Kulikuwa na timu iliyoitwa Everton kutoka kitongoji cha Merseyside cha jiji la Liverpool nchini England.
Timu hii ilikuwa ikitumia uwanja wa Anfield, uliokuwa ukimilikiwa na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu hiyo, John Houlding, mfanyabiashara mkubwa wa Freemason kutoka jiji la...
Wengi huwa wanapata shida kujua utofauti wa haya maneno hususan pale unaponunua bidhaa na kukuta nyingine imeandikwa 'Made in UK, nyingine 'Made in England' nyingine 'Made in Great Britain'.
Sasa utofauti wake ni huu hapa, ungana nami Didas Tumaini nikujuze.
✅ England
England au kwa kiswahili...
Wakuu salamu,
Naomba kujuzwa, hivi ni sheria kuwa kila mkazi wa dar kulipa hela ya taka kwenye eneo lake la biashara hata kama biashara yako haizalishi taka?
Kumekuwa na tendency ya wakusanya taka kutoza hela kwa kila mwananchi hata kama kwa mwezi huo hawakuzoa taka kwenye eneo lake.
Je, ni...
JE WAJUA?
Rais mwinyi amefariki 29/02. Hii tarehe mpaka kuja kuipata tena ni hadi miaka minne ijao yaani mwaka 2028, 2032, 2036, 2040, nakuendelea...
Kwa maana hiyo kumbukumbu ya kifo chake itakuwa ikiadhimishwa kila baada ya miaka minne. 🙌🙌
R.IP Rais Mwinyi
Mhitimu wa miaka 95 ,David Marjot, kutoka Weybridge, Surrey Uingereza, sasa anatafakari kuisaka PhD, ambayo itamweka chuoni hadi atakapofikisha miaka 102 baada ya kufamikiwa kuhitimu shahada ya uzamili (MA) katika Chuo Kikuu cha Kingston.
David ni Daktari mstaafu wa magonjwa ya akili, na...
Majira ya saa mbili usiku wa leo, timu yetu ya taifa, Taifa Stars, itakuwa na kibarua dhidi ya Morocco kwenye AFCON.
Wakati tunaisubiri mechi hiyo muhimu, si vibaya tukafahamu asili ya jina la TAIFA STARS.
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, Paul West Guivaha, ndiye aliyetunga jina la timu...
Mwanariadha wa zamani wa Olimpiki Oscar Pistorius ameachiliwa kwa msamaha kutoka jela nchini Afrika Kusini, baada ya kuwa kifungoni kwa takriban miaka 11 baada ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.
Pistorius alihukumiwa kwenda jela baada ya kumpiga risasi nyingi mpenzi wake kupitia mlango wa...
SIKU KAMA YA LEO
Mwaka 1967 kwa mara ya Kwanza Daktari Christiaan Barnard kutoka nchini Afrika Kusini aliandika historia ya Kuhamisha Moyo wa Binadamu kwenda kwa mwingine (human to human heart transplant) hii ilikuwa haijawahi tokea duniani.
Tukio hili lilifanyika Mjini Cape Town katika...
Siku kama ya Leo mwaka 1804 huko Ufaransa bwana Napoleon Bonaparte alijivika Taji kama Kaisari wa Ufaransa. Mwaka uliofuata akapewa pia Taji la Mfalme wa Italia.
Vita ya Mapinduzi yake dhidi ya familia ya Kifalme, Huhesabika kama moja ya matukio 10 makuu ya Kihistoria Ulaya.
Mwaka 1805...
Magurudumu (Tairi) za ndege hazina kiunganisho wala husiano na injini za ndege iwe Pangaboi au Jeti.
Gurudumu huzunguka huru kama toroli au au kiti cha kusukuma "wheel chair" isipokuwa tu zimefungwa mifumo ya breki, mifumo wa kona na mifumo ya 'hydraulic' ya kuvuta tairi ndani au kutoa nje kwa...
Pichani ni Mzee Kingunge Ngombale Mwiru na Mke wake Peras Kingunge Enzi za Ujana wao.
Duru za historia zinasema Kingunge alikuwa muumini mzuri sana wa dini ya kikristu na wakati anasoma alisoma seminari, baadae alikuja kuhitilafiana na dini kutokana na misimamo yake ya kukinzana na misingi ya...
Katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2006 nchini Ujerumani, mechi kati ya Ufaransa na Korea kusini iliisha kwa sare ya 1-1. Mechi hii ilichezwa katika uwanja wa timu ya RB Leipzing (Leipzing Arena) timu inayoshiriki ligi kuu nchini Ujerumani Bundesliga.
Kitendo cha timu ya Ufaransa kutoa...
Katika msimu ambao mimi kama shabiki wa simba nimeridhishwa na usajili wa club yetu, tena kiufundi na kwa quality players basi ni msimu huu.Management imejitahidi sana kusajili kwa kuangalia mahitaji ya timu na umri.
Simba imesajili wachezaji waliofanya vizuri kwenye ligi zao.Kilichobaki tu ni...
Ukiwa unatembea na nyaya za umeme zikaanguka karibu yako kitu cha kwanza unatakiwa usimame acha kutembea, Ruka juu na utue kwa miguu yote, endelea kuruka kwa miguu yote hadi angalau ufike umbali wa mita 50 ndo uanze kutembea kawaida, unafanya hivyo kwaajili ya concept inayoitwa Step potential...
Wakuu salamu.
Naomba yeyote mwenye uwezo wa kuniunganisha na NGO yoyote ile TANZANIA kwajili ya kupata kazi, please naomba anisaidie.
Nina Bachelor degree in statistics and research
Mawasiliano yangu ni 0712778881
Dunia inashuhudia maendeleo makubwa ya kiteknolojia lakini serikali ya Tanzania na taasisi zake bado ipo nyuma sana. Kitu kinachoitwa e-governance kwa nchi yangu hii bado ni ndoto itakayotimia baadae sana. Yawezekana kuna sababu kadhaa ya kubaki nyuma lakini kubwa ni kukosa utayari au niseme tu...
Wakuu salamu,
Nina Facebook page yangu inaitwa "Mkatoliki Imara"..ni page iliyokuwa ina post content za dini tuuu.
Kuna jamaa waliidukuwa na wakaniondoa kuwa admin,ila details zangu zote bado zinaonekana kule.
Sasa wale jamaa wanaitumia page yangu hiyo kupromote website zao kwa kutumia...
Je, Wallace Karia yuko sahihi kusimamisha Ndondo Cup? Kwa maoni yangu sidhani kama yuko sahihi.
Kwa kutumia ushabiki wa Simba na Yanga kuna wanao mkubali Shaffih Dauda na kuna wanaomkataa ila tukija kwenye NDONDO CUP sidhani kama kuna mdau na shabiki wa soka Tanzania ambaye atamkataa Shaffih...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.