chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,009
- 20,684
Huyu ni Padri huko jimbo Katoliki,Mafinga, Iringa....Kwa sasa nyota ya SSH haishikiki, inakimbia kwa kasi ya mwanga au sauti. Si kwa wananchi wa kawaida, walimu na kila kada, kila kona ni Samia, sasa kishindo cha Samia kimefika katika kanisa katoliki.
Watumishi wa Mungu ni moja kati ya watu wenye maono ambayo huonyeshwa na Mungu, na ujumbe wake si wa kudharau.
Samia Suluhu Hassan, NaHapaipoMitanoTena.
Watumishi wa Mungu ni moja kati ya watu wenye maono ambayo huonyeshwa na Mungu, na ujumbe wake si wa kudharau.
Samia Suluhu Hassan, NaHapaipoMitanoTena.