Ipi ni tofauti ya mwili, nafsi na roho?

Swali zuri hili na mara nyingi tunakuwa hatuwezi kuuliza maswali kama haya kwa sababu tunajifanya tunajua kwa hio tukiuliza maswali kama haya tunajiona wajinga,kwa hio tunabakia hatuulizi ili tuwe miongoni mwa wanaojua.

Roho, nafsi na mwili ni vitu tafauti na kila kimoja kina kazi yake ili kumtimiza mwanadamu awe kamili,ukikosa kimoja kama ya hivyo vitatu, uwawadamu wako utakuwa mashakani.

Tuanze na mwili
Mwili asili yake ni hapa duniani au kwenye dimension hii au realm hii ya dunia au existence, hapa ndio pahala pekee mwili unapoweza ku-exist
Kazi ya mwili kubwa ni ku-host nafsi,yaani nafsi inauvaa mwili na kuishi kwenye mwili, yaani kama vile unapokumbwa na shetani, Anakuwa ameuvaa mwili na anajitambulisha kama yeye na sio wewe tena. Na nafsi inafanya hivyo in a permanent basis yaani kwa namna ya kudumu.
Na mwili ni kama mashine inayomfanya kazi kwa ajili ya nafsi kuweza kuishi kwenye dunia hii,realm au dimension hii.
Mwili kazi yake ni kukusanya information kupitia hisia zake kuu tano,kuona,kusikia,kuonja,kuhisi,kunusa

Sasa twende kwenye roho au kwa kiingereza soul
Soul ni kiunganishi baina ya nafsi na mwili, soul au roho ndio muezeshaji mkubwa wa nafsi, soul ndio mkalimani anaetafsiri kwa nafsi kila kitu kinachofanywa na mwili hapa duniani,
Ndani ya soul kuna emotions,intellect and will, sijui kwa Kiswahili nisemeje hapa,mi sijui tunaitaje emotions kwa Kiswahili
Mwili kupitia hisia zake kuu tano unakusanya information na kupeleka kwenye soul kwa njia ya intellect(akili)
Akili inaweza kufanya kazi upitia hisia za mwli tu bila ya hisia za mwili akili haina uwezo wa kufanya kazi,macho yakiona kitu akili ina-process na kutafsiri ni nini macho yameona kupitia kumbukumbu za akili.
Maskio yakisikia kitu akili ina-process kisha inatafsiri nini maskio yamesikia
Na hisia nyengine kazi ndio hio hio

Sasa tuingie kwenye nafsi au sprit
Sprit ndio uhai wenyewe,yaani sprit ndio mtu mwenyewe naejelewa au kujitambua,utambulisho wa mtu hautokani na mwili wala roho wala akili
Utambulisho wa mtu mimi ni nani unatokana na nafsi au sprit
Kwenye sprit au nafsi kuna mambo matatu makuu
Kuna intuition,consciousness na submission to the source au God
Intuition ni uwezo wa kujua kitu bila ya kujua umejuaje, inatokea unajua tu bila kuambiwa ua kufundishwa
Consciousness ndio uhai wenyewe na kujitambua
Na submission to the source ni kusalimu amri kwenye chanzo cha sprit au nafsi na hiki tunakiita mungu au God
Vitu hivi vyote vipo kwenye nafsi au sprit
Nafsi au sprit haiwezi kuishi hapa duniani bila ya mwili na soul(roho) ndio mana mtu akiwa mzee na mwili umechoka nafsi inaondoka na mwili unaparalaiz na haujiwezi tena na hicho ndio kifo.
Pia mwli ukipata majanga makubwa kama ajali na ukawa hauwezi tena kui-support nafsi dakika hio hio nafsi inaruka permanently na kuondoka na hicho ndio kifo
Kifo ni kufariki
Fariki maana yake ni kutenga,au tunasema kufarakana maana ni kutengana
Kwa hio maana yake ni nafsi inafarakana na mwili hio ndio kufariki au kufa

Mi nadhani niishie hapa kama kunakuwa na Shaka tutaulizana
Mada hii nlielezea kwa kina kidogo kwenye uzi huu hapa chini wa kiingereza

 
Swali zuri hili na mara nyingi tunakuwa hatuwezi maswali kama haya kwa sababu tunajifanya tunajua kwa hio tukiuliza maswali kama haya tunajiona wajinga,kwa hio tunabakia hatua Liz I ile tuwe miongoni mwa wanaojua.

Roho, nafsi na mwili ni vitu tafauti na kila kimoja kina kazi yake ili kumtimiza mwanadamu awe kamili,ukikosa kimoja kama ya hivyo vitatu, uwawadamu wako utakuwa mashakani.

Tuanze na mwili
Mwili ni asili yake ni hapa duniani au kwenye dimension hii au realm hii ya dunia au existence, hapa ndio pajama pekee mwili unapoweza ku-exist
Kazi ya mwili kubwa ni ku-host nafsi,yaani nafsi inauvaa mwili na kuishi kwenye mwili, yaani kama vile unapokumbwa na shetani, Anakuwa ameuvaa mwili na anajitambulisha kama yeye na sio wewe tena. Na nafsi inafanya hivyo in a permanent basis yaani kwa namna ya kudumu.
Na mwili ni kama mashine inayomfanya kwa ajili ya nafsi kuweza kuishi kwenye dunia hii,realm au dimension hii.
Mwili kazi yake ni kukusanya information kupitia hisia zake kuu tano,kuona,kusikia,kuonja,kuhisi.

Sasa twende kwenye roho au kwa kiingereza soul
Soul ni kiunganishi baina ya nafsi na mwili, soul au roho ndio muezeshaji mkubwa wa nafsi, soul ndio mkalimani anaetafsiri kwa nafsi kila kitu kinachofanywa na mwili hapa duniani,
Ndani ya soul kuna emotions,intellect and will, sijui kwa Kiswahili nisemeje hapa,mi sijui tunaitaje emotions kwa Kiswahili
Mwili kupitia hisia zake kuu tano unakusanya information na kupeleka kwenye soul kwa njia ya intellect(akili)
Akili inaweza kufanya kwa kwa kupitia hisia za mwli tu bila ya hisia za mwili akili haina uwezo wa kufanya kazi,macho ya kuona kitu akili ina-process na kutafsiri ni nini macho yameona kupitia kumbukumbu za akili.
Maskio yakisikia kitu akili ina-process kisha inatafsiri nini maskio yamesikia
Na hisia nyengine kazi ndio hio hio

Sasa tuingie kwenye nafsi au sprit
Sprit ndio uhai wenyewe,yaani sprit ndio mtu mwenyewe naejelewa au kujitambua,utambulisho wa mtu hautokani na mwili wala roho wala akili
Utambulisho wa mtu mimi ni nani unatokana na nafsi au sprit
Kwenye sprit au nafsi kuna mambo matatu makuu
Kuna intuition,consciousness na submission to the source au God
Intuition ni uwezo wa kujua kitu bila ya kujua umejuaje, inatokea unajua tu bila kuambiwa ua kufundishwa
Consciousness ndio uhai wenyewe na kujitambua
Na submission to the source ni kusalimu amri kwenye chanzo cha sprit au nafsi na. Hanson hiki tunakiita mungu au God
Vitu hivi vyote vipo kwenye nafsi au sprit

Mi nadhani niishie hapa kama kunakuwa na Shaka au you nguvu tutauoizana
Umejibu Vizuri sana na ama kwa hakika Uko sahihi...

ila unachanganya kitu kidogo..

