka kutengeneza nini?
Moja kwa moja mwenye mada husika, leo nikiwa naelekea Makumbusho nilifanikiwa kupita uwanja wa Mwembeyanga uliopo jirani na chuo cha Bandari na kushuhudia mashine zikichota mchanga mpaka sasa sijajua nini kinachoendelea pale au wanataka kutengeneza nini?