Goba is a town and separate District located in the Bale Zone of the Oromia, Ethiopia approximately 446 km southeast of Addis Ababa, this city has a latitude and longitude of 7°0′N 39°59′E and an elevation of 2,743 meters above sea level.
The town is known for its Wednesday market and for honey, basketry and cotton shawl making; Bale National Park is 10 km to the southwest. A few kilometers outside of Goba are the remains of an old rock church. Goba shares Robe Airport (ICAO code HAGB, IATA GOB) with neighbouring Robe.
Ethiopian Airlines has a scheduled flight four times a week connecting Goba to the capital Addis Ababa and to the southern city Arba
House For Sale at Goba.
Location: Goba Kwa Robert.
*The house is new, no one has lived in.
*It is located alongside goba road, kwa Robert.
*1.5 kilometers away.
*90%finished with PVC windows and Spanish Tiles.
*4 bedrooms all self contained plus public toilet, sitting room, dining, kitchen and...
Ukitokea mbezi shule kama unaenda goba kumekuwa na foleni kubwa sana pale kwa sababu ya magari yanayotoka makabe na yanayoenda goba hadi kuchukulia baadhi ya magari mengine kuzunguka temboni short cut ya matosa kutokea njia 4.
Yaani magari yanapigani pini hakuna linalompisha mwenzie hadi...
Area with House For Sale at Goba.
Location: Goba Kwa Robert.
*The house is new, no one has lived in.
*It is located alongside goba road, kwa Robert.
*1.5 kilometers away.
*90%finished with PVC windows and Spanish Tiles.
*4 bedrooms all self contained plus public toilet, sitting room, dining...
Wakazi wa Matosa - Goba DSM, hususan eneo la Shule ya Msingi More Light, tumekumbwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa maji kwa takribani mwezi mmoja sasa.
Kila tunapouliza, tunaelezwa kuwa bomba linaloleta maji kutoka Uzalamoni limeharibika, hata hivyo, inashangaza kuona kuwa bomba hilohilo...
Anonymous
Thread
dar
eneo
eneo la shule
goba
maji
mmoja
msingi
mwezi
mwezi mmoja
shule
shule ya msingi
Eneo hili la shule linauzwa
Ukubwa wa eka moja na robo
Lipo Goba kwa Ndambi Eneo ambalo mteja anaweza kujenga hata apartments kwa Goba zinalipa sana.
Hapo ni Goba jirani sana na Mbezi Beach Masana
Bei ya kutupa Tsh 650m/- mazungumzo yapo
*Lina hati halali
Anauza kwa hasara sana ili...
Serikali itusaidie kuhusu suala la kalavati sisi Wakazi wa Matosa Uzaromoni, Mtaa wa Mikumi, Kata ya Goba, Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es Salaam, huu unaenda mwaka wa tatu sasa tangu tuombe turekebishiwe lakini hakuna kilichofanyika mpaka sasa.
Tumesharipoti kwa mamlaka mbalimbali wanatuahidi...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
KIWANJA KINAHITAJIKA GOBA
SIFA:
✅️Kiwe Goba maeneo yaliyotulia
✅️Mitaa iliyojengwa vyema
✅️Isiwe changanyikeni au uswazi
✅️Ukubwa uwe sqm 800 au zaidi sio pungufu
✅️Kiwe na hati ya wizara au Mchoro
✅️Bei isizidi Mln 75
Kama unacho chenye sifa hizi ni mmiliki au ni dalali na nitumie ujumbe...
Ufisadi wa kutisha unaendelea kwenye Ushirika wa Korosho,Mtwara Masasi Union Co operative(Mamcu).
Kulipana Posho na Safari za nje
Viongozi wamekuwa walipwa posho bila kufanya kazi(Hewa] na Kutengeneza safari za nje ambazo hazina tija kwa ushirika Mfano Mwaka jana na mwaka huu wamefanya safari...
