Wale walio tajwa report ya CAG wameombewa msamaha kwa Mama

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,704
6,501
Hii nchi ina vituko sana, kinacho itwa vita dhidi ya Ufisadi ni hadaaa kubwa sana, Raisi mwenyewe anajua fika kilicho nyuma ya Pazia.

Kuna mtu wangu mmoja hivi ambaye ni Dereva wa mmoja wa Mabosi wa Taasisi iliotajwa kwenye report ya CAG kwa kupiga Mabilioni ya Umma kanitonya kwamba Bosi wake huyo alishaombewa msamaha kitambo kwa Raiasi na hivyo yuko huru sasa.

Akaniambia iko hivi, mara baada ya report kutoka wale waliotajwa kwenye report hasa mabosi wakubwa wa taasisi tofauti walikusanyana na wakawa wanafanya vikao visivyo rasim vya wanatoka vipi au wanapona vipii na sakata la report ya CAG, Wakaja na wazo la kuwaface watu wa heshima walio karibu na Raisi hasa wale wastafu pia watu wa heshima walio bado kaszini, ila pia wanajua fika huo utaratibu upo na ndio maana hata wao wakapata nguvu ya kufanya hivyo.

Mabosi watajwa kwenye report ya CAG ikabidi watafute hao wastafu na kura zikamwangukia Raisi mstafu Kikwete,Yusufu Makamba ,Mizengwe Pinda na Philip Mangula,kwa Raisi mstafu Mwinyi ilishindikana kwa sababu ya kuwa kwa sasa hakutani kutani kabisa na watu hovyo hasa hawa wachini.Kwa walio kazini alipendekezwa Spika wa Bunge Mh Tulia.

Watajwa hapo juu inasemekana Raisi anawakubali mno na hakuna jambo watamshauri asilifanyie kazi.

Kilicho fanyika ni jamaaa waligawana sasa au kila mtu akapick mtu wake kujaribu bahati,na Mshikaji wangu ananitonya kwamba Bosi wake yeye huenda aliombewa msamaha na Spika wa Bunge na pia wapo walio mface Yusufu Makamba na wapo walio mface Kikwete, Wengine Mizwenge Pinda na inasemekana walio mface Kikwete na Makamba ni wengi sana na idadi chache ilimface Spika na wengine Philip Mangula na Mizwengwe Pinda pia.

Sasa terms za misamaa inabakia siri ya anaye Samehewa na anaye enda kuomba Msamaha kwa Mama kwa niaba.

Ila ni kwamba asilimia karibia yote wameisha samehewa au wameombewa misamaha kwa Mama na watu tajwa hapo juu hivyo usitrajie tena kusikia wana chukuliwa hatua yoyote ile labda kuhamishwa ila kufukuzwa hakupo.

Kwa mlio msio jua swala la Viongozi wastafu kutumika kuombea watu misamaha sio swala geji lipo miaka na miaka ila awamu ya Magufuri hili swala lilififia kwa sababu hata Wastafu walikuwa wanagwaya kwenda kwa Jiwe kuombea watu misamaha,awamu ya 4 huu mfumo ulikuwa kwenye pick yake na awamu hii umerudi tena.

NB:Kwa wanao uliza kwa nini watu hufukuzwa kazi hasa wakuu wa wilaya, Mikoa na Wakurugenzi na baada ya miezi kadhaa huteuliwa tena? Process ni hii hii inatumika ya kuombewa msamaha,Hivyo msiwacheke wanao tumbuliwa sasa make wataombewa misamaha na watarudi kazini muda sio mreru.
 
Hii nchi ina vituko sana, kinacho itwa vita dhidi ya Ufisadi ni hadaaa kubwa sana, Raisi mwenyewe anajua fika kilicho nyuma ya Pazia.

Kuna mtu wangu mmoja hivi ambaye ni Dereva wa mmoja wa Mabosi wa Taasisi iliotajwa kwenye report ya CAG kwa kupiga Mabilioni ya Umma kanitonya kwamba Bosi wake huyo alishaombewa msamaha kitambo kwa Raiasi na hivyo yuko huru sasa.

