Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo...
Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya...
Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo,
Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara.
Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa...
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu.
Simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia...
Hodi hodi jukwaani kwa Waungwana wana JF,
Nitumaini kwa ukarimu wenu nyote mmesema karibu mgeni.
Nami naingia na kuanza kutoa shukrani za dhati kwa Uongozi wa Jamii Media Inc kwanza...
Habari wakuu?
Karibuni kwa mahitaji ya furniture aina zote zenye ubora wa hali ya juu na za kisasa.
Tunapokea order na pia tuna furniture ambazo ziko tayari
Ofisi zetu zinapatikana tabata...
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana.
Bei ya Khanga: sh 20,000/=
Bei ya Jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga tatu.
Tunapatikana tabata kinyerezi/Msasani (Biashara ni ya Mtandaoni)...
Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta.
Sifa za Nyumba:
*Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio.
*Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master.
*Huduma...
🔥 CAR USB CHARGER (FAST CHARGING 48W) 🔥
Chaji simu zako kwa haraka na urahisi!
Ina ports 6 (Type-C + USB) – unaweza kuchaji abiria wa mbele na wa nyuma kwa wakati mmoja 🚗⚡
Waya mrefu (1.5M)...
Looking for space, comfort, and prime city living? This is your opportunity!
4 Spacious Bedrooms (Master Ensuite)
Bright & airy living + dining area
Modern kitchen with quality fittings
Secure...
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm...
Habari wakuu,
Anaeitaji nyumba/kiwanja/ chumba maeneo hayo kwajili ya kupanga, maeneo ya Afrikana, mbuyuni, Tegeta, Skanska, mji mpya kule chini zamani machimbo ya mawe kwasasa kumejengeka...
📍 KIBAHA – NIDA
Viwanja 20×20 vinauzwa
💰 Milioni 7 tu
Eneo zuri kwa makazi na uwekezaji.
Bei nafuu, wahi mapema kuchagua eneo lako.
📞 0675 065906
#KibahaNida #ViwanjaVinauzwa #Uwekezaji...
Hello ! Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni, yenye uzima na yanatumika kwa bei nafuu kabisa….kwa latest updates unaweza Subscribe uzi huu, ili kupata taarifa za gari...
Katika uzi huu nitakua naweka subwoofers,soundbars,home theater,speakers na radio za brand tofauti tofauti .
Nitakua nauza bei nafuu kuliko mahali popote Tanzania hii
utachagua bidhaa na kuletewa...
Nipeni 2.5m bila discount wakuu niwe nimekula hasara ya 1.1m ndani ya mwezi
Pikipiki ni Honda ace 150, cc150
Ipo Mbarali mbeya
Pikipiki ni mpya namba yake ni FRD....
Imetembea jumla kilometa...
Bei/Price🏷️👉🏾TSH 28.5M
Call📞+255 747 999 927
TOYOTA MARK X
Year: 2010
Engine: 2,490Cc
Mileage: 58,000+
Transmission: AUTO
✨BLITZ Damper
✨ Cruise Control
✨19 Inch ANHELO Wheels
✅100% Duty...
NYUMBA INA HATI YA WIZARA
INAUZWA #MILLION_270 MAONGEZI IPO DSM KITUNDA UKONGA
VYUMBA
VITATU
VYOTE
MASTER
SEBULE
DINNING
JIKO CHOO CHA PUBLICITY N.K STORE
UKUBWA WA ENEO SQM 1,500
KARIBUNI SANA...
UJENZI: Let us transform your design ideas into reality: NILE HOUSE DESIGNS (nilehousedesigns on instagram).
Karibu tukutengenezee nyumba ya ndoto yako, tuambie unataka nini na sisi tutaboresha...
Habari wakuu, nauza eneo langu lilipo Kibaha kwa Mathias -Mikongeni .
* Ukubwa ni 25x35
* Hati ya Umiliki- kina hati ya mauziano toka Serikali ya mtaa( hakina mgogoro )
* Bei ni Tsh 7...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.