goba

Goba is a town and separate District located in the Bale Zone of the Oromia, Ethiopia approximately 446 km southeast of Addis Ababa, this city has a latitude and longitude of 7°0′N 39°59′E and an elevation of 2,743 meters above sea level.
The town is known for its Wednesday market and for honey, basketry and cotton shawl making; Bale National Park is 10 km to the southwest. A few kilometers outside of Goba are the remains of an old rock church. Goba shares Robe Airport (ICAO code HAGB, IATA GOB) with neighbouring Robe.
Ethiopian Airlines has a scheduled flight four times a week connecting Goba to the capital Addis Ababa and to the southern city Arba

View More On Wikipedia.org
  1. petro matei

    JamiiForums Tanzania Ushauri foleni barabara ya Goba

    Kumekuwa na kero kwa muda mrefu sasa haswa sisi tunatumia njia ya goba asubuhi ila haswa usiku. Kuwa na foleni kubwa sana isiyotembea hata kwa masaa matatu na zaidi. Ombi langu kwa serikali yetu kupitia tonroad wafanye mpango wa kujenga kuchora njia 3 toka around about ya goba mwembe madole...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Foleni njia ya Goba kupita Makongo

    Njia kuelekea goba kupitia Milimani then Makong imekuwa ba foleni mbaya sana, inatuumiza sana sisi wa goba haa ukizingatia njii hii inasav wakazi wa makongo, goba, madale, kimara, mbezi na sehemu zingine. Unaweza kaa kw foleni for 3hours sehemu ya dk25 na mamlaka zipo tuu. Ukifiatilia ni uzembe...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mgao wa maji Goba, Mtaa wa River View (Dar) haufuati ratiba, tunauziwa maji Tenki Sh elfu 40

    Maji tunauziwa elfu 40k maji hayatoki hata katika zile siku za mgao! DAWASA hamna wanachotusaidia nje na kureport mara nyingi
  4. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya kuishi au kubomoa inauzwa Mbezi njia ya Goba

    Habari maboss Kiwanja chenye nyumba kinauzwa Sqm 300 Docoment serikali ya mtaa Eneo linaangalia barabara ya kwenda mitaani ambayo inapita magari aina yote ispokuwa ya abiria na mizigo mikubwa.Kwa badae Rami itahusika. Kutoka eneo lilipo Hadi BaraBara kuu ya kwenda Goba au Madale kutokea...
  5. Parabolic

    JamiiForums Tanzania HOJA Juhudi za kukwamua barabara ya Tatedo Goba zimeishia wapi? Tangu uchaguzi Hatumuoni Mbunge wala Diwani

    Barabara ya Tatedo iliyopo katika mtaa wa Kunguru Kata ya Goba jijini Dar es Salaam ni kama imesahaulika, kwani licha ya juhudi zilizofanywa na wakazi wa eneo hilo, tangu mwaka 2020, mpaka leo hakuna mwitikio wa Serikali. Barabara hiyo inayoingilia karibu na nguzo za umeme unaokwenda Zanzibar...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Goba Center karibu na Shule ya Living Minds ikinyesha mvua Mtaa unageuka kuwa Mto

    Msimu huu wa mvua sisi wakazi wa Goba tumekutana na changamoto kubwa ya ubovu wa miundombinu. Mtaa wa Bonde kati ya Shule ya Living Minds/Kanisa la RGC na Matosa umeharibika kabisa, magari ya shule asubuhi yanapata changamoto kupita, watembea miguu wanazama matopeni na bajaji hazipiti kabisa...
  7. radhiya

    JamiiForums Tanzania House4Sale House For Sale at Goba kwa Robert

    House For Sale at Goba. Location: Goba Kwa Robert. *The house is new, no one has lived in. *It is located alongside goba road, kwa Robert. *1.5 kilometers away. *90%finished with PVC windows and Spanish Tiles. *4 bedrooms all self contained plus public toilet, sitting room, dining, kitchen and...
  8. wa stendi

    JamiiForums Tanzania Ushauri: TANROADS waweke roundabout barabara ya Goba njia panda ya Makabe

    Ukitokea mbezi shule kama unaenda goba kumekuwa na foleni kubwa sana pale kwa sababu ya magari yanayotoka makabe na yanayoenda goba hadi kuchukulia baadhi ya magari mengine kuzunguka temboni short cut ya matosa kutokea njia 4. Yaani magari yanapigani pini hakuna linalompisha mwenzie hadi...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Eneo linauzwa Goba Maghorofani

    Eneo la ekari moja linauzwa Goba Maghorofani. Bei: Tsh. 160,000 per sqrmt. Mawasiliano: Wasiliana na mwenyewe moja kwa moja bila dalali 0788 284 554
  10. radhiya

    JamiiForums Tanzania Area with house For Sale at Goba Kwa Robert

    Area with House For Sale at Goba. Location: Goba Kwa Robert. *The house is new, no one has lived in. *It is located alongside goba road, kwa Robert. *1.5 kilometers away. *90%finished with PVC windows and Spanish Tiles. *4 bedrooms all self contained plus public toilet, sitting room, dining...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Matosa - Goba (Dar) eneo la Shule ya Msingi More Light hakuna maji mwezi mmoja sasa

    Wakazi wa Matosa - Goba DSM, hususan eneo la Shule ya Msingi More Light, tumekumbwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa maji kwa takribani mwezi mmoja sasa. Kila tunapouliza, tunaelezwa kuwa bomba linaloleta maji kutoka Uzalamoni limeharibika, hata hivyo, inashangaza kuona kuwa bomba hilohilo...
  12. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Eneo la shule linauzwa Goba

    Eneo hili la shule linauzwa Ukubwa wa eka moja na robo Lipo Goba kwa Ndambi Eneo ambalo mteja anaweza kujenga hata apartments kwa Goba zinalipa sana. Hapo ni Goba jirani sana na Mbezi Beach Masana Bei ya kutupa Tsh 650m/- mazungumzo yapo *Lina hati halali Anauza kwa hasara sana ili...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Matosa - Goba, Mwaka wa 3 tunabembeleza kujengewa kalavati, TARURA wanakuja kupiga picha wanaondoka

    Serikali itusaidie kuhusu suala la kalavati sisi Wakazi wa Matosa Uzaromoni, Mtaa wa Mikumi, Kata ya Goba, Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es Salaam, huu unaenda mwaka wa tatu sasa tangu tuombe turekebishiwe lakini hakuna kilichofanyika mpaka sasa. Tumesharipoti kwa mamlaka mbalimbali wanatuahidi...
  14. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Goba Lilian Kibo

    Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
  15. Sonship

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinahitajika Goba

    KIWANJA KINAHITAJIKA GOBA SIFA: ✅️Kiwe Goba maeneo yaliyotulia ✅️Mitaa iliyojengwa vyema ✅️Isiwe changanyikeni au uswazi ✅️Ukubwa uwe sqm 800 au zaidi sio pungufu ✅️Kiwe na hati ya wizara au Mchoro ✅️Bei isizidi Mln 75 Kama unacho chenye sifa hizi ni mmiliki au ni dalali na nitumie ujumbe...
  16. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna ufisadi wa kutisha MAMCU LTD

    Ufisadi wa kutisha unaendelea kwenye Ushirika wa Korosho,Mtwara Masasi Union Co operative(Mamcu). Kulipana Posho na Safari za nje Viongozi wamekuwa walipwa posho bila kufanya kazi(Hewa] na Kutengeneza safari za nje ambazo hazina tija kwa ushirika Mfano Mwaka jana na mwaka huu wamefanya safari...
  17. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania KERO Maajabu! Goba Mageti hadi mtaa wa Muhimbili, Dar es Salaam eneo hili halina mtandao

    Igweeeeeee Hii nchi ukiifikiria kiundani utaishia kulaani wazazi wako kukuzaa bongo Nimepata kwenda kumtembelea rafiki yangu ana site yake huko goba, mji umepangika vizuri na watu wanaishi maisha standard ikiwa na ujenzi wa kisasa kabisa Ajabu ya eneo hili goba mageti hususani upande huu wa...
  18. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Kiwanja nyumba kinauzwa Goba Kwa Olomi

    Namtaka bingwa wa kuona Mbali. Mwenye macho ya Eagle 🦅 Kiwanja Chenye nyumba kinauzwa Goba Kwa Olomi. Hizo nyumba mbili unazoziona. Moja ina Rangi ya light blue na nyingine imeezekwa Kwa bati ya Rangi ya maruni zipo ndani ya kiwanja. Sqm 629.78 Hati Safi Hakuna mgogoro Dakika moja Hadi...
  19. radhiya

    JamiiForums Tanzania House For Sale at Goba kwa Robert

    House For Sale at Goba. Location: Goba Kwa Robert. *The house is new, no one has lived in. *It is located alongside goba road, kwa Robert. *1.5 kilometers away. *90%finished with PVC windows and Spanish Tiles. *4 bedrooms all self contained plus public toilet, sitting room, dining, kitchen and...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Goba, Mitaa ya Nasary & Mwanzo tunapata maji mara 3 au 4 kwa mwaka

    Sisi wakazi wa Goba Mitaa ya Nasary & Mwanzo tuna kero kubwa ya kukosa maji, unakuta tunapata mara 3 au 4 kwa Mwaka😢 wakati ambapo mitaa ya jirani wao wenyewe wanapata walau mara moja kwa mwezi. Hii hali inatuumiza sana kwa kuwa kuna muda tunalazimika kununua madoza ya maji hadi kwa Shilingi...
Back
Top Bottom