Akaniambia iko hivi, mara baada ya report kutoka wale waliotajwa kwenye report hasa mabosi wakubwa wa taasisi tofauti walikusanyana na wakawa wanafanya vikao visivyo rasim vya wanatoka vipi au wanapona vipii na sakata la report ya CAG, Wakaja na wazo la kuwaface watu wa heshima walio karibu na Raisi hasa wale wastafu pia watu wa heshima walio bado kaszini, ila pia wanajua fika huo utaratibu upo na ndio maana hata wao wakapata nguvu ya kufanya hivyo.

Mabosi watajwa kwenye report ya CAG ikabidi watafute hao wastafu na kura zikamwangukia Raisi mstafu Kikwete,Yusufu Makamba ,Mizengwe Pinda na Philip Mangula,kwa Raisi mstafu Mwinyi ilishindikana kwa sababu ya kuwa kwa sasa hakutani kutani kabisa na watu hovyo hasa hawa wachini.Kwa walio kazini alipendekezwa Spika wa Bunge Mh Tulia.

Watajwa hapo juu inasemekana Raisi anawakubali mno na hakuna jambo watamshauri asilifanyie kazi.

Kilicho fanyika ni jamaaa waligawana sasa au kila mtu akapick mtu wake kujaribu bahati,na Mshikaji wangu ananitonya kwamba Bosi wake yeye huenda aliombewa msamaha na Spika wa Bunge na pia wapo walio mface Yusufu Makamba na wapo walio mface Kikwete, Wengine Mizwenge Pinda na inasemekana walio mface Kikwete na Makamba ni wengi sana na idadi chache ilimface Spika na wengine Philip Mangula na Mizwengwe Pinda pia.

Sasa terms za misamaa inabakia siri ya anaye Samehewa na anaye enda kuomba Msamaha kwa Mama kwa niaba.

Ila ni kwamba asilimia karibia yote wameisha samehewa au wameombewa misamaha kwa Mama na watu tajwa hapo juu hivyo usitrajie tena kusikia wana chukuliwa hatua yoyote ile labda kuhamishwa ila kufukuzwa hakupo.

Kwa mlio msio jua swala la Viongozi wastafu kutumika kuombea watu misamaha sio swala geji lipo miaka na miaka ila awamu ya Magufuri hili swala lilififia kwa sababu hata Wastafu walikuwa wanagwaya kwenda kwa Jiwe kuombea watu misamaha,awamu ya 4 huu mfumo ulikuwa kwenye pick yake na awamu hii umerudi tena.

NB:Kwa wanao uliza kwa nini watu hufukuzwa kazi hasa wakuu wa wilaya, Mikoa na Wakurugenzi na baada ya miezi kadhaa huteuliwa tena? Process ni hii hii inatumika ya kuombewa msamaha,Hivyo msiwacheke wanao tumbuliwa sasa make wataombewa misamaha na watarudi kazini muda sio mreru.
CAG KATOA REPORT UBASHILIFU WA KILA ENEO KAONYESHA JINSI FEDHA ZILIVYOIBIWA LEO UNATAKA BUNGE LIKAIJADILI TENA REPORT YA CAG KISHA ITOE MAPENDEKEZO KWA SERIKALI ILI ICHUKUE HATUA UKWELI HATUKO SERIOUS MADUDU KAMA HAYA
20230428_142210.jpg
JamiiForums1563802633.jpg
 
Hii nchi ina vituko sana, kinacho itwa vita dhidi ya Ufisadi ni hadaaa kubwa sana, Raisi mwenyewe anajua fika kilicho nyuma ya Pazia.

Kuna mtu wangu mmoja hivi ambaye ni Dereva wa mmoja wa Mabosi wa Taasisi iliotajwa kwenye report ya CAG kwa kupiga Mabilioni ya Umma kanitonya kwamba Bosi wake huyo alishaombewa msamaha kitambo kwa Raiasi na hivyo yuko huru sasa.

Akaniambia iko hivi, mara baada ya report kutoka wale waliotajwa kwenye report hasa mabosi wakubwa wa taasisi tofauti walikusanyana na wakawa wanafanya vikao visivyo rasim vya wanatoka vipi au wanapona vipii na sakata la report ya CAG, Wakaja na wazo la kuwaface watu wa heshima walio karibu na Raisi hasa wale wastafu pia watu wa heshima walio bado kaszini, ila pia wanajua fika huo utaratibu upo na ndio maana hata wao wakapata nguvu ya kufanya hivyo.

Mabosi watajwa kwenye report ya CAG ikabidi watafute hao wastafu na kura zikamwangukia Raisi mstafu Kikwete,Yusufu Makamba ,Mizengwe Pinda na Philip Mangula,kwa Raisi mstafu Mwinyi ilishindikana kwa sababu ya kuwa kwa sasa hakutani kutani kabisa na watu hovyo hasa hawa wachini.Kwa walio kazini alipendekezwa Spika wa Bunge Mh Tulia.

Watajwa hapo juu inasemekana Raisi anawakubali mno na hakuna jambo watamshauri asilifanyie kazi.

Kilicho fanyika ni jamaaa waligawana sasa au kila mtu akapick mtu wake kujaribu bahati,na Mshikaji wangu ananitonya kwamba Bosi wake yeye huenda aliombewa msamaha na Spika wa Bunge na pia wapo walio mface Yusufu Makamba na wapo walio mface Kikwete, Wengine Mizwenge Pinda na inasemekana walio mface Kikwete na Makamba ni wengi sana na idadi chache ilimface Spika na wengine Philip Mangula na Mizwengwe Pinda pia.

Sasa terms za misamaa inabakia siri ya anaye Samehewa na anaye enda kuomba Msamaha kwa Mama kwa niaba.

Ila ni kwamba asilimia karibia yote wameisha samehewa au wameombewa misamaha kwa Mama na watu tajwa hapo juu hivyo usitrajie tena kusikia wana chukuliwa hatua yoyote ile labda kuhamishwa ila kufukuzwa hakupo.

Kwa mlio msio jua swala la Viongozi wastafu kutumika kuombea watu misamaha sio swala geji lipo miaka na miaka ila awamu ya Magufuri hili swala lilififia kwa sababu hata Wastafu walikuwa wanagwaya kwenda kwa Jiwe kuombea watu misamaha,awamu ya 4 huu mfumo ulikuwa kwenye pick yake na awamu hii umerudi tena.

NB:Kwa wanao uliza kwa nini watu hufukuzwa kazi hasa wakuu wa wilaya, Mikoa na Wakurugenzi na baada ya miezi kadhaa huteuliwa tena? Process ni hii hii inatumika ya kuombewa msamaha,Hivyo msiwacheke wanao tumbuliwa sasa make wataombewa misamaha na watarudi kazini muda sio mreru.
CCM na ufisadi ni chanda na pete ✔️
 
Hii nchi ina vituko sana, kinacho itwa vita dhidi ya Ufisadi ni hadaaa kubwa sana, Raisi mwenyewe anajua fika kilicho nyuma ya Pazia.

Kuna mtu wangu mmoja hivi ambaye ni Dereva wa mmoja wa Mabosi wa Taasisi iliotajwa kwenye report ya CAG kwa kupiga Mabilioni ya Umma kanitonya kwamba Bosi wake huyo alishaombewa msamaha kitambo kwa Raiasi na hivyo yuko huru sasa.

Akaniambia iko hivi, mara baada ya report kutoka wale waliotajwa kwenye report hasa mabosi wakubwa wa taasisi tofauti walikusanyana na wakawa wanafanya vikao visivyo rasim vya wanatoka vipi au wanapona vipii na sakata la report ya CAG, Wakaja na wazo la kuwaface watu wa heshima walio karibu na Raisi hasa wale wastafu pia watu wa heshima walio bado kaszini, ila pia wanajua fika huo utaratibu upo na ndio maana hata wao wakapata nguvu ya kufanya hivyo.

Mabosi watajwa kwenye report ya CAG ikabidi watafute hao wastafu na kura zikamwangukia Raisi mstafu Kikwete,Yusufu Makamba ,Mizengwe Pinda na Philip Mangula,kwa Raisi mstafu Mwinyi ilishindikana kwa sababu ya kuwa kwa sasa hakutani kutani kabisa na watu hovyo hasa hawa wachini.Kwa walio kazini alipendekezwa Spika wa Bunge Mh Tulia.

Watajwa hapo juu inasemekana Raisi anawakubali mno na hakuna jambo watamshauri asilifanyie kazi.

Kilicho fanyika ni jamaaa waligawana sasa au kila mtu akapick mtu wake kujaribu bahati,na Mshikaji wangu ananitonya kwamba Bosi wake yeye huenda aliombewa msamaha na Spika wa Bunge na pia wapo walio mface Yusufu Makamba na wapo walio mface Kikwete, Wengine Mizwenge Pinda na inasemekana walio mface Kikwete na Makamba ni wengi sana na idadi chache ilimface Spika na wengine Philip Mangula na Mizwengwe Pinda pia.

Sasa terms za misamaa inabakia siri ya anaye Samehewa na anaye enda kuomba Msamaha kwa Mama kwa niaba.

Ila ni kwamba asilimia karibia yote wameisha samehewa au wameombewa misamaha kwa Mama na watu tajwa hapo juu hivyo usitrajie tena kusikia wana chukuliwa hatua yoyote ile labda kuhamishwa ila kufukuzwa hakupo.

Kwa mlio msio jua swala la Viongozi wastafu kutumika kuombea watu misamaha sio swala geji lipo miaka na miaka ila awamu ya Magufuri hili swala lilififia kwa sababu hata Wastafu walikuwa wanagwaya kwenda kwa Jiwe kuombea watu misamaha,awamu ya 4 huu mfumo ulikuwa kwenye pick yake na awamu hii umerudi tena.

NB:Kwa wanao uliza kwa nini watu hufukuzwa kazi hasa wakuu wa wilaya, Mikoa na Wakurugenzi na baada ya miezi kadhaa huteuliwa tena? Process ni hii hii inatumika ya kuombewa msamaha,Hivyo msiwacheke wanao tumbuliwa sasa make wataombewa misamaha na watarudi kazini muda sio mreru.
Hizo ni tetesi tu, sidhani kama zina ukweli wowote. Ongawa hili suala la mafisadi kutowajibishwa linaleta ukakasi sana. Nchi inapigwa sana na tuliowakabodhi mamlaka ya kutuongoza.
 
Hii nchi ina vituko sana, kinacho itwa vita dhidi ya Ufisadi ni hadaaa kubwa sana, Raisi mwenyewe anajua fika kilicho nyuma ya Pazia.

Kuna mtu wangu mmoja hivi ambaye ni Dereva wa mmoja wa Mabosi wa Taasisi iliotajwa kwenye report ya CAG kwa kupiga Mabilioni ya Umma kanitonya kwamba Bosi wake huyo alishaombewa msamaha kitambo kwa Raiasi na hivyo yuko huru sasa.

Akaniambia iko hivi, mara baada ya report kutoka wale waliotajwa kwenye report hasa mabosi wakubwa wa taasisi tofauti walikusanyana na wakawa wanafanya vikao visivyo rasim vya wanatoka vipi au wanapona vipii na sakata la report ya CAG, Wakaja na wazo la kuwaface watu wa heshima walio karibu na Raisi hasa wale wastafu pia watu wa heshima walio bado kaszini, ila pia wanajua fika huo utaratibu upo na ndio maana hata wao wakapata nguvu ya kufanya hivyo.

Mabosi watajwa kwenye report ya CAG ikabidi watafute hao wastafu na kura zikamwangukia Raisi mstafu Kikwete,Yusufu Makamba ,Mizengwe Pinda na Philip Mangula,kwa Raisi mstafu Mwinyi ilishindikana kwa sababu ya kuwa kwa sasa hakutani kutani kabisa na watu hovyo hasa hawa wachini.Kwa walio kazini alipendekezwa Spika wa Bunge Mh Tulia.

