Lunch, an abbreviation for luncheon, is a meal eaten around midday. During the 20th century, the meaning gradually narrowed to a meal eaten midday. Lunch is commonly the second meal of the day, after breakfast. The meal varies in size depending on the culture, and significant variations exist in different areas of the world.
Salaaaam wanajamvi Natafuta chimbo la kuweza kupata upepo mwanana wa kiyiyozi (AC) hili joto la mjini SALIDARAMA balaaaaaaa feni haifui Dafu hata sekunde chimbo liwe reasonable unazuga zuga pale huko unapiga kazi zako...JUICE /LUNCH
Mlo wa mchana huuongezea mwili nishati ya kuendelea kujiendesha kwa ufanisi mkubwa pasipo kukwama.
Ni msaada wa kipekee unaousukuma mwili katika kuendesha mifumo yake pamoja na kustahimili masaa ya mchana unapokuwa ofisini au nyumbani ukitelekeza majukumu yako.
Mpangilio wa sahani yako...
Aliyeanzisha uniform au sare shuleni naamini alilenga kuweka usawa baina ya maskini na tajiri lakini pia alitofautisha Kati ya Mwanafunzi na watu watoto wengine. Tunaposema asiye na sare aende shule tunakosea, tulipaswa kuwabaini wasio na unifomu mapema Tena kwa kujiandikisha ikiwemo kuweka...
Habarini wakuu,
Kwa Tanzania hapa, asilimia kubwa ya watu wafanya kazi Ile basi tuu, wachache tuu wana uzalendo na kazi lakini wengi hawana moyo kabisa wa kufanya kazi.
Ukipita maofisini utagundua wafanyakazi wengi iwe private sector au serikalini wanazingatia muda wa lunch kuliko muda wowote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.