Ni muda sasa wa Katiba Mpya ipitishe kifungu cha mgombea Binafsi au Kuruhusu Katiba ya Warioba

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
8,610
17,818
Ni miaka 62 sasa Toka Tupate Uhuru, Lakini matakwa ya Watanzania na Tanzania walioitaka Bado haijafanikwa kupatikana..
Walau hata kwa 40%

Bado Nchi inajitahidi kufikisha angalau matakwa kwa 50% au hata zaidi ya hapa katika uchambuzi wangu binafsi..
Nimegundua Tatzo ni Sera,Ilani na Hata katiba inayochangia kurudisha nyuma maendeleo yetu..

Tumekuwa na CHAMA Tawala (CCM) Chenye Imani ya Ujamaa (Socialism) katika Uongozi na Nchi ya wa Kibepari..(Capitalism)..

Tuachane na hayo maana hayatudii
Turudi kwenye mada..

Tatizo la wagombea wanaopatikana kwa Vyama ni nini hasa
  • Chama kushangilia Afanyacho mgombea wao hata kama alichokifanya ni uvunjaji wa sheria
  • Ongezeko la Chawa wanaosifia hata kama hawapendi ila tu kwakuwa anayefanya katoka chama fulani
  • Ongezeko la watu wanaoponda hata kama mtendaji aliyefanya jambo.hilo kalifanya kwa ubora na anahitaji sifa ila tu kwakuwa katoka chama tofauti na chake bhasi atatafuta kosa kwenye wema huo
  • Chama kutetea hata pasipo na ulazima wa kutetea

Nini suluhisho..

Kwakuwa Imani Huwezi kuibadili na Kubadili imani Pia Huonesha unafikia ni muda sasa..
Wa Ile katiba ya Waryoba kufanyiwa kazi na kuruhusu Mgombea Binafsi asiye na chama
Nina ilani kuwa..
  • Itakuwa ni vyepesi Kuona mahali anapofanya vizuri na kukosea kwa sababu hatakuwa na upinzani na wewe
  • Pale anapokosea wote mtajua kama kweli kakosea kwa sababu hakutakuwa na kustick au kufumbwa na uchama
  • Itakuwa ni vyepesi kumuwajibisha katika bunge kwa kuwa hatakuwa mwenyekiti wa chama chochote kinachomiliki wabunge hao bungeni..
NAtanguliza shukrani
 
Ni miaka 62 sasa Toka Tupate Uhuru, Lakini matakwa ya Watanzania na Tanzania walioitaka Bado haijafanikwa kupatikana..
Walau hata kwa 40%

Bado Nchi inajitahidi kufikisha angalau matakwa kwa 50% au hata zaidi ya hapa katika uchambuzi wangu binafsi..
Nimegundua Tatzo ni Sera,Ilani na Hata katiba inayochangia kurudisha nyuma maendeleo yetu..

Tumekuwa na CHAMA Tawala (CCM) Chenye Imani ya Ujamaa (Socialism) katika Uongozi na Nchi ya wa Kibepari..(Capitalism)..

Tuachane na hayo maana hayatudii
Turudi kwenye mada..

Tatizo la wagombea wanaopatikana kwa Vyama ni nini hasa
  • Chama kushangilia Afanyacho mgombea wao hata kama alichokifanya ni uvunjaji wa sheria
  • Ongezeko la Chawa wanaosifia hata kama hawapendi ila tu kwakuwa anayefanya katoka chama fulani
  • Ongezeko la watu wanaoponda hata kama mtendaji aliyefanya jambo.hilo kalifanya kwa ubora na anahitaji sifa ila tu kwakuwa katoka chama tofauti na chake bhasi atatafuta kosa kwenye wema huo
  • Chama kutetea hata pasipo na ulazima wa kutetea

Nini suluhisho..

Kwakuwa Imani Huwezi kuibadili na Kubadili imani Pia Huonesha unafikia ni muda sasa..
Wa Ile katiba ya Waryoba kufanyiwa kazi na kuruhusu Mgombea Binafsi asiye na chama
Nina ilani kuwa..
  • Itakuwa ni vyepesi Kuona mahali anapofanya vizuri na kukosea kwa sababu hatakuwa na upinzani na wewe
  • Pale anapokosea wote mtajua kama kweli kakosea kwa sababu hakutakuwa na kustick au kufumbwa na uchama
  • Itakuwa ni vyepesi kumuwajibisha katika bunge kwa kuwa hatakuwa mwenyekiti wa chama chochote kinachomiliki wabunge hao bungeni..
NAtanguliza shukrani
Unaota Ndoto za Alinacha mchana kweupe! Katiba Mpya Tz haitaweza kupatikana kwa Maombi.

"The right cannot be given as a gift by the Oppressor, IT MUST BE DEMANDED by the Oppressed."
Martin Luther King Jr.

