Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo...
Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya...
Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo,
Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara.
Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa...
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu.
Simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia...
Hodi hodi jukwaani kwa Waungwana wana JF,
Nitumaini kwa ukarimu wenu nyote mmesema karibu mgeni.
Nami naingia na kuanza kutoa shukrani za dhati kwa Uongozi wa Jamii Media Inc kwanza...
Fridge, freezer,AC, Tv, speaker, washing machine, subwoofer, sound bar, majiko, fan, blender, water dispenser,Aircooler, towerfan na electronics zote zipoo kwa bei nafuu.
Mnaofanya biashara...
Huu uzi nitapost bei za jumla za tv brand zote .
Ni kwaajili ya wafanyabiashara wa tv mikoani na wateja wanahitaji pieces nyingi pekee.
Tupo kariakoo mtaa wa magila 📍
Whatsapp 0745588735
Hello ! Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni, yenye uzima na yanatumika kwa bei nafuu kabisa….kwa latest updates unaweza Subscribe uzi huu, ili kupata taarifa za gari...
🌱 Miche Bora na Safi ya Matunda 🌱
Unatafuta miche yenye ubora wa hali ya juu kwa ajili ya bustani yako?
Tunatoa miche bora na safi ya matunda ambayo huanza kuzaa ndani ya miaka 2 hadi 3...
MAZDA VERISA L 2011 MODEL Fresh Import Ndo Imefika na MELI [WISODOM ACE] ndo inashusha KM 80,400 CC 1490 AT Petrol 2WD Price 17.7M + Usajili, Picha zaidi na Final OFA Contact 0714547598
Tunauza ng'ombe wa maziwa rungwe mbeya
Tunao ng'ombe aina mbalimbali wenye uwezo wakutoa lita 30 kutwa
Kuna pure breed za Aryshire, Friesian, jersey, red bull etc.
Namba zetu :0756416149...
Habari za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa JF, mhali Gani,
Ndugu zangu wanaJF nimekuja kwenu Mimi kijana wenu na member mwenzenu nipo Kanda ya ziwa ninaomba niwe mnanituma niwe nawatafutia...
Ndio sijakosea kwa Tsh.200,000 Tu utajipatia website ya kisasa ya biashara au kampuni yako.
Ikijumuisha
usajili wa jina la website
Hosting ya mwaka mzima
Utapata emails rasmi za website yako...
LODGE NZURI INAUZWA (MIL 170) GOBA NJIA PANDA YA TEGETA "A" KWA NIABA YA BANK
Ina Vyumba Tisa (9) Vyote Self Contained Na Frem Nne (4) Za Biashara
Umiliki: Mkataba Wa Mauziano
Ukubwa Wa Eneo...
Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu.
Bei zetu
.
Dar es Salaam – TSh 700/= kwa Tofali
Mikoani – TSh 800/= kwa Tofali
Tunakuja kufyatulia site kwako...
20ft Empty containers, million 03
Price 3MTsh
Location Daressalaam
For Inquiry and inspection 📞 +255625085224
Matumizi, unaweza kutumia kama
-Frame
-shambani
-site,
-store
Ukubwa: Ekari 30
Miti iliyopo: Mikorosho mikubwa na yenye afya takriban 700 (Iko tayari kuvunwa msimu huu).
Mahali: Kijiji cha Tomoni, Wilaya ya Kibiti (Eneo zuri kwa udongo na hali ya hewa)...
Location: Tomoni Village, Kibiti District
Size: 30 Acres
Price: TZS 1,500,000 per acre (Total Price: TZS 45,000,000)
Are you looking for a highly profitable agricultural investment with immediate...
Jenga kwa tofali za interlocking – imara, za kisasa na zenye gharama nafuu.
Tunauza na kujenga kwa kutumia Tofali za Interlocking zenye ubora wa hali ya juu.
Bei zetu
Dar es Salaam – TSh 700/=...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.