Goba is a town and separate District located in the Bale Zone of the Oromia, Ethiopia approximately 446 km southeast of Addis Ababa, this city has a latitude and longitude of 7°0′N 39°59′E and an elevation of 2,743 meters above sea level.
The town is known for its Wednesday market and for honey, basketry and cotton shawl making; Bale National Park is 10 km to the southwest. A few kilometers outside of Goba are the remains of an old rock church. Goba shares Robe Airport (ICAO code HAGB, IATA GOB) with neighbouring Robe.
Ethiopian Airlines has a scheduled flight four times a week connecting Goba to the capital Addis Ababa and to the southern city Arba
Kumekuwa na kero kwa muda mrefu sasa haswa sisi tunatumia njia ya goba asubuhi ila haswa usiku.
Kuwa na foleni kubwa sana isiyotembea hata kwa masaa matatu na zaidi.
Ombi langu kwa serikali yetu kupitia tonroad wafanye mpango wa kujenga kuchora njia 3 toka around about ya goba mwembe madole...
Njia kuelekea goba kupitia Milimani then Makong imekuwa ba foleni mbaya sana, inatuumiza sana sisi wa goba haa ukizingatia njii hii inasav wakazi wa makongo, goba, madale, kimara, mbezi na sehemu zingine.
Unaweza kaa kw foleni for 3hours sehemu ya dk25 na mamlaka zipo tuu.
Ukifiatilia ni uzembe...
Habari maboss
Kiwanja chenye nyumba kinauzwa
Sqm 300
Docoment serikali ya mtaa
Eneo linaangalia barabara ya kwenda mitaani ambayo inapita magari aina yote ispokuwa ya abiria na mizigo mikubwa.Kwa badae Rami itahusika.
Kutoka eneo lilipo Hadi BaraBara kuu ya kwenda Goba au Madale kutokea...
Barabara ya Tatedo iliyopo katika mtaa wa Kunguru Kata ya Goba jijini Dar es Salaam ni kama imesahaulika, kwani licha ya juhudi zilizofanywa na wakazi wa eneo hilo, tangu mwaka 2020, mpaka leo hakuna mwitikio wa Serikali.
Barabara hiyo inayoingilia karibu na nguzo za umeme unaokwenda Zanzibar...
Msimu huu wa mvua sisi wakazi wa Goba tumekutana na changamoto kubwa ya ubovu wa miundombinu.
Mtaa wa Bonde kati ya Shule ya Living Minds/Kanisa la RGC na Matosa umeharibika kabisa, magari ya shule asubuhi yanapata changamoto kupita, watembea miguu wanazama matopeni na bajaji hazipiti kabisa...
House For Sale at Goba.
Location: Goba Kwa Robert.
*The house is new, no one has lived in.
*It is located alongside goba road, kwa Robert.
*1.5 kilometers away.
*90%finished with PVC windows and Spanish Tiles.
*4 bedrooms all self contained plus public toilet, sitting room, dining, kitchen and...
Ukitokea mbezi shule kama unaenda goba kumekuwa na foleni kubwa sana pale kwa sababu ya magari yanayotoka makabe na yanayoenda goba hadi kuchukulia baadhi ya magari mengine kuzunguka temboni short cut ya matosa kutokea njia 4.
Yaani magari yanapigani pini hakuna linalompisha mwenzie hadi...
Area with House For Sale at Goba.
Location: Goba Kwa Robert.
*The house is new, no one has lived in.
*It is located alongside goba road, kwa Robert.
*1.5 kilometers away.
*90%finished with PVC windows and Spanish Tiles.
*4 bedrooms all self contained plus public toilet, sitting room, dining...
Wakazi wa Matosa - Goba DSM, hususan eneo la Shule ya Msingi More Light, tumekumbwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa maji kwa takribani mwezi mmoja sasa.
Kila tunapouliza, tunaelezwa kuwa bomba linaloleta maji kutoka Uzalamoni limeharibika, hata hivyo, inashangaza kuona kuwa bomba hilohilo...
Anonymous
Thread
dar
eneo
eneo la shule
goba
maji
mmoja
msingi
mwezi
mwezi mmoja
shule
shule ya msingi
Eneo hili la shule linauzwa
Ukubwa wa eka moja na robo
Lipo Goba kwa Ndambi Eneo ambalo mteja anaweza kujenga hata apartments kwa Goba zinalipa sana.
Hapo ni Goba jirani sana na Mbezi Beach Masana
Bei ya kutupa Tsh 650m/- mazungumzo yapo
*Lina hati halali
Anauza kwa hasara sana ili...
Serikali itusaidie kuhusu suala la kalavati sisi Wakazi wa Matosa Uzaromoni, Mtaa wa Mikumi, Kata ya Goba, Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es Salaam, huu unaenda mwaka wa tatu sasa tangu tuombe turekebishiwe lakini hakuna kilichofanyika mpaka sasa.
Tumesharipoti kwa mamlaka mbalimbali wanatuahidi...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
KIWANJA KINAHITAJIKA GOBA
SIFA:
✅️Kiwe Goba maeneo yaliyotulia
✅️Mitaa iliyojengwa vyema
✅️Isiwe changanyikeni au uswazi
✅️Ukubwa uwe sqm 800 au zaidi sio pungufu
✅️Kiwe na hati ya wizara au Mchoro
✅️Bei isizidi Mln 75
Kama unacho chenye sifa hizi ni mmiliki au ni dalali na nitumie ujumbe...
Ufisadi wa kutisha unaendelea kwenye Ushirika wa Korosho,Mtwara Masasi Union Co operative(Mamcu).
Kulipana Posho na Safari za nje
Viongozi wamekuwa walipwa posho bila kufanya kazi(Hewa] na Kutengeneza safari za nje ambazo hazina tija kwa ushirika Mfano Mwaka jana na mwaka huu wamefanya safari...
Anonymous (f012)
Thread
barabara
goba
kero
kero ya barabara
ufisadi wa ushirika wa korosho[mamcu]
Igweeeeeee
Hii nchi ukiifikiria kiundani utaishia kulaani wazazi wako kukuzaa bongo
Nimepata kwenda kumtembelea rafiki yangu ana site yake huko goba, mji umepangika vizuri na watu wanaishi maisha standard ikiwa na ujenzi wa kisasa kabisa
Ajabu ya eneo hili goba mageti hususani upande huu wa...
Namtaka bingwa wa kuona Mbali.
Mwenye macho ya Eagle 🦅
Kiwanja Chenye nyumba kinauzwa Goba Kwa Olomi.
Hizo nyumba mbili unazoziona.
Moja ina Rangi ya light blue na nyingine imeezekwa Kwa bati ya Rangi ya maruni zipo ndani ya kiwanja.
Sqm 629.78
Hati Safi
Hakuna mgogoro
Dakika moja Hadi...
House For Sale at Goba.
Location: Goba Kwa Robert.
*The house is new, no one has lived in.
*It is located alongside goba road, kwa Robert.
*1.5 kilometers away.
*90%finished with PVC windows and Spanish Tiles.
*4 bedrooms all self contained plus public toilet, sitting room, dining, kitchen and...
Sisi wakazi wa Goba Mitaa ya Nasary & Mwanzo tuna kero kubwa ya kukosa maji, unakuta tunapata mara 3 au 4 kwa Mwaka😢 wakati ambapo mitaa ya jirani wao wenyewe wanapata walau mara moja kwa mwezi.
Hii hali inatuumiza sana kwa kuwa kuna muda tunalazimika kununua madoza ya maji hadi kwa Shilingi...
Anonymous
Thread
goba
maji
mara
mitaa
mwaka
mwanzo
wakazi
wakazi wa goba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.