Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Wilaya ya Kilosa ni kiini cha migogoro ya Wakulima na Wafugaji. Ma DC wengi na hata wakuu wa mikoa na viongozi wa Polisi mkoa na wilaya watakiri hili.
Uteuzi wa Shaka kwenda pale tena akiwa DC kwa mara ya kwanza utazamwe upya. Hii wilaya yahitaji DC mzoefu au mwenye uwezo mkubwa wa kutatua migogoro.
Sina uhakika Kama Shaka ataimudu wilaya hii. Simdharau ila nasema tu Sina uhakika Kama DC mpya Shaka Hamidu Shaka ataweza mchakamchaka wa Wakulima na Wafugaji wa wilaya ya Kilosa.
Ningependekeza abadilishiwe kituo na kuangalia orodhani kama kuna DC ataimudu wilaya ya Kilosa.
Ni maoni yangu tu.
Uteuzi wa Shaka kwenda pale tena akiwa DC kwa mara ya kwanza utazamwe upya. Hii wilaya yahitaji DC mzoefu au mwenye uwezo mkubwa wa kutatua migogoro.
Sina uhakika Kama Shaka ataimudu wilaya hii. Simdharau ila nasema tu Sina uhakika Kama DC mpya Shaka Hamidu Shaka ataweza mchakamchaka wa Wakulima na Wafugaji wa wilaya ya Kilosa.
Ningependekeza abadilishiwe kituo na kuangalia orodhani kama kuna DC ataimudu wilaya ya Kilosa.
Ni maoni yangu tu.