  • Soul (Nefesh in hebrew)=Nafsi
  • Spirit (Pneumo in Greek or Rua'ch in hebrew) =Roho
  • Body= Mwili..
Maelezo mengime uko sawa kabisa...Nitaongeza baadae nikiwa nimekaa sehemu nzuri
 
MWANZO 2:7

"BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe chenye nafsi hai"

Mkuu, kupitia nukuu iliyopo hapo juu kutoka katika maandiko utaona kuwa, mwili wa binadamu ni umbile la nje la viungo vyake vinavyooneka katika ulimwengu wa nje. Bali roho ni umbile la ndani la viungo vyake katika ulimwengu wa roho usioweza kuonekana kwa macho ya kimwili. Muunganiko wa maumbile ya nje na ndani ndiyo hukifanya kiiumbe kuonekana kuwa chenye nafsi hai katika sura ya dunia. Uwepo wa hitilafu kubwa katika mwili wa binadamu ama kiumbe chochote, na kutenganishwa na roho yake, basi nafsi yake uhesabika kuwa imekufa.

Tunaweza kupata picha nzuri kupitia kifaa chochote kile cha umeme. Kifaa hicho honekana hakifanyi kazi yake pasipo kuunganishwa katika umeme ambayo ni nishati hai. Muunganiko wa kifaa husika na umeme unaotiririka katika "components" zake za ndani ndipo kinapoonekana kuweza kufanya kazi yake iliyokusudiwa.

Muundaji wa kifaa amekipa mwili wake wa nje unao onekana, lakini pia kuna uhitaji wa mtiririko wa nishati ya umeme ndani yake ambao hauonekani kwa macho ya kibinadamu, ili kifaa cha umeme kifanye kazi zake sawasawa. Uwepo wa hitilafu kubwa katika kifaa ama pasipo kuunganishwa katika umeme, kifaa uhesabika ni kibovu, au kimekufa.
 
Umejibu Vizuri sana na ama kwa hakika Uko sahihi...

ila unachanganya kitu kidogo..

  • Soul (Nefesh in hebrew)=Nafsi
  • Spirit (Pneumo in Greek or Rua'ch in hebrew) =Roho
  • Body= Mwili..
Maelezo mengime uko sawa kabisa...Nitaongeza baadae nikiwa nimekaa sehemu nzuri
Asante mkuu.
Inawezekana tunakoseana kwenye lugha tu,
Binadamu amejengeka kwenye sehemu tatu
Spirit,soul and body
Mie sprit ndio nafsi which the inner part
Soul ni roho ambayo ipo Kati ya mwili na spirit
Na kisha ndio mwili
Kuna uzi flani hapa nilichangia mada kwa kiingereza labda isome ingeweza kunielewa vizuri kwa kiingereza
Uzi huu hapa chini

 
Asante mkuu.
Inawezekana tunakoseana kwenye lugha tu,
Binadamu amejengeka kwenye sehemu tatu
Spirit,soul and body
Mie sprit ndio nafsi which the inner part
Soul ni roho ambayo ipo Kati ya mwili na spirit
Na kisha ndio mwili
Kuna uzi flani hapa nilichangia mada kwa kiingereza labda isome ingeweza kunielewa vizuri kwa kiingereza
Uzi huu hapa chini

Nikiri kwamba nimesoma bandiko lako...
Na umeelezea Vizuri sana..

I think Uko sahihi sana kama nilivyosema Mwanzoni..Ntaendelea kusema hivyo pia..

NaQuotes Baadhi ya Comments yako..

-Sprit has three parts, consciousness,intuition and submission to the source(God) -soul has three parts, emotions,intellect/mind and will(I will do/ I will not do) -body have all the senses, smell,hear, see, touch,feel,etc The way it is, is that spirit is the godly part in human and the soul is the connection between spirit and body, the soul function is to make sense to the spirit all things the body does

Na kwa hayo uliyoandika Sina shaka na wewe kabisa..

Ila shida Ni Tafsiri yako ya Kiswahili..

Roho ni spirit..
Nafsi ni Soul
Body ni Mwili..

Hata binadamu Hakuumbwa Akiwa Nafsi "Yaani akiwa Soul"
Ilibidi Apewe the connection Between These Two realm (Body and soul) na That Connection its Called Spirit au Roho..

Na ndo maana maandiko ya Kikristo,Kiyahudu na Kiislam yanasema..

