lunch

Lunch, an abbreviation for luncheon, is a meal eaten around midday. During the 20th century, the meaning gradually narrowed to a meal eaten midday. Lunch is commonly the second meal of the day, after breakfast. The meal varies in size depending on the culture, and significant variations exist in different areas of the world.

View More On Wikipedia.org
  1. Jerry santonga

    Chimbo gani kuna AC na unaweza pata kinywaji, lunch yako na kufanya kazi zako mbili tatu?

    Salaaaam wanajamvi Natafuta chimbo la kuweza kupata upepo mwanana wa kiyiyozi (AC) hili joto la mjini SALIDARAMA balaaaaaaa feni haifui Dafu hata sekunde chimbo liwe reasonable unazuga zuga pale huko unapiga kazi zako...JUICE /LUNCH
  2. Sildenafil Citrate

    Dondoo kuhusu Mlo wa mchana (Lunch)

    Mlo wa mchana huuongezea mwili nishati ya kuendelea kujiendesha kwa ufanisi mkubwa pasipo kukwama. Ni msaada wa kipekee unaousukuma mwili katika kuendesha mifumo yake pamoja na kustahimili masaa ya mchana unapokuwa ofisini au nyumbani ukitelekeza majukumu yako. Mpangilio wa sahani yako...
  3. B

    Mhe. Ummy sare uleta usawa shule za serikali, mzazi anayekosa unifomu nivigumu Kupata nguo mbadala za mwanaye: Tupunguze free lunch Kwa wananchi

    Aliyeanzisha uniform au sare shuleni naamini alilenga kuweka usawa baina ya maskini na tajiri lakini pia alitofautisha Kati ya Mwanafunzi na watu watoto wengine. Tunaposema asiye na sare aende shule tunakosea, tulipaswa kuwabaini wasio na unifomu mapema Tena kwa kujiandikisha ikiwemo kuweka...
  4. Vesper-valens

    Ukitaka kujua Watanzania wengi hawapendi kazi, zunguka maofisini muda wa lunch

    Habarini wakuu, Kwa Tanzania hapa, asilimia kubwa ya watu wafanya kazi Ile basi tuu, wachache tuu wana uzalendo na kazi lakini wengi hawana moyo kabisa wa kufanya kazi. Ukipita maofisini utagundua wafanyakazi wengi iwe private sector au serikalini wanazingatia muda wa lunch kuliko muda wowote...
Back
Top Bottom