Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo,
Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara.
Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa...
Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo...
Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya...
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu.
Simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia...
Hodi hodi jukwaani kwa Waungwana wana JF,
Nitumaini kwa ukarimu wenu nyote mmesema karibu mgeni.
Nami naingia na kuanza kutoa shukrani za dhati kwa Uongozi wa Jamii Media Inc kwanza...
Njoo agiza chochote unachokitaka kutaka Japan au South Africa Tuna agaiza bidhaa mbalimbali kwamuda mrefu kwauaminifu sana.Kupita kwenye platforms zetu mtu yoyote aliko Japan au South Africa...
TOYOTA HARRIER-ANACONDA
Mwaka 2015
Engine 1980cc
Rangi Pearl White
Mileage 95,000km
Bei 65m
📌Leather Seats 📌Winker Mirrors 📌Sunroof 📌Auto Boot
☎+255626682228
HOUSE FOR RENT
(stand alone)
5bedroom
price:Tsh 3.5m per month
Located at Goba lastanza
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
#houseforrent #goba #daressalaam #viral #video
🔥Tunakuletea🔥
NYUMBA INAUZWA
IPO KARIBU na LEADERS CLUB
KINONDONI
LAMI MPAKA MLANGONI
IPO MAENEO TULIVU SAANA USHUANI
Umiliki (HATI SAFI)
(MIRATHI HALALI)
Kiwanja (SQM 1,935)
👉Price...
Kitabu cha "The 48 Laws of Power" kilichoandikwa na Robert Greene kinachunguza sheria 48 zinazolenga kupata na kudumisha mamlaka na nguvu katika ulimwengu wa kisasa, kielimu, kijamii na kimaisha...
Wana-JF, nauza boma langu mwenyewe lililopo Kimanzichana kwa Gongo (Mkuranga), dakika 3 tu kwa miguu kutoka barabara kuu ya lami (Kilwa Road). Linaleta tija kwa makazi ya familia au uwekezaji...
NYUMBA INAUZWA
Eneo: Ada Estate, Kinondoni (Mbele ya mtaa, eneo tulivu)
Ukubwa wa Kiwanja: SQM 2,950
Umiliki: Hati Safi (Title Deed)
Bei: TZS Bilioni 6.5 (Sawa na USD Million 2.5) — Maongezi yapo...
Habarini wakuu, kiwanja kinauzwa Dodoma Mjini mtaa wa Chinyoya uliopo karibu na Uzunguni kina ukubwa wa Sqm 800 pia kina Hati, Huduma za maji na umeme zipo zote kwenye kiwanja kwahiyo ukinunua...
Kiwanja kinauzwa Nyamhongoro Mwanza, ni sehemu nzuri sana, 502 sqmts, block 5, kuelekea kwa mapadri...Bei 26 mil..maongezi yapo..Hati ipo..
Karibu sana mteja mpendwa..
mercybriella@gmail.com
Hello ! Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni, yenye uzima na yanatumika kwa bei nafuu kabisa….kwa latest updates unaweza Subscribe uzi huu, ili kupata taarifa za gari...
Unapoamua kuingia kwenye ulimwengu wa biashara, zipo changamoto kadhaa ambazo lazima
utakutana nazo katika harakati za utafutaji. Changamoto kubwa zaidi ni kujua wapi pa kupata bidhaa kwa bei ya...
Habari wakuu,
Anaeitaji nyumba/kiwanja/ chumba maeneo hayo kwajili ya kupanga, maeneo ya Afrikana, mbuyuni, Tegeta, Skanska, mji mpya kule chini zamani machimbo ya mawe kwasasa kumejengeka...
Habari za weekend wakuu, nahitaji hii mimea mmoja ni Anubias Nana, na mwingine ni Pothos
Kama unayo naomba tuwasiliane kujua bei na jinsi nitakavyoipata
👋
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.