"Mungu akampulizia Adam (Body /Udongo) Pumzi ya uhai (The Spirit/Rua'ch/Ruuhu/Pneumo/Roho)
Na akawa Nafsi hai (Soul/Nefesh/Nafsi)

Kwahyo between Nafsi (Soul) and Body Sit the Spirit..
 
Umejibu Vizuri sana na ama kwa hakika Uko sahihi...

ila unachanganya kitu kidogo..

  • Soul (Nefesh in hebrew)=Nafsi
  • Spirit (Pneumo in Greek or Rua'ch in hebrew) =Roho
  • Body= Mwili..
Maelezo mengime uko sawa kabisa...Nitaongeza baadae nikiwa nimekaa sehemu nzuri
Hivi vitu ilipaswa watu wavipatie uzoefu kwa kufikika kabisa na sio maelezo ya kwenye maandishi tu , inabaki kuwa riwaya mpka mtu anakufa hawawahi kupata uzoefu wa kwenye mwili na nnje ya mwili ,akiwa bado kwenye maisha ya uhai wa mwili.
 
MWANZO 2:7

"BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe chenye nafsi hai"

Mkuu, kupitia nukuu iliyopo hapo juu kutoka katika maandiko utaona kuwa, mwili wa binadamu ni umbile la nje la viungo vyake vinavyooneka katika ulimwengu wa nje. Bali roho ni umbile la ndani la viungo vyake katika ulimwengu wa roho usioweza kuonekana kwa macho ya kimwili. Muunganiko wa maumbile ya nje na ndani ndiyo hukifanya kiiumbe kuonekana kuwa chenye nafsi hai katika sura ya dunia. Uwepo wa hitilafu kubwa katika mwili wa binadamu ama kiumbe chochote, na kutenganishwa na roho yake, basi nafsi yake uhesabika kuwa imekufa.

Tunaweza kupata picha nzuri kupitia kifaa chochote kile cha umeme. Kifaa hicho honekana hakifanyi kazi yake pasipo kuunganishwa katika umeme ambayo ni nishati hai. Muunganiko wa kifaa husika na umeme unaotiririka katika "components" zake za ndani ndipo kinapoonekana kuweza kufanya kazi yake iliyokusudiwa.

Muundaji wa kifaa amekipa mwili wake wa nje unao onekana, lakini pia kuna uhitaji wa mtiririko wa nishati ya umeme ndani yake ambao hauonekani kwa macho ya kibinadamu, ili kifaa cha umeme kifanye kazi zake sawasawa. Uwepo wa hitilafu kubwa katika kifaa ama pasipo kuunganishwa katika umeme, kifaa uhesabika ni kibovu, au kimekufa.
Bado ni riwaya ya sungura na fisi
 
Naomba kujua utofauti na uhusiano wa Mwili, Nafsi na Roho.

Vipo wapi na vinatendaje kazi katika mwili wa mwanadamu.

Nawasilisha.
Mwili ni jumba
Roho ni nishati
Nafsi ni muunganiko wa mwili na roho
Utendaji Kazi
Mwili ni kibebeo cha roho.. Roho sio yabisi hivyo inahitaji jumba/kituo.. Tokeo la roho ndani ya mwili huzaa utambulisho huo utambulisho ndio nafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vitu ilipaswa watu wavipatie uzoefu kwa kufikika kabisa na sio maelezo ya kwenye maandishi tu , inabaki kuwa riwaya mpka mtu anakufa hawawahi kupata uzoefu wa kwenye mwili na nnje ya mwili ,akiwa bado kwenye maisha ya uhai wa mwili.
Kweli Kabisa na ndo maana wengi huwa ni wabishi sana kwa sababu wamejaza Intellectual Minds..

Na shida kubwa Experience nayo kuipata Ni mpaka commitments Huwezi kumwambia Mtu anayejiona kashika Dini ajicommit ili Aende kwenye Astral Plane ataona kama unamwambia aende kwa Mapepo..
Na ndo maana Viti vingi watu hushindwa kuelewa Sana kwa sababu ya Kujifungia kwenye Box..

Me napenda kuliita Schrödinger box na wao ni Kama Schrödinger cat Wamekufa huku wanajiona wanaishi kwa wakati mmoj a
 
Kweli Kabisa na ndo maana wengi huwa ni wabishi sana kwa sababu wamejaza Intellectual Minds..

Na shida kubwa Experience nayo kuipata Ni mpaka commitments Huwezi kumwambia Mtu anayejiona kashika Dini ajicommit ili Aende kwenye Astral Plane ataona kama unamwambia aende kwa Mapepo..
Na ndo maana Viti vingi watu hushindwa kuelewa Sana kwa sababu ya Kujifungia kwenye Box..

Me napenda kuliita Schrödinger box na wao ni Kama Schrödinger cat Wamekufa huku wanajiona wanaishi kwa wakati mmoj a
Kuna siku tuliwahi jadiliana hapa hili jambo la astral travel kama sikosei 🤔🤔🤔
 
Hizi ni sehemu tatu zinazojitegemea,
Nafsi inahusika na mambo yafuatayo
Utaishi
Hisia
Ufahamu
Akili
Roho inahusika na vitu vifuatavyo;
Ibada worship
Ushirika
Hisia za rohoni
Dhamiri
Nafsi huwasiliana na mwili au body kupitia milango mitano ya fahamu mitano
Macho
Masikia
Ngozi.
Unapoona jambo unaliona kupitia macho ,macho hupeleka taarifa hiyo kwenye nafsi yako,nafsi hupeleke taarifa hiyo kwenye roho yako.vile vile taarifa yoyote inayotoka kwenye ulimwenyu wa roho hupitia kwenye roho yako kwanza ,Kisha hupokelewa kwenye nafsi ndipo utailewa kwenye mwili na nyama.roho ya mtu ndiyo sehemu ya ndani kabisa ya mtu,sehemu hii ndiyo hasa inayoweza kufanya ibada kamili na Mungu ,Kwa kuwa Mungu ni Roho.ili mtu atambue mambo ya ulimwengu wa roho hupata utambuzi huo Akiwa rohoni.vile vile hata wachawi na waganga Ili wafahamu mambo ya rohoni wanapata ufahamu huo kupitia rohoni.kwa bahati mbaya watu wengi roho zao Huwa zinatawaliwa na nasfi zao Kwa hiyo hawawezi kufahamu sana kuhusu mambo ya rohoni,Kwa kuwa hawawezi kuielewa.wanatamia sana akili zao hata kwenye mambo ya Koroho.akili zilizomo kwenye nafsi zinanafasi ndogo sana ya kufanya umjua Mungu na viumbe wa kiroho.Kwenye mambo ya kiroho hayahitaji elimu sana ndio maana unakuta mchawi ambaye hana darasa anaweza kupaa na ungo ama kufanya miujiza mikubwa(hili haliihitaji mtu awe na PhD?).Kwenye huo ulimwengu wa roho umegawanyika sehemu mbili kuu ,Kwa watu ambao roho zao wamezielekeza Kwa Mungu na wale ambayo wanaushirika na mapepo au miungu.Yote haya yanafanya kazi katika maeneo yaao na wanatambuana vizuri.
 
Hizi ni sehemu tatu zinazojitegemea,
Nafsi inahusika na mambo yafuatayo
Utaishi
Hisia
Ufahamu
Akili
Roho
Ibada worship
Ushirika
Hisia za rohoni
Dhamini
Nafsi huwasiliana na mwili au body kupitia milango mitano ya fahamu mitano
Macho
Masikia
Ngozi.
Unapoona jambo unaliona kupitia macho ,macho hupeleka taarifa hiyo kwenye nafsi yako,nafsi hupeleke taarifa hiyo kwenye roho yako.vile vile taarifa yoyote inayotoka kwenye ulimwenyu wa roho hupitia kwenye roho yako kwanza ,Kisha hupokelewa kwenye nafsi ndipo utailewa kwenye mwili na nyama
Hayo yote mbona yanafanyika kimwili tu ya yanaelezeka kikawaida tu bila kuhusisha nafsi na roho , bado hujaeleza nafsi na roho ni nin.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom