Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo...
Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya...
Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo,
Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara.
Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa...
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu.
Simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia...
Hodi hodi jukwaani kwa Waungwana wana JF,
Nitumaini kwa ukarimu wenu nyote mmesema karibu mgeni.
Nami naingia na kuanza kutoa shukrani za dhati kwa Uongozi wa Jamii Media Inc kwanza...
Habari zenu wanajamvi?
Mimi ni Mpambanaji(Muhitimu wa chuo kikuu UDSM) nilimaliza pale 2015. Nina miaka 35, nna familia ya mke na watoto watano. Kwa sasa niko Kilimanjaro.
Katika harakati nyingi...
UJENZI: Let us transform your design ideas into reality: NILE HOUSE DESIGNS (nilehousedesigns on instagram).
Karibu tukutengenezee nyumba ya ndoto yako, tuambie unataka nini na sisi tutaboresha...
Titled Farm Land For Sale at Mkuranga.
Location: Mwanambaya, about 5.5km from Kilwa rd (Tambani Sec School).
Size: 29.5 acres.
Land use: Suitable for livestock, ranch, poultry or commercial...
Jipatie Bus kali lenye bei Nafuu
Higer KLQ6136DF pamoja na Higer PF4
Lenye choo au bila choo
Bei zetu ni nafuu na unalipa kwa awamu
Weka order yako sasa
📞 +255622726182
📍Magomeni Kanisani
Stock ni...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba...
Plot For Sale at Mikocheni.
Location: Kwa Warioba, on main rd.
Size: 6725 SQM.
Permit: Commercial/Residential.
Price: USD 6.5M, Negotiable.
Seller requirement: Buyer should pays everything (CGT...
Hello ! Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni, yenye uzima na yanatumika kwa bei nafuu kabisa….kwa latest updates unaweza Subscribe uzi huu, ili kupata taarifa za gari...
Unatafuta nyumba ya kuishi AU uwekezaji wenye uhakika?
Hii ni deal ambayo huwezi kuipuuza!
Apartment ya kisasa ya ghorofa
Vyumba 3 vya kulala
Master bedroom (self contained)
Sebule kubwa +...
Bei/Price TSH 5.8M
Call +255 747 999 927
TOYOTA MARK II GRANDE
Year: 2004
Engine: 1,980Cc
Mileage: 148,000+
Transmission: AUTO
Android Radio
2-SRS Airbags
Sport Alloy Wheels
Clean Interior
In...
Habari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda.
Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu...
Nitaongea ukweli bila kupaka sukari.
Mwaka 2026 mteja hakutafuti kwa kuuliza kwa jirani.
Anachofanya ni kuandika Google:
“Hospitali nzuri karibu nami”
“Car dealer Dar es Salaam”
“Law firm...
Habari wanaJF,
Hebu nikuulize swali moja la msingi kama mmiliki wa biashara👇
Ukiwa nyumbani, safarini au hata nje ya nchi—
👉 Unaweza kuona hali halisi ya biashara yako sasa hivi?
Kama jibu ni...
Habari wakuu,
Anaeitaji nyumba/kiwanja/ chumba maeneo hayo kwajili ya kupanga, MAENEO KUANZIA Afrikana,mbuyuni,Tegeta, Skanska, mji mpya kule chini zamani machimbo ya mawe,kwasasa kumejengeka...
LETE DESKTOP/LAPTOP ILIYO HARIBIKA TUKUTENGENEE
PIA TUNAUZA SPARE ZA COMPUTER AINA ZOTE KAMA.....
keyboard za Laptop/Macbook
Battery za Laptop/Macbook
Vioo vya Laptop/Macbook
Hdd/Sdd
Ram memory...
Kwa usahihi na usalama: Fuatilia stock, mauzo, matumizi na faida. Simamia biashara yako popote ulipo! Hakuna kuumiza kichwa. Pata kila kitu unachohitaji kwa ujasiri kuendesha Biashara yako.
Mfumo...
Unatafuta vifaa bora vya ujenzi kwa bei nzuri?
Karibu VN Warehouse Limited, kampuni iliyosajiliwa kisheria inayojihusisha na uuzaji wa vifaa mbalimbali vya ujenzi kwa jumla na rejareja.
Tunatoa...
Mimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wadau hasahasa wale wa mbali na Dodoma na hata waliopo Dodoma,kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.