johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,121
Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo Mh Zitto Kabwe amemtaka mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Jacob Boniface ajikite kwenye mambo ya Chadema badala ya kuvamia vyama vingine
Zitto Kabwe amesema wao wanajifunza kwenye Dini yao Qur'an Sura 109:6
" Wewe unatumia muda zaidi kuhangaika na mambo yetu, sisi hatuna muda na mambo yenu. Kila mtu ashinde mechi zake " ameandika Zitto Kabwe ukurasani X
Mlale Unono 😄😄🔥
Zitto Kabwe amesema wao wanajifunza kwenye Dini yao Qur'an Sura 109:6
" Wewe unatumia muda zaidi kuhangaika na mambo yetu, sisi hatuna muda na mambo yenu. Kila mtu ashinde mechi zake " ameandika Zitto Kabwe ukurasani X
Mlale Unono 😄😄🔥