Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo...
Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya...
Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo,
Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara.
Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa...
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu.
Simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia...
Hodi hodi jukwaani kwa Waungwana wana JF,
Nitumaini kwa ukarimu wenu nyote mmesema karibu mgeni.
Nami naingia na kuanza kutoa shukrani za dhati kwa Uongozi wa Jamii Media Inc kwanza...
OPERATING BEACH HOTEL FOR SALE IN MTWARA REGION
-Invest in this stunning resort and take advantage of the burgeoning tourism industry in Mtwara.
-This is your chance to own a piece of paradise...
Unatafuta msaada bora wa masomo kwa mtoto wako au mwanafunzi? Karibu Elite Home Tuition – huduma ya kipekee ya kufundisha nyumbani kwa ubora wa juu!
✨ Tunatoa huduma kwa:
Watoto wadogo (KG1) hadi...
Tujulishane kama una magari mabovu, chuma, copper, brass, alluminium, cast, betri mbovu ya gari nk... Tuko Mikocheni aDar es salaam. Pesa yako unalipwa hapohapo, bei zetu ni nzuri.
Wakuu...
Habari?
Una uhitaji wa BUSINESS CARDS?
Naweza kukufanikishia kwa kukufanyia DIZAINI BURE na Kisha kukuletea zikiwa 100PC PRINTED kwa TSH 25,000/= tu.
Material ninayotumia Ni GROSS PAPER GRAM 300...
Habari? Nafanya Ubunifu wa Logo katika ubora unaoridhisha.. na pia unapata na offer ya letterhed Design na Business card au Tangazo la kupost mtandaoni.
BEI ZA LOGO
80K= Logo+B Card+Letter head...
Unatafuta vifaa bora vya ujenzi kwa bei nzuri?
Karibu VN Warehouse Limited, kampuni iliyosajiliwa kisheria inayojihusisha na uuzaji wa vifaa mbalimbali vya ujenzi kwa jumla na rejareja.
Tunatoa...
Looking for a nice and affordable place to stay?
🏠 Single Self-Contained Bedroom Available for Rent
📍 Kinondoni Vijana
✅ Quiet and peaceful neighborhood
✅ Guaranteed security
✅ Easy access to...
Unatafuta sehemu nzuri, salama na yenye utulivu wa kuishi?
🏠 Single Self-Contained Bedroom Available for Rent 📍 Kinondoni Vijana
Features:
Modern finishing
Kitchen cabinet
Quiet and peaceful...
As of now, there are CEOs of the companies who have not yet filed their income tax returns for the year ended 31st December 2025 instead, they have been left asking themselves numerous questions...
•Unahitaji mbao kwa bei ya jumla na upo Dar ea salaam au pwani?
•L & J TIMBER SUPPLIERS tunakuletea mbao kwa bei ya jumla hadi mahali ulipo ndani ya Dar es salaam na Pwani moja kwa moja kutoka...
habar wana jamvi, kwa mwenye kujua au mkaz wa eneo tajwa hapo juu naomba msaada kama kuna mashamba pori yanauzwa kwa bei ya hali sasa (reasonable price) anifaamishe maeneo hayao liwe linafaa kwa...
Habari! karibu sana
nafanya huduma ya printing kwa ubora wa hali ya juu kama nimezaliwa nayo.
Tunaprint vikombe, chupa, t-shirt aina zote zikiwemo jersey.
uniform za wanafunzi.
mifuko ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.