Nahitaji laini ya mpesa bajeti yangu 120k

Nahitaji laini ya mpesa bajeti yangu 120k

Jerry santonga

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2014
Posts
647
Reaction score
566
Rejea kichwa cha habari hapo juuu nahitaji laini ya uwakala wa mpesa iliyofit kalikiti kwenye matumizi nipo Dar ubungo plz fanya fasta fasta tupige buzness 0712046405
 
Hizi line siuzi kwa njaa kaka ata mm naziuza ila ntazitafuta tena nikitaka kuendelea tena na biashara so ata zikibakia Hamna tatizo na siwezi kuuza kwa hasara.
 
Back
Top Bottom