Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kiukweli nampongeza sana Rais Samia Suluhu Hassan, matusi anayotukanwa na watu wa Chadema huwa yananiuma sana, watu wanatukana utadhani wanatukana wahuni wenzao, heshima ya Rais iko majaribuni kwa...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (LAAC) imemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi maalum kwenye ujenzi wa stendi ya Kimataifa iliyopo kata ya Mfumuni...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Naona baadhi ya watu wanashangilia kama jambo jema na kubwa sana kwamba kuna kijana wa miaka 44 kutoka chama cha upinzani huko Senegal anakaribia kutwaa madaraka ya Urais baada ya kupigiwa kura...
13 Reactions
61 Replies
3K Views
Ni muhimu vijana wafundishwe kuheshimu Mamlaka zilizopo Vijana tuheshimu Serikali za Vijiji. Tuheshimu Mamlaka za kata . Tuheshimu viongozi wa Wilaya. Tuheshimu Mamlaka za Mikoa. Tuheshimu...
1 Reactions
52 Replies
2K Views
Wema wa Sabodo si huu kiduchu wa kusaidia vyama vya siasa nchini Tanzania , Huyu mtu kifo chake ni pigo kuliko hata mapigo mnayoyajua , Kuna haja ya Hotuba ile ya Mbowe kuletwa hapa JF kwa njia...
23 Reactions
43 Replies
5K Views
Wilaya ya Kilosa ni kiini cha migogoro ya Wakulima na Wafugaji. Ma DC wengi na hata wakuu wa mikoa na viongozi wa Polisi mkoa na wilaya watakiri hili. Uteuzi wa Shaka kwenda pale tena akiwa DC...
6 Reactions
47 Replies
4K Views
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Njombe anayemaliza muda wake , Kamanda kabisa Rose Mayemba , ambaye ametajwa kuinyoosha ccm katika uongozi wake Mkoani humo , huku akiisambaza Chadema hadi kwenye...
7 Reactions
17 Replies
2K Views
Ndugu Zangu Watanzania: Umuhimu wa Uongozi Mzuri na Viongozi wa Kuaminika Katika kipindi hiki cha mjadala wa kisiasa na kuleta maendeleo nchini Tanzania, ni muhimu sana kwa viongozi wetu, hasa...
2 Reactions
79 Replies
6K Views
Umejengwa utamaduni wa ajabu kwa kutoa Sifa kwa viongozi wa kisiasa wanaposimamia utekelezwaji wa miradi ya kitaifa, na kusahaulika Mwananchi ambaye ndiye aliyemwaga jasho kutafuta pesa na kuipa...
12 Reactions
47 Replies
3K Views
Kada wa CCM na Mwandishi nguli wa Habari Maulid Kitenge amesema Makada ndani ya CCM wanataka wale wote Waliotaka kuzuia Urais wa Dkt. Samia Wabanwe Kitenge amesema Makada hao hawajafafanua...
2 Reactions
0 Replies
535 Views
Changamoto zilizokua zimeibuliwa na wanainchi na kubebwa na upinzani kama agenda, zimetatuliwa sawa sawia na serikali ya awamu ya 6 ya CCM. Kiu, matamanio na matarajio ya waTz yamefikiwa na...
2 Reactions
56 Replies
2K Views
Hivi hawa mawaziri wana vyeti vya form four? Sijaulizia Degrees, Master's au PhD. Mtu yeyote angalau mwenye cheti cha kidato cha nne lazima ajitambue, hawezi kuishi kwa kutegemea bahati. Kila...
16 Reactions
47 Replies
3K Views
Na Mwandishi Wetu NI miaka kadhaa imepita kutoka majadiliano ya uchakataji wa gesi nchini Tanzania yaanze. Mara kadhaa majadiliano hayo yamesitishwa kutokana na makampuni ya kimataifa ya nishati...
1 Reactions
0 Replies
468 Views
Miongoni mwa siri zilizofichuliwa leo kuhusu Mkataba wa kuiuzia kampuni ya Waarabu Bandari za Tanzania, imo habari kwamba Bandari zitakazohusika ni zile za Tanganyika Pekee, za Zanzibar...
30 Reactions
397 Replies
36K Views
Makosa ya 2015 na 2020 kupata wabunge bila Kupingwa yasijirudie tena, kuna haja ya kupata wabunge waliopita kwa jasho ili wakifika bungeni wafanye Kazi sio ndio ndio zinakuwa nyingi baadae...
1 Reactions
2 Replies
420 Views
Kwasisi tulikuwa ndani ya siasa za 2015 ni kwamba Makonda, Gambo, Nape n.k walikuwa kundi la Marehemu Mzee Membe chini ya mwamvuli wa aliyekuwa Rais wa awamu ya nne Mh. JK. Hata Mama Samia hakuwa...
7 Reactions
34 Replies
4K Views
Siyo kila kiongozi ana akili. Siyo kila kiongozi ana busara. Siyo kila kiongozi ni mwadilifu. Kiongozi anaweza kuwa mwenye akili, hekima na mwadilifu. Pia mnaweza kuwa na kiongozi mwongo, hana...
3 Reactions
11 Replies
749 Views
Ni siku mbili sasa Senegal wamepata Rais wao mpya Tena wanauempenda kijana mbichi kama gimbi kutoka morogoro Mhe Faye. Alikuwa katika selo za gereza kuu mjini Dacar kama mfungwa wa kisiasa chini...
0 Reactions
0 Replies
673 Views
Ukiacha African Brotherhood,Samia alikuwa ndio mgeni mashuhuri kwenye Mkutano wa Kilimo wa Afrika Mjini Dakar. === I am conveying my sincere congratulations to His Excellency Bassirou Diomaye...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Gazeti la Mwananchi la 31 Oktoba 2022 liliripoti habari ya kupatikana mwekezaji mpya wa kuendesha mabasi ya mwendokasi (DART), Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu. Taarifa...
15 Reactions
93 Replies
12K Views
Back
Top Bottom