Salaaaam wanajamvi Natafuta chimbo la kuweza kupata upepo mwanana wa kiyiyozi (AC) hili joto la mjini SALIDARAMA balaaaaaaa feni haifui Dafu hata sekunde chimbo liwe reasonable unazuga zuga pale huko unapiga kazi zako...JUICE /LUNCH
Habari za muda huu wajumbe? Je ni kweli mwanamke anashindwa kujua baba wa mtoto? Ashtukie mimba ina miezi mitano?? Kweli au kuna upigaji wa wazi wazi... Je inawezekana kabisa usimjue baba wa mtoto kati ya mtu mbili ulizotembea nazo? Wa kwanza kakataa wa pili hana taarifa.
Hawa watoto wetu wa...
Imetumika miezi 4 tu milango miwili ina friza juu ubaridi mkali na friji kwa chini ina nafasi kubwa na pia 0712046405 lipo Dar es salaam kigamboni pia kuna masofa yanauzwa NAHAMA KIKAZI.
Habari ya asubuhi wataalam mbalimbali,chap kwa haraka ngoja niende straight kwenye mada. Nikiwa zangu kwenye daladala nimepanda zangu nikakaa kwenye siti ya nyuma na wadada wawili wanaonekana form 4 leaves wa Tamisemi wamechaguliwa straight kuanza certificate.
Nikavutiwa na confidence yao...
Habari za muda wakuu?
Baada ya mihangaiko narudi mishale ya saa nne usiku, ninapopumzisha mwili wangu sehemu moja inaitwa Kimanga ya Tabata.
Kumbe bado wapo na shughuli zinaendelea bwana.
Wajomba hawa wamekuja ndio naanza kuupata usingizi, lahauuula nasikia dirishani wanakata wavu kwa madaha...
Habari wazee wa kazi kwema kabisa?.Leo ningependa kuwashirikisha suala moja kwangu nimeona ni njia ya mafanikio kwa yeyote yule ambaye ataiweza ataiishi.
Njia yenyewe ni Kuushinda mwili,mwili ndio kikwazo kwa wengi wetu yaani unashindwa kutunza fedha kisa mwili kuulisha mapochopocho,huenda hayo...
Nahitaji creti za bia chupa kubwa kampuni ya TBL creti 50 kama unazo piga namba 0692 950167 uniuzie kama bei yako itakuwa ndani ya uwezo wangu au makubaliano
KaribuAutoservices located at Mwananyamala
Ni garage inayojishughulisha na
1.Car body works mfano.kunyoosha na kupiga rangi sehemu iliyopata hitilafu ama gari nzima..
2.Mechanical work...matatizo yote ya Engine hapa ni suluhisho kwake
3.Tunashona seat covers
4.ushauri wa kitaalam wa gari yako...
Rejea kichwa cha habari hapo juuu nahitaji laini ya uwakala wa mpesa iliyofit kalikiti kwenye matumizi nipo Dar ubungo plz fanya fasta fasta tupige buzness 0712046405
Habari wakuu...heading ya kukuvuta tu haihusiki ila
sijui hiki mtakiitaje kipaji au ni nin maana
Wakati mwingine huwa najishangaa haswa pale napokamata kalamu na daftari langu flani hivi utakuta naandika heading tu yoyote then napanga matukio ya kustaajabisha wa karibu yangu
Kibaya zaidi ni...
Habari za muda huu makamanda,
Ni matumaini yangu mpo vyema kama kuna mgonjwa basi Mungu amponye
Haya twende na hii
Leo mida ya saa tatu tatu hivi baada ya kumaliza kucheki game la watani wa jadi simba yanga nkarudi na furaha ya arsenal wangu. Sasa baada ya kucheck game nikawa na wana...
Kwa tusiopata tukashtaki kwa Mwenyezi Mungu
Kwa sababu fedha na mali ni mali yake...
Kwa sababu sala ni siri kati ya mwanadamu na Muumba wake hivyo
Kila mwenye kusudi iwe mzazi,mwanafunzi mwenyewe
Aliyepata,aliyekosa ajitoe hata useme neno moja
Kwa kimoyomoyo Mungu awasaidie watoto hawa wapate...
Habari za muda huu wakuu
Muda huu nikiwa nasikiliza redio one wakijadili mambo ya maabara katika shule za Tanzania
Mmoja wa wachangiaji amesema kuna wanasayansi maarufu duniani wanatokea Tanzania akamtaja mmoja kwa jina la Erasto mpemba
Ugunduzi wake;barafu haiyeyuki ikiwekwa kwenye maji ya...
Habari ndugu zangu..
Katika miaka ya 2000 ndio nilianza kumsikia huyu dada machachari repota wa redio one.
Aisee kumbe alifariki kuna mdau mmoja ndio ameniambia
Nilidhani aliacha hii tasnia
Habari wakuu
Leo nilitembelea kwa mjomba wangu
Aisee sasa nilimsubiri kwa kitambo kweli akawa amerudi akamtuma mwanae mkubwa tu wakati anavua viatu na kumwambia ''niletee kandambili zangu"
mwanae akamjibu ''kanambili zako amevaa mama ameenda dukani''
sasa nikamuliza mjomba
Hivi ni kanambili au...
Habari wakuu
Ni matumaini yangu mu wazima kwenye hili jukwaa
Nimemshusha heshima kama vyeo vyangu nimeondoka navyo,hapa nipo zangu huku ndani ndani kinondoni mkwajuni kuna jirani yangu mmoja mdada mbichi tu kama sio 26,27umri wake hapo hawezi kuzidi.
Katika soga za hapa na pale huku tukiwa...
Zamani kidogo kipaji cha kurap ulikuwa ni uhuni ila kadri muda unavyoenda dhana hii inatokomea,
Vijana wanafanya mambo mazito na vipaji vyao ogopa mtu wa elimu yake sisemi wasio na elimu wanafanya vibaya la hasha ila ni hivi LOGIC ni msanii ambaye kesho yake inaonekana sio tu kwa style...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.