Kampuni ya Bajaj imetoa toleo jipya la pikipiki aina ya Boxer 125 HD

Chief Wingia

JF-Expert Member
Jul 12, 2013
2,451
4,369
Habari zenu wadau na wapenda bike, aisee niende moja kwa moja kwenye mada.

Kampuni ya Bajaj wamekuja na toleo jipya la pikipiki aina ya Boxer 125hd isiyokuwa na paper oil filter.

Screenshot_20230802_112411.jpg

Tuone kama muendelezo wa uboreshaji huu utaweza kuboresha engine za boxer maana toleo hili jipya jamaa wameondoa kabisa ile paper oil filter.

Pia seat ya pikipiki hizi zina muonekano kama wa TVS mean imenyanyuka kidogo.

Naona jamaa wanajaribu kuboresha engine zao na kufuata mfumo wa engine za washindani wao TVS.

Asanteni na karibuni kwa mjadala🙏
 
Back
Top Bottom