Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimejaribu kutafuta watu walioitwa mafisadi, wezi na wapiga Dili walioitwa mbaroni na kuhukumiwa na ile waliita Mahakama ya mafisadi sijaona hata mmja. Mataga na waimba Pambio wa Mwendazake...
2 Reactions
36 Replies
2K Views
Watanzania tunapenda sana kulishwa matango pori na watu wa hili lichama lizee la maccm na tukaamini... Kuna hii story ya kila mara kwamba eti Watumishi wa TISS huwa hawastaafu(wengine wanaamini...
32 Reactions
214 Replies
35K Views
MBUNGE NGASSA: "MAAFISA USAFIRISHAJI POKEENI SALAM KUTOKA KWA RAIS DKT. SAMIA" "... Mheshimiwa Rais Alifanya ziara ya Kikazi Jimbo la Igunga, Leo (Sikukuu ya Krismasi) Nimeona Tukutane Nitoe...
0 Reactions
4 Replies
408 Views
Wanasiasa wanaoweza kupambana na mgombea wa CCM 2025 ni wawili tu kwa sasa. Freeman Mbowe na Tundu Lissu Yupi kati ya hawa ataleta ushindani chanya?
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Habai wnaJF! Embu tutafakari kwa pamoja juu ya hili suala la CCM Chipukizi wadau tusaidiane kufikiri, umri ambao mtoto anatakiwa ajengewe uwezo wa kifikra na kitaaluma, muda wa mtoto kuwa mtoto...
0 Reactions
2 Replies
619 Views
Kwa mwaka wa 2023 Rais Samia amezulu na kutembelea Jumla ya Mataifa 18 Duniani kote. Kwenye ziara hizo ameinadi vyema diplomasia ya Uchumi na Diplomasia ya Tanzania ambapo Kupitia ziara zake hizo...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Nipo hapa Boko darajani nikitoka ibadani Ndio nikakumbuka jana kulikuwa na mgao wa Zawadi za Christmas pale Chamani kutoka kwa mh mbunge Sema tu Kadi ya Christmas imeandikwa 2025, hapo Ndio...
2 Reactions
3 Replies
391 Views
Kukataa rushwa kwa mwanachama wa ccm ni jambo jipya , ni maajabu na jambo lisiloaminika , Hata Dr Magufuli aliyejaribu kuwadanganya wanaccm wenzie kwamba hachukui rushwa , jambo hili lilimshinda ...
0 Reactions
3 Replies
664 Views
Watanzania yaelekea vichwa vyetu ni vizito sana kuelewa!! Wakati January Makamba akiwa Waziri wa Nishati, aliwahi kunena kuwa kukatika kwa umeme kulikuwa kumesababishwa na mitambo ya TANESCO...
17 Reactions
26 Replies
2K Views
Pamoja na Ukongwe na uchakavu wa CCM Lakini bado wapo wachache wenye uzalendo Namuona mh Mchengerwa kama Waziri Bora kwa mwaka 2023 Merry Christmas 😀
1 Reactions
10 Replies
676 Views
Hali ya mawasiliano katika jimbo la Ukonga DSM imezidi kuharibika kutokana na ubovu mkubwa wa barabara uliosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha kwa wiki moja. Barabara zote kuu za kuingia...
3 Reactions
47 Replies
6K Views
Ccmchipukizi maana yake nii? Wana faida gani kwa chama? Kwanini wawe watoto wengi wa viongozi na watu mashuhuri ndani na nje ya chama na sio mtoto wa mkulima na mfugaji? Je, mtoto wa mkulima na...
1 Reactions
11 Replies
920 Views
Rais Samia nimemaliza kumsoma na kuelewa mbinu anazotumia ktk uongozi wake. Anatumia 4U (Uongo, ulaghai, ucheleweshaji na upotoshaji), na siyo 4R kama alivyoutangazia umma. Nitatoa mifano ktk...
13 Reactions
39 Replies
3K Views
Nahitaji kuelewa majukumu haswa ya ujasusi katika mataifa masikini zaidi ya kupambana na ugaidi (ambao umekuwa changamoto zaidi kuanzi 2000s) ni yapi? Naelewa Wamarekani, Wachina, Warusi na Ulaya...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Report ya mwaka huu wakati mama anapokea alizuga kuchukizwa sana, jiulize nani kafanywa nini kwa walio tajwa kwenye report? Sasa ngojea hizi tozo muone zinavyo pigwa, Wajinga wanakamuliwa ili...
1 Reactions
2 Replies
546 Views
M 23 imewajeruhi wanajeshi wetu huko Kivu ya Kaskazini. Ifahamike m23 ni wahuni wanaoungwa mkono na Serikali ya Kigali na ikumbukwe wahuni hao m23 kipindi cha Kikwete tuliwatwanga hali...
17 Reactions
305 Replies
20K Views
Ifuatayo ni miradi ambayo imeshindwa kumalizika, mingine inatumika hata kama haija isha mingine ndio imeshindwa hata kutumika. 1. Barabara ya njia nane toka kimara hadi Kibaha - wote mnapita...
3 Reactions
69 Replies
4K Views
Mama kama alitaka kuingilia chama hiki labda kwa lengo zuri, au lengo mahususi. Akafanya uteuzi wa viongozi wake. Kati ya viongozi wa Juu alilipoti moja tu. Kajaribu sana kuweka vitu upya...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama tunavyojua Mwenyekiti wa Chipukizi taifa bado ni mtoto anasoma tena itakua shule ya msingi. Sasa kwa upuuzi huu wa CCM kumpa cheo huyu mtoto hivi walimu wake darasani au hata mwalimu mkuu...
23 Reactions
102 Replies
10K Views
Tuna tatizo la umeme linalochangiwa na upungufu wa maji kwenye mabwawa. Tumeanza kuona Rehema za Mungu mvua inanyesha hivyo maji yataongezeka na mgao utaisha. My worry for politicians; wataingia...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom