Habari zenu wakuu.
Aisee hii ni hatari sana karibia kila mtu aliyenunu kiwanja maeneo yenyewe makorongo ni mwendo wa kuziba kwa takataka kuanzia Salasala, Kinzudi, Majengo, Marobo, Mivumoni, Goba na Madale imekuwa kama fashion vile.
Unakuta mtaa mzima unanuka harufu ya dampo na mainzi kama tupo...
Habari zenu wanajukwaa,
Aisee tokea jana pande za Goba jamaa wa maliasili wana operation kazi ya kutaifisha mkaa kwenye store za mikaa around Goba.
Jana wikua makongo road na Goba center leo wapo Madale road pande za Marga.
Aisee hatakama ni sheria hii ni too much jamaa wanataka vibali vya...
Habari zenu wadau na wapenda bike, aisee niende moja kwa moja kwenye mada.
Kampuni ya Bajaj wamekuja na toleo jipya la pikipiki aina ya Boxer 125hd isiyokuwa na paper oil filter.
Tuone kama muendelezo wa uboreshaji huu utaweza kuboresha engine za boxer maana toleo hili jipya jamaa wameondoa...
➡️Habari zenu wakuu
Nafahamu kwenye pitapita zako umeshawahi kukutana na hawa jamaa
➡️Ipo hivi jamaa walianzia life huko interior kazi kubwa ikiwa ufugaji yaani kuuza mifugo na mazao yatokanayo na mifugo.
➡️Life likasonga ila wazee wa mila wakasanuka ikabidi kuitisha kikao na kuwasanua...
Habari zenu wakuu, niende direct kama kichwa cha uzi kinavyojieleza hapo juu.
Bila kupepesa macho, hili suala la mkataba wa bandari kati ya Tanzania na DP World lilijawa mihemko ya kimaslahi binafsi na Kicmm sana. Yaani karibia CCM wote wanakubali mkataba bila kujali maslahi mapana ya taifa...
Habari zenu wadau.
Last week nilikuwa pande za Kagera (Bukoba) na viunga vyake pia nilipita na jijini Mwanza (Mwanza town).
Nikiri kuna mengi nilijionea ila la kushangaza ni madereva wengi wa bodaboda kutumia pikipiki za Boxer BM 100cc katika harakati zao za kuingiza kipato.
Tofauti kabisa na...
Habari zenu wakuu,
Hivi kwa jitihada za kuboresha elimu yetu hapa nchini kwanini chama cha walimu nchini wasiweke paper ya mchujo kama ya law school ili kila mwalim fresh from college ni lazma afanye paper hiyo ili aweze kuwa certified na kupata usajili kwajili ya kufundisha watoto wetu.
Wasalaam ndg,
Nianze kwakusema kuna binadam wanateseka na magonjwa ile mbaya analazwa hospital hadi anazoeana na kila mfanyakazi wa hospital kuanzia walinzi, wafanya usafi, manesi na madaktari.
Iko hivi last month jumatatu tarehe 20 nilipata ajali maeneo ya Ngunja Mkuranga nikiwa na pikipiki...
Habari zenu ndugu,
Naomba mwenye mawasiliano ya daktari wa tiba asili nimevunjika mkono hali ni mbaya maana ninivyosikia tiba yao ni ndani ya wiki mbili tu no operation no kuweka chuma na unakuwa fresh.
Wadau wa nenda hospital sitaki kuwasikia maana nimetoka MOI na sitaki kwenda maana wanataka...
Habari zenu wakuu
Aisee ipo hivi kuna jirani hapa mtaani ana kijana wake anatarajia kuoa mwaka huu hivyo nikapewa mwaliko wa kikao cha kwanza cha harusi ambayo ilikuwa ni weekend.
Ila tokea nilipopata mwaliko nikawa nawaza why kikao kikafanyike mahala pagharama hivi wakati kuna sehemu za...
Habari zenu wakuu natumai muwazima wa afya.
Husika na kichwa cha habari hapo juu sio suala la ajizi uchawi upo tena usiombe wamuandame mama mjamzito hakuna rangi mtaacha kuona.
Kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu wife alikua mjamzito sikumakinika saana maana ulikua ni ujauzito wake wa nne na hakuwa...
Habari zenu wakuu na poleni kwa tunachopitia kama taifa.
Hakika kwa tunachopitia hivisasa kama sio kipapai basi ni juju kama sio juju basi ni shakizi na kama sio shakizi basi itakua tumerogwa na aliyeturoga kafa na hata kaburi lake hatujui lilipo.
Nawaza tu isije kuwa ni laana ya mwendazake...
Habarini wakuu.
Husika na kichwa cha habari hapo juu naomba kufahamishwa kuhusu pikipiki hii;
1. Uimara wa chasis yake na body kwa ujumla
2. Upatikanaji wa spare zake
Habari zenu wakuu natumai muwaziwa wa afya.
Nikijikita kwenye mada husika ninaposema pikipiki za kichina hapa namanisha KINGLION, FEKON, SINORAY, HAOJUE n.k.
Maana kwa huku mkoani hizi ndio pikipiki pendwa kwa bodaboda tofauti na jijini Dar kwenye TVS & Boxer.
Hivyo basi napendekeza maboresho...
Habari ya majukumu wakuu.
Yaani unaweza kukutana na watu nadhifu kimwonekano ukadhani umekutana na watu wastaarabu kumbe ni mijitu mijinga na mipumbavu kabisa, na upumbavu wao hudhihirika kupitia mazungumzo yao hasa yale ya kumwongelea mtu vibaya.
Sikatai kila mmoja wetu anamapungufu yake...
Asalamu alaykum wanajukwaa pendwa la MMU natumai wote mubuheri wa afya.
Awali ya yote niwape hongera za dhati Waislam kwa utaratibu mzuri kuanzia kwenye posa yaani kuchumbia, ndoa na sherehe ya ndoa. Nimeshuhudia haya kwa majirani, marafiki, jamaa na wafanyakazi wenzangu.
Tukianza na...
Habari zenu wana MMU nawasalimu
Nianze kwa kusema ndoa ni rizki, ndoa ni bahati, ndoa ni baraka sasa kuna mila na desturi za ndoa ambazo ni za kishamba katika jamii zetu ambazo bado tunazikumbatia bila maana yoyote.
Ipo hivi mwanzoni mwa mwaka huu kuna rafiki yangu wa karibu alidhamiria kuaga...
Habari za majukumu wanaJF.
Nianze tu kwa kusema hali ni mbaya katika shule zetu za serikali yaan si kwa sekondari wala msingi.
Mwishoni mwa wiki juzi na wiki jana kama mzazi nilipata barua ya wito katika vikao vya kujadili maendeleo ya taaluma katika shule X & Y maana katika shule zote hizo...
Kabla ya yote busara na hekima zenu zinahitajika katika kulitatua hili.
Mahusiano yao yapo katika hatua ya uchumba lakini dosari ni kuwa baba mzazi wa familia ya mtoto wa kike anavuma kwa ushirikina pia anatembea na mwanawe wa pili wa kike (19yrs) yaani mdogo wake na bibi harusi mtarajiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.