Padri Silvio Mnyifuna, ataka 2025 Samia aendelee ili wahuni wasipate nafasi

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,009
20,684
Huyu ni Padri huko jimbo Katoliki,Mafinga, Iringa....Kwa sasa nyota ya SSH haishikiki, inakimbia kwa kasi ya mwanga au sauti. Si kwa wananchi wa kawaida, walimu na kila kada, kila kona ni Samia, sasa kishindo cha Samia kimefika katika kanisa katoliki.

Watumishi wa Mungu ni moja kati ya watu wenye maono ambayo huonyeshwa na Mungu, na ujumbe wake si wa kudharau.

Samia Suluhu Hassan, NaHapaipoMitanoTena.

Screenshot_20240328-075756.jpg
FB_IMG_1711601821958.jpg
 
Endeleeni tu kumpigia chapuo huku ukweli mkiwa mnaufahamu fika. Hadi ikifika 2030 mtajikuta wengi wenu tayari ni watumwa kamili wa Waarabu, Wahindi na Wachina kwa mara nyingine tena.

Maana dalili zote zinaonekana.
 
Huyu ni Padri huko jimbo Katoliki,Mafinga, Iringa....Kwa sasa nyota ya SSH haishikiki, inakimbia kwa kasi ya mwanga au sauti. Si kwa wananchi wa kawaida, walimu na kila kada, kila kona ni Samia, sasa kishindo cha Samia kimefika katika kanisa katoliki.

Watumishi wa Mungu ni moja kati ya watu wenye maono ambayo huonyeshwa na Mungu, na ujumbe wake si wa kudharau.

Samia Suluhu Hassan, NaHapaipoMitanoTena.

View attachment 2946524View attachment 2946525
Wakati wa huni wanampiga mno nyuma yake.
 
Back
Top Bottom