1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 439
- 1,756
Kiukweli nampongeza sana Rais Samia Suluhu Hassan, matusi anayotukanwa na watu wa Chadema huwa yananiuma sana, watu wanatukana utadhani wanatukana wahuni wenzao, heshima ya Rais iko majaribuni kwa sababu ya wahuni waliopewa nafasi ya kujieleza.
Ukienda kule mtandao wa X kuna yule meya wa zamani wa Chadema Boniface, kuna mtu anaitwa Martin cjui kuna Lema na wenzake, wanatukana hadi unakosa raha.
Wengine sisi malofa hatuna ubavu wa kuwashughulikia akina Jacob lakn tunaumia sana kuona wakimtukana Rais.
Jacob anafikia hatua ya kumdhihaki afisa uhamiaji kwa kumuita bumunda na watu wanamchekea.
Leo Nape anasema ndani kulikuwa na mijadala ya kuwashughulikia wahalifu hao wa mitandao lakini Rais akamuita na kumwambia hapana, kuwa mvumilivu samaria 4R zangu.
Mhe.Rais, ana watoto, ana familia, ana roho kama sisi, kwanini mumdhalilishe kiongozi wetu nyie Chadema? Mnataka kuturudisha kule kule ili mrudi Canada kuendelea na maisha yenu?
Mbona Mbowe hatukanwi, mbona Lissu hatukanwi.
Acheni siasa hizo, nchi ina amani hii, kazi ya kujenga nchi sio lelemama, mmeachiwa muandamane mnataka nini sasa, mnadhani watu wanafurahia mnayomfanyia Rais wetu.
Nakuombea kwa Mungu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utimize malengo yako ya kuongoza nchi.
Ukienda kule mtandao wa X kuna yule meya wa zamani wa Chadema Boniface, kuna mtu anaitwa Martin cjui kuna Lema na wenzake, wanatukana hadi unakosa raha.
Wengine sisi malofa hatuna ubavu wa kuwashughulikia akina Jacob lakn tunaumia sana kuona wakimtukana Rais.
Jacob anafikia hatua ya kumdhihaki afisa uhamiaji kwa kumuita bumunda na watu wanamchekea.
Leo Nape anasema ndani kulikuwa na mijadala ya kuwashughulikia wahalifu hao wa mitandao lakini Rais akamuita na kumwambia hapana, kuwa mvumilivu samaria 4R zangu.
Mhe.Rais, ana watoto, ana familia, ana roho kama sisi, kwanini mumdhalilishe kiongozi wetu nyie Chadema? Mnataka kuturudisha kule kule ili mrudi Canada kuendelea na maisha yenu?
Mbona Mbowe hatukanwi, mbona Lissu hatukanwi.
Acheni siasa hizo, nchi ina amani hii, kazi ya kujenga nchi sio lelemama, mmeachiwa muandamane mnataka nini sasa, mnadhani watu wanafurahia mnayomfanyia Rais wetu.
Nakuombea kwa Mungu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utimize malengo yako ya kuongoza nchi.