Familia yetu

Familia yetu

Jerry santonga

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2014
Posts
647
Reaction score
566
Habari wakuu...heading ya kukuvuta tu haihusiki ila



sijui hiki mtakiitaje kipaji au ni nin maana
Wakati mwingine huwa najishangaa haswa pale napokamata kalamu na daftari langu flani hivi utakuta naandika heading tu yoyote then napanga matukio ya kustaajabisha wa karibu yangu
Kibaya zaidi ni leo nilipoandika heading ya MCHIMBA MAKABURI


ALIANZA HIVYI


Ni usiku wa manane pakiwa ni patulivu sana kiasi cha hata unyoya ungedondoka basi yoyote aliyepo kwenye eneo hilo angesikia sauti ya kudondoka kwa unyoya huo...ni majira ya saa nane na dakika hamsini na mbili Mirafa anaamshwa na kelele za watu wakiwa wanagonga mlango wake walianza taratibu kana kwamba hawataki mtu awaye yoyote wawasikie ila muda huu walikuwa wanagonga kwa nguvu


Walifupisha RAFA,wakimaanisha Mirafa walimuita kwa nguvu sauti iliashiria kukerwa kwa kitendo cha Mirafa kutokuamka kwa wakati


Sasa wakuu najikuta naandika mistoooori mingi isiyo na idadi
Nilishawahi kwenda Timamu company ila walinitaka nitoe fedha kiasi kinene mno sasa nikashindwa yan
Ni addict sana sometime sipendi kuona kalamu na karatasi yan hata ukinipa heading mkuu mtiririko ntakupa hata ukitaka usiishe milele kama isidingo


OMBI...
Naomba connection.hata kujitolea
NB.still natafuta chance japo tasnia imelala nchini

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom