https://twitter.com/WBTanzania/status/1724805228581781607?t=rIJGgp2j31MJan_0GHtG-w&s=19
Tanzania imetajwa kuongoza Duniani kwa upelekaji wa huduma ya maji ya bomba Duniani kupitia program ya Lipa...
Wakati wa mfumo wa chama kimoja kulikuwa na somo la Siasa kuanzia Primary hadi Form 4 so Wanafunzi wa Primary waliokuwa wanafanya Vizuri kwenye Siasa waliingizwa Chipukizi direct.
Nakumbuka...
Nawasalimu wana jamvi, ni imani yangu mko vizuri kabisa na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya Ujenzi wa Taifa.
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kwamba akili za Watanzania wengi...
Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ikiwa ni baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wake, Meja Jenerali Paul Kisesa kuteuliwa kuwa Balozi wa...
Da! Kifo cha Pande kimeniumiza mno. Alipokuwa ofisi ya DPP kanda ya Mbeya kabla ya kupandishwa cheo mara kadhaa alikuwa anakataa kesi za mchongo dhidi yangu alizopelekewa na polisi. Alishawahi...
Ndugu zangu Watanzania,
Kiukweli inafikirisha sana ,inatafakarisha sana unapomuona mtoto mdogo Qayllah Nurdin Bilal Mwenyekiti wa chipukizi wa CCM Taifa akijieleza vizuri kwa hoja ,ufasaha...
Kwa kweli tunawashukuru sana wale wote waliojitolea kwa hali na mali kusaidia wahanga wa Hanang , na tunachukua nafasi hii kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu ili awajazie pale palipopungua, Amina.
Hata...
Hapo vip!!
Huu ndio ukweli ulete hoja zako za kiafrika haiwezi kubadilisha huu ukweli.
Ukweli ni unadhihirishwa wazi na maendeleo ya Afrika tangu tuanze kupata uhuru..na kuna baadhi a nchi za...
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Kimataifa , Bilionea Joseph Mbilinyi , Yeye badala ya kuwaita watanzania wenzake...
Mwenezi wa CCM komredi Makonda amesema ukiona Rais Samia anavunja bodi ya shirika Ujue Uvumilivu imefika Mwisho
Kuna changamoto ya Mgao wa umeme na imekuwa kero kubwa kwa Wananchi hivyo Chama...
BASHUNGWA AWANYOOSHEA KIDOLE VIONGOZI WANAORUDISHA NYUMA MAENDELEO KAGERA
Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ameendelea kuwanyooshea kidole baadhi ya Viongozi...
WAZIRI DKT. NDUMBARO ANUFAISHA VIKUNDI 8 NA MFUKO WA JIMBO SONGEA
"Nimekabidhi mashine nane za kutotolesha vifaranga kwa vikundi nane vya Jimbo la Songea Mjini, Kupitia fedha za mfuko wa jimbo...
Ndugu zangu Watanzania,
Serikali yetu imetoka hadharani kupitia katibu mkuu ndugu Mramba kuelezea kwa kina ,marefu na mapana sababu ya mgao wa umeme unaoendelea hapa Nchini.hii ni baada ya watu...
Mamlaka Nchini Malawi imezuia uagizaji wa Mahindi kutoka Tanzania na Kenya Kwa kile walichodia ni kuepusha kuambukizwa ugonjwa wa Nethal Necrosis ambao wanadai hauna dawa.
Mamlaka Nchini humo...
Dawa ni CCM kutema wote hawa ili ianze na watu wapya kabisaaa... ili kuiponya Mara na kutunza heshima ya Muasisi wa taifa na chama ambaye alitoka mkoa wa Mara.
Haiwezekani kundi dogo la watu...
The United Kingdoms of Afrika (UKOA) kupitia kwa Dr. Moses Katega “Prince Katega II” Na Dr. Fadhili Emily Kabujanja “Mfalme Dr. Fadhili” wameandika barua na kuiwasilisha Ubalozi wa Ujerumani...
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, Naibu DPP aliyefariki majuzi, Joseph Pande ni miongoni mwa watu wachache waliotumikishwa na kupanga Njama ya kuwafunga Jela Raia wema, Joseph Mbilinyi aliyekuwa...
Kama tunavyokumbuka awamu ya 5, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda alianzisha vita kali dhidi ya ushoga.
Baada ya muda kidogo vyombo mbalimbali habari nje ya nchi vikaripoti kuwa mashoga...
Yaani Wananchi wakielezwa Kwanini Dr Kalemani hakuleta mgao wa Umeme na Dr Biteko ameleta mgao wa Umeme basi wataendelea kuwa wavumilivu
Wanachojiuliza ni Kwanini yule aliweza na Huyu anashindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.