Wakuu habari.
Store ndogo sqm 18 hadi sqm 25 inahitajika iwepo maeneo ya kariakoo, Magomeni au Keko kwa mwenye kuweza kufahamu au kuniconnect tafadhali nicheck inbox.
Pendezesha sebule yako, office yako, restaurant yako chumbani kwako na geto lako kwa wewe bachelor na mpenzi wa samaki wa mapambo kwa aqurium za kisasa zaid kutoka kelvin aqurium store. Tunatengeneza aqurium za aina zote na pia tunapokea oder za designed kutoka kwa mteja wetu namna ya...
Habari zenu wanajukwaa,
Aisee tokea jana pande za Goba jamaa wa maliasili wana operation kazi ya kutaifisha mkaa kwenye store za mikaa around Goba.
Jana wikua makongo road na Goba center leo wapo Madale road pande za Marga.
Aisee hatakama ni sheria hii ni too much jamaa wanataka vibali vya...
Mwaka huu kazi kazi. Tukiwa kwenye majonzi ya kodi ya nyumba hasa kwa wale wanaoishi kwenye maghorofa, TRA inawataka wafanyabiashara kusajili store zenu.
Wakuu habari,
Kama kichwa cha habari kinavosema. Kuna wale watu humu ndani ambao wana mali zao na vitu vyao wangependa kuuza ili wabadirishe wanunue vingine, au wangependa kuuza ili waviondoe tu visijaze nafasi au havina matumizi tena au wanashida ya kifedha, basi karibu nikisaidie kuviuza...
Wakubwa katika bwana nahitaji good desing and very good economy ambaye anaweza kunipa hiyo mambo kama jaribio akiweza kuitimiza within budget nampa kazi nyingine ila awe mkweli kwangu uongo sijui siasa sijui ukanjanja aisee sitaki.
nahitaji a good fundi ambaye anaweza jenga a good house ya one...
Waungwana nataka kufungua biashara hii maeneo kama Tabata au Goba naomba msaada wa mawazo mtaji mdogo kiasi gani naweza kuanza nao na being za fremu maeneo hayo.
Wenye uzoefu naomba msaada went.
Asanteni
Je, ni haki kumwambia mtu anaishi store ilihali yupo kwenye chumba safi kabisa, kitanda safi, meza ya jiko safi, masofa safi, ndoo za maji zimepangiliwa vizuri, kimeza cha sebule cha kulia cha kula safi, pikipiki inabanwa kwenye kona safi, vyombo vya jikoni vimepangwa safi, kabati la nguo...
By: Author Lydia Noyes
The hardest work of the gardening season is over, and you’re bringing in your potato harvest.
Or maybe you’ve visited your local farmers’ market and got a little carried away buying farm fresh potatoes.
Nights of home fries and mashed potatoes await, but let’s be real...
Habari Wakuu,
Kwa siku tatu Sasa Simu yangu Tecno BC3 imekuwa na tatizo la kudownload Apps kwenye play store. Nikijaribu inasema pending tu. Nimejaribu solutions zote nilizopata mtandaoni isipokuwa factory reset bila mafanikio.
Msaada tafadhali.
Naomba kufahamishwa app nzuri ya moja ya tv zetu ni nzuri kwa kuangalia tv kwenye simu,app nyingine hata hazieleweki unapoteza mb kudownload lakini unakuta zinasumbua.
Logistics and Store Manager
Job Title: Logistics and Store Manager
Location: Dar es Salaam, Tanzania
Logistics and Store Manager Required immediate
With driving license
With store management training
Able to work independent
Age 25-30 years
Sex Male
Send your resume to...
Title: STOREKEEPER
Direct Reports: WAREHOUSE MANAGER
Location: DAR ES SALAAM
FOR NATIONAL STAFF ONLY
INTRODUCTION:
Médecins Sans Frontières (MSF) is an international, independent, medical humanitarian organisation that delivers emergency aid to people affected by armed conflict, epidemics...
Asalaam Alaikum.
Fursa ya ajira.
Kuna nafasi za kazi za...
1) Mhasibu (Accountant).
2) Store Keeper.
3. Personal Assistant.
Anaeomba kazi awe ni mzoefu wa hiyo kazi na anafahamu kazi na sio wa kufundishwa kazi.
Kazi zetu kwa sasa zipo Mkoa wa Pwani, Kibaha, Misugusugu, Mtaa wa Vitendo...
Ingependeza tuwe na sehemu ambako unazikuta app za kitanzania kwa wingi. Maana sehemu kama playstore ni vurugu tupu. App za kila aina. Pia tukiwa na apps store yetu ni rahisi kuweka vitu kama malipo kwa mazingira yetu.
Kwanini hatuna apps store yetu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.