Nimejaribu kutafuta watu walioitwa mafisadi, wezi na wapiga Dili walioitwa mbaroni na kuhukumiwa na ile waliita Mahakama ya mafisadi sijaona hata mmja.
Mataga na waimba Pambio wa Mwendazake...
Watanzania tunapenda sana kulishwa matango pori na watu wa hili lichama lizee la maccm na tukaamini...
Kuna hii story ya kila mara kwamba eti Watumishi wa TISS huwa hawastaafu(wengine wanaamini...
MBUNGE NGASSA: "MAAFISA USAFIRISHAJI POKEENI SALAM KUTOKA KWA RAIS DKT. SAMIA"
"... Mheshimiwa Rais Alifanya ziara ya Kikazi Jimbo la Igunga, Leo (Sikukuu ya Krismasi) Nimeona Tukutane Nitoe...
Habai wnaJF!
Embu tutafakari kwa pamoja juu ya hili suala la CCM Chipukizi wadau tusaidiane kufikiri, umri ambao mtoto anatakiwa ajengewe uwezo wa kifikra na kitaaluma, muda wa mtoto kuwa mtoto...
Kwa mwaka wa 2023 Rais Samia amezulu na kutembelea Jumla ya Mataifa 18 Duniani kote.
Kwenye ziara hizo ameinadi vyema diplomasia ya Uchumi na Diplomasia ya Tanzania ambapo Kupitia ziara zake hizo...
Nipo hapa Boko darajani nikitoka ibadani Ndio nikakumbuka jana kulikuwa na mgao wa Zawadi za Christmas pale Chamani kutoka kwa mh mbunge
Sema tu Kadi ya Christmas imeandikwa 2025, hapo Ndio...
Kukataa rushwa kwa mwanachama wa ccm ni jambo jipya , ni maajabu na jambo lisiloaminika , Hata Dr Magufuli aliyejaribu kuwadanganya wanaccm wenzie kwamba hachukui rushwa , jambo hili lilimshinda ...
Watanzania yaelekea vichwa vyetu ni vizito sana kuelewa!!
Wakati January Makamba akiwa Waziri wa Nishati, aliwahi kunena kuwa kukatika kwa umeme kulikuwa kumesababishwa na mitambo ya TANESCO...
Hali ya mawasiliano katika jimbo la Ukonga DSM imezidi kuharibika kutokana na ubovu mkubwa wa barabara uliosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha kwa wiki moja.
Barabara zote kuu za kuingia...
Ccmchipukizi maana yake nii?
Wana faida gani kwa chama?
Kwanini wawe watoto wengi wa viongozi na watu mashuhuri ndani na nje ya chama na sio mtoto wa mkulima na mfugaji?
Je, mtoto wa mkulima na...
Rais Samia nimemaliza kumsoma na kuelewa mbinu anazotumia ktk uongozi wake. Anatumia 4U (Uongo, ulaghai, ucheleweshaji na upotoshaji), na siyo 4R kama alivyoutangazia umma. Nitatoa mifano ktk...
Nahitaji kuelewa majukumu haswa ya ujasusi katika mataifa masikini zaidi ya kupambana na ugaidi (ambao umekuwa changamoto zaidi kuanzi 2000s) ni yapi?
Naelewa Wamarekani, Wachina, Warusi na Ulaya...
Report ya mwaka huu wakati mama anapokea alizuga kuchukizwa sana, jiulize nani kafanywa nini kwa walio tajwa kwenye report? Sasa ngojea hizi tozo muone zinavyo pigwa, Wajinga wanakamuliwa ili...
M 23 imewajeruhi wanajeshi wetu huko Kivu ya Kaskazini.
Ifahamike m23 ni wahuni wanaoungwa mkono na Serikali ya Kigali na ikumbukwe wahuni hao m23 kipindi cha Kikwete tuliwatwanga hali...
Ifuatayo ni miradi ambayo imeshindwa kumalizika, mingine inatumika hata kama haija isha mingine ndio imeshindwa hata kutumika.
1. Barabara ya njia nane toka kimara hadi Kibaha - wote mnapita...
Mama kama alitaka kuingilia chama hiki labda kwa lengo zuri, au lengo mahususi. Akafanya uteuzi wa viongozi wake. Kati ya viongozi wa Juu alilipoti moja tu. Kajaribu sana kuweka vitu upya...
Kama tunavyojua Mwenyekiti wa Chipukizi taifa bado ni mtoto anasoma tena itakua shule ya msingi.
Sasa kwa upuuzi huu wa CCM kumpa cheo huyu mtoto hivi walimu wake darasani au hata mwalimu mkuu...
Tuna tatizo la umeme linalochangiwa na upungufu wa maji kwenye mabwawa. Tumeanza kuona Rehema za Mungu mvua inanyesha hivyo maji yataongezeka na mgao utaisha.
My worry for politicians; wataingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.