Chimbo gani kuna AC na unaweza pata kinywaji, lunch yako na kufanya kazi zako mbili tatu?

Jerry santonga

JF-Expert Member
Oct 12, 2014
642
550
Salaaaam wanajamvi Natafuta chimbo la kuweza kupata upepo mwanana wa kiyiyozi (AC) hili joto la mjini SALIDARAMA balaaaaaaa feni haifui Dafu hata sekunde chimbo liwe reasonable unazuga zuga pale huko unapiga kazi zako...JUICE /LUNCH
 
Salaaaam wanajamvi Natafuta chimbo la kuweza kupata upepo mwanana wa kiyiyozi (AC) hili joto la mjini SALIDARAMA balaaaaaaa feni haifui Dafu hata sekunde chimbo liwe reasonable unazuga zuga pale huko unapiga kazi zako...JUICE /LUNCH
Nenda maki juice Sinza
 
Salaaaam wanajamvi Natafuta chimbo la kuweza kupata upepo mwanana wa kiyiyozi (AC) hili joto la mjini SALIDARAMA balaaaaaaa feni haifui Dafu hata sekunde chimbo liwe reasonable unazuga zuga pale huko unapiga kazi zako...JUICE /LUNCH
Nenda bandari,mission seafarers floor ya 5 free internet
 
Ukiwa Dodoma, Shoppers Plaza, Kahawa Càfe. Good + Free-WiFI. Dar es salam, sehemu nzuri zipo kibao kule Mbezi Beach, Mikocheni na Oyster Bay, ni wewe tu na mfuko wako.
 
Salaaaam wanajamvi Natafuta chimbo la kuweza kupata upepo mwanana wa kiyiyozi (AC) hili joto la mjini SALIDARAMA balaaaaaaa feni haifui Dafu hata sekunde chimbo liwe reasonable unazuga zuga pale huko unapiga kazi zako...JUICE /LUNCH


Una 30,000 ya ku spend? Yamejaa. Nafikiri double view sinza ni pazuri il mshikaki nyma 4 ni 4000
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom