Kiukweli nampongeza sana Rais Samia Suluhu Hassan, matusi anayotukanwa na watu wa Chadema huwa yananiuma sana, watu wanatukana utadhani wanatukana wahuni wenzao, heshima ya Rais iko majaribuni kwa...
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (LAAC) imemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi maalum kwenye ujenzi wa stendi ya Kimataifa iliyopo kata ya Mfumuni...
Naona baadhi ya watu wanashangilia kama jambo jema na kubwa sana kwamba kuna kijana wa miaka 44 kutoka chama cha upinzani huko Senegal anakaribia kutwaa madaraka ya Urais baada ya kupigiwa kura...
Ni muhimu vijana wafundishwe kuheshimu Mamlaka zilizopo
Vijana tuheshimu Serikali za Vijiji.
Tuheshimu Mamlaka za kata .
Tuheshimu viongozi wa Wilaya.
Tuheshimu Mamlaka za Mikoa.
Tuheshimu...
Wema wa Sabodo si huu kiduchu wa kusaidia vyama vya siasa nchini Tanzania , Huyu mtu kifo chake ni pigo kuliko hata mapigo mnayoyajua , Kuna haja ya Hotuba ile ya Mbowe kuletwa hapa JF kwa njia...
Wilaya ya Kilosa ni kiini cha migogoro ya Wakulima na Wafugaji. Ma DC wengi na hata wakuu wa mikoa na viongozi wa Polisi mkoa na wilaya watakiri hili.
Uteuzi wa Shaka kwenda pale tena akiwa DC...
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Njombe anayemaliza muda wake , Kamanda kabisa Rose Mayemba , ambaye ametajwa kuinyoosha ccm katika uongozi wake Mkoani humo , huku akiisambaza Chadema hadi kwenye...
Ndugu Zangu Watanzania: Umuhimu wa Uongozi Mzuri na Viongozi wa Kuaminika
Katika kipindi hiki cha mjadala wa kisiasa na kuleta maendeleo nchini Tanzania, ni muhimu sana kwa viongozi wetu, hasa...
Umejengwa utamaduni wa ajabu kwa kutoa Sifa kwa viongozi wa kisiasa wanaposimamia utekelezwaji wa miradi ya kitaifa, na kusahaulika Mwananchi ambaye ndiye aliyemwaga jasho kutafuta pesa na kuipa...
Kada wa CCM na Mwandishi nguli wa Habari Maulid Kitenge amesema Makada ndani ya CCM wanataka wale wote Waliotaka kuzuia Urais wa Dkt. Samia Wabanwe
Kitenge amesema Makada hao hawajafafanua...
Changamoto zilizokua zimeibuliwa na wanainchi na kubebwa na upinzani kama agenda, zimetatuliwa sawa sawia na serikali ya awamu ya 6 ya CCM.
Kiu, matamanio na matarajio ya waTz yamefikiwa na...
Hivi hawa mawaziri wana vyeti vya form four?
Sijaulizia Degrees, Master's au PhD.
Mtu yeyote angalau mwenye cheti cha kidato cha nne lazima ajitambue, hawezi kuishi kwa kutegemea bahati.
Kila...
Na Mwandishi Wetu
NI miaka kadhaa imepita kutoka majadiliano ya uchakataji wa gesi nchini Tanzania yaanze. Mara kadhaa majadiliano hayo yamesitishwa kutokana na makampuni ya kimataifa ya nishati...
Miongoni mwa siri zilizofichuliwa leo kuhusu Mkataba wa kuiuzia kampuni ya Waarabu Bandari za Tanzania, imo habari kwamba Bandari zitakazohusika ni zile za Tanganyika Pekee, za Zanzibar...
Makosa ya 2015 na 2020 kupata wabunge bila Kupingwa yasijirudie tena, kuna haja ya kupata wabunge waliopita kwa jasho ili wakifika bungeni wafanye Kazi sio ndio ndio zinakuwa nyingi baadae...
Kwasisi tulikuwa ndani ya siasa za 2015 ni kwamba Makonda, Gambo, Nape n.k walikuwa kundi la Marehemu Mzee Membe chini ya mwamvuli wa aliyekuwa Rais wa awamu ya nne Mh. JK. Hata Mama Samia hakuwa...
Siyo kila kiongozi ana akili. Siyo kila kiongozi ana busara. Siyo kila kiongozi ni mwadilifu.
Kiongozi anaweza kuwa mwenye akili, hekima na mwadilifu. Pia mnaweza kuwa na kiongozi mwongo, hana...
Ni siku mbili sasa Senegal wamepata Rais wao mpya Tena wanauempenda kijana mbichi kama gimbi kutoka morogoro Mhe Faye.
Alikuwa katika selo za gereza kuu mjini Dacar kama mfungwa wa kisiasa chini...
Ukiacha African Brotherhood,Samia alikuwa ndio mgeni mashuhuri kwenye Mkutano wa Kilimo wa Afrika Mjini Dakar.
===
I am conveying my sincere congratulations to His Excellency Bassirou Diomaye...
Gazeti la Mwananchi la 31 Oktoba 2022 liliripoti habari ya kupatikana mwekezaji mpya wa kuendesha mabasi ya mwendokasi (DART), Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.
Taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.