Anonymous (f012)
Thread
barabara
goba
kero
kero ya barabara
ufisadi wa ushirika wa korosho[mamcu]
Igweeeeeee
Hii nchi ukiifikiria kiundani utaishia kulaani wazazi wako kukuzaa bongo
Nimepata kwenda kumtembelea rafiki yangu ana site yake huko goba, mji umepangika vizuri na watu wanaishi maisha standard ikiwa na ujenzi wa kisasa kabisa
Ajabu ya eneo hili goba mageti hususani upande huu wa...
Namtaka bingwa wa kuona Mbali.
Mwenye macho ya Eagle 🦅
Kiwanja Chenye nyumba kinauzwa Goba Kwa Olomi.
Hizo nyumba mbili unazoziona.
Moja ina Rangi ya light blue na nyingine imeezekwa Kwa bati ya Rangi ya maruni zipo ndani ya kiwanja.
Sqm 629.78
Hati Safi
Hakuna mgogoro
Dakika moja Hadi...
House For Sale at Goba.
Location: Goba Kwa Robert.
*The house is new, no one has lived in.
*It is located alongside goba road, kwa Robert.
*1.5 kilometers away.
*90%finished with PVC windows and Spanish Tiles.
*4 bedrooms all self contained plus public toilet, sitting room, dining, kitchen and...
Sisi wakazi wa Goba Mitaa ya Nasary & Mwanzo tuna kero kubwa ya kukosa maji, unakuta tunapata mara 3 au 4 kwa Mwaka😢 wakati ambapo mitaa ya jirani wao wenyewe wanapata walau mara moja kwa mwezi.
Hii hali inatuumiza sana kwa kuwa kuna muda tunalazimika kununua madoza ya maji hadi kwa Shilingi...
Anonymous
Thread
goba
maji
mara
mitaa
mwaka
mwanzo
wakazi
wakazi wa goba
Nyumba nzuri saana.
Nyumba nzuri ya Kisasa Inauzwa milioni 190 maongezi yapo.
IPO GOBA MAJENGO - Dar es salaam - Tanzania
Ina Vyumba Vinne vya Kulala Vyumba viwili ni self Conteinard
Stady room
Master Bedroom
Sitting room
Dining room
Kitchen
Store
Public toilet
Ukubwa wa kiwanja: sqmt 844...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
Habari ya jioni watanganyika.
Niwapongeze na poleni kwa heka heka.
Nipongeze pia juhudi za ‘wahusika’ kusikiliza wananchi, kwasababu kitu pekee tunahitaji sasa hivi ni kuhudumiwa. Sasa, barabara nliyokua napigia kelele miaka mingi inawekwa Caravat (nimeambatanisha thread nlizokua naongelea...
Habari,
Binafsi naupenda sana mji wa Goba kutokana na Geographia yake, ukiwa upande wowote unaweza kuufikia mji wa goba bila changamoto yoyote
Mbezi shule kupitia masana unafika goba
Mbezi luis kupitia goba road unafika goba
Kimara mwisho kupitia matosa road unafika Goba
Mlimani city...
Goba Kwa ulomi plot for sale
kipo Goba kwa ulomi ni cha pili kutoka barabara kuu ya Goba kurudi mbezi beach
na kimeshika barabara ya mtaa kina fens pande tatu sqm 800
kinafaa kujenga apartment godown ukumbi msikiti kanisa lodge gereji na biashara yoyote
milioni 170 maongezi yapo...
Nyumba Inauzwa Goba.
Mahali: Goba Kwa Robert.
Sifa za Nyumba:
*Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu.
*Ina vyumba vinne vikubwa, kila chumba kina choo chake. *Ina Spanish tiles.
*Madirisha ni pvc.
*Ina fence(uzio).
*Ina vyoo(toilets)5.
*Umeme na maji yapo.
Ukubwa wa Eneo: SQM 880.
Nyaraka: Mkataba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.