Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Umekosa hoja ! Umekosa mvuto, Hauna dira yoyote ! Kama Kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia, kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani!
Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote, Kikwete sio mgombea Ttena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu, pambaneni na Makonda anayewatoa kamasi kwa knockout kwa Kila jaribio lenu !
Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote, Kikwete sio mgombea Ttena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu, pambaneni na Makonda anayewatoa kamasi kwa knockout kwa Kila jaribio lenu !
Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!