Watajwa hapo juu inasemekana Raisi anawakubali mno na hakuna jambo watamshauri asilifanyie kazi.

Kilicho fanyika ni jamaaa waligawana sasa au kila mtu akapick mtu wake kujaribu bahati,na Mshikaji wangu ananitonya kwamba Bosi wake yeye huenda aliombewa msamaha na Spika wa Bunge na pia wapo walio mface Yusufu Makamba na wapo walio mface Kikwete, Wengine Mizwenge Pinda na inasemekana walio mface Kikwete na Makamba ni wengi sana na idadi chache ilimface Spika na wengine Philip Mangula na Mizwengwe Pinda pia.

Sasa terms za misamaa inabakia siri ya anaye Samehewa na anaye enda kuomba Msamaha kwa Mama kwa niaba.

Ila ni kwamba asilimia karibia yote wameisha samehewa au wameombewa misamaha kwa Mama na watu tajwa hapo juu hivyo usitrajie tena kusikia wana chukuliwa hatua yoyote ile labda kuhamishwa ila kufukuzwa hakupo.

Kwa mlio msio jua swala la Viongozi wastafu kutumika kuombea watu misamaha sio swala geji lipo miaka na miaka ila awamu ya Magufuri hili swala lilififia kwa sababu hata Wastafu walikuwa wanagwaya kwenda kwa Jiwe kuombea watu misamaha,awamu ya 4 huu mfumo ulikuwa kwenye pick yake na awamu hii umerudi tena.

NB:Kwa wanao uliza kwa nini watu hufukuzwa kazi hasa wakuu wa wilaya, Mikoa na Wakurugenzi na baada ya miezi kadhaa huteuliwa tena? Process ni hii hii inatumika ya kuombewa msamaha,Hivyo msiwacheke wanao tumbuliwa sasa make wataombewa misamaha na watarudi kazini muda sio mreru.
Kwa Mangula nakataa.
Mangula namfahamu vyema maana nimekuwa "baba wa ubatizo" kwenye mtoto ndani ya familia yake.

Mzee amenyooka kama rula.
 
Mangula wasingethubutu hata kugusa kiatu chake..Mangula hapa unamchafua tu.

Hata Mizengo Pinda sio rahisi. Ni mtu mwenye maadili yake na anajua mipaka yake.

Tulia ackson pia ni ngumu..si kwamba ana maadili sana ila anamgwaya sana huyu mama.

Hapo viherehere na wapiga dili wawili tu. Hao ndio wameweka marafiki zao na ndugu kwenye nafasi nyeti na kiasi kikubwa jamaa zao ndio wahanga.

Wao wanaamini wanaweza kuingia popote nchi hii na kuongea na yoyote. Na uzuri huo urais wamempa wao. Na walimuambia wanaweza kumnyang'anya pia akiwaendea ndivyo sivyo.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Mangula wasingethubutu hata kugusa kiatu chake..Mangula hapa unamchafua tu.

Hata Mizengo Pinda sio rahisi. Ni mtu mwenye maadili yake na anajua mipaka yake.

Tulia ackson pia ni ngumu..si kwamba ana maadili sana ila anamgwaya sana huyu mama.

Hapo viherehere na wapiga dili wawili tu. Hao ndio wameweka marafiki zao na ndugu kwenye nafasi nyeti na kiasi kikubwa jamaa zao ndio wahanga.

Wao wanaamini wanaweza kuingia popote nchi hii na kuongea na yoyote. Na uzuri huo urais wamempa wao. Na walimuambia wanaweza kumnyang'anya pia akiwaendea ndivyo sivyo.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Akiwa Makamu mwenyekiti wa chama alikuwa kwenye vikao vya Ccm vya nia ovu alikuwa anatoka nje?Mimi nimeleta habari
 
Back
Top Bottom