[Emphasis is added]
 
Kabisa,yaani 2024 kweli,eti bado tuna mambo ya vyama.Wapitishe wagombea binafsi,kila mwananchi ana haki ya kugombea bwana.
 
Vyama ni chanzo cha mapato

Ukiruhusu mgombea huru watakula wapi
Unamaanisha mapato kupitia ruzuku? kama ndio basi naona mgombea binafsi akiruhusiwa kuwepo itasaidia zaidi kupunguza mzigo wa ruzuku kwa serikali, kwasababu sioni ni kwa namna gani serikali italazimika kulipa ruzuku kwa mgombea binafsi.

Huu uoga wa kutoruhusu mgombea binafsi ndio unazidi kutuingiza kwenye gharama zisizo na maana, naona tunakumbatia mambo ya kizamani ambayo hayana manufaa yoyote kwetu zaidi ya kuzidi kutupeleka kwenye lindi la umaskini, wa kipato na kifikra kwasababu ya uwepo wa corrupt leaders kwenye corrupt government.
 
chama ni chombo kinachoisaidia serikali iweze kutawala kwa muda wote ila mtu mmoja anaweza kuwapeleka watu barabarani.
How Do you think waryoba na Usomi wake wa Sheria na kuwa Mbobezi licha ya kuwa waziri Mkuu kwa miaka mingi aliruhusu kwenye katiba ya Tume yake liwepo???
 
Unamaanisha mapato kupitia ruzuku? kama ndio basi naona mgombea binafsi akiruhusiwa kuwepo itasaidia kupunguza mzigo wa ruzuku kwa serikali, kwasababu sioni ni kwa namna gani serikali italazimika kulipa ruzuku kwa gombe binafsi.

Huu uoga wa kutoruhusu mgombea binafsi ndio unazidi kutuingiza kwenye gharama zisizo na maana, naona tunakumbatia mambo ya kizamani ambayo hayana manufaa yoyote kwetu zaidi ya kuzidi kutupeleka kwenye lindi la umaskini, wa kipato na kifikra kwaasababu ya uwepo wa corrupt leaders na government.
Kweli kabisa mkuu Unakuta eti CHADEMA wanalipwa Trilion 3 za Ruzuku..
Za nini zote hizo??

Tukipata Mgombea binafsi itakuwa ndo chanzo cha Serkali kuwa Huru na vyama vilivyopo kwa ajili ya upigaji
 
Kweli kabisa mkuu Unakuta eti CHADEMA wanalipwa Trilion 3 za Ruzuku..
Za nini zote hizo??

Tukipata Mgombea binafsi itakuwa ndo chanzo cha Serkali kuwa Huru na vyama vilivyopo kwa ajili ya upigaji
Sio Chadema pekee, ruzuku inafaidisha vyama vyote vya siasa vilivyo qualify kuipata kwa vigezo vilivyowekwa.

Naona tungeachana na mawazo ya vyama tuelekee kwa mgombea binafsi tungejisogeza mbele zaidi kimaendeleo.

Lakini nahisi wanasiasa hasa wa chama tawala wanaogopa uwepo wa mgombea binafsi, ili waendelee na tabia yao ya kuhodhi mamlaka ya kibunge na serikali kimaamuzi, hasa kupitia vikao ndani ya chama chao {party caucas} ili sisi tuendelee kuwa watumwa wa maamuzi yao.
 
How Do you think waryoba na Usomi wake wa Sheria na kuwa Mbobezi licha ya kuwa waziri Mkuu kwa miaka mingi aliruhusu kwenye katiba ya Tume yake liwepo???
I mean CCM haikubali hilo jambo kwa sababu wao wamezoe kutawala na njia yao ya kutawala wanatumia mikusanyiko ya watu(vyama) kwa Tanzania twe have interst group hivyo wapo kwa maslahi ya kupata ruzuku huku wao CCM wakipata faida ya kuongoza.

Kama hili jambo la kuruhusu mgombea litafanikiwa kupita watu wengi wataingia barabarani sababu ya ushawishi wa mtu mmoja.

Binafsi hii,topic nilipost wiki iliyopita ila haikutiliwa mkazo but,huyo warioba yeye alikusanya mapendekezo from each angle na nazani hili wao amelitoa katika comparison na katiba nchi nyengine au from the Law ground incase of individual rights.
 
I mean CCM haikubali hilo jambo kwa sababu wao wamezoe kutawala na njia yao ya kutawala wanatumia mikusanyiko ya watu(vyama) kwa Tanzania twe have interst group hivyo wapo kwa maslahi ya kupata ruzuku huku wao CCM wakipata faida ya kuongoza.

Kama hili jambo la kuruhusu mgombea litafanikiwa kupita watu wengi wataingia barabarani sababu ya ushawishi wa mtu mmoja.

Binafsi hii,topic nilipost wiki iliyopita ila haikutiliwa mkazo but,huyo warioba yeye alikusanya mapendekezo from each angle na nazani hili wao amelitoa katika comparison na katiba nchi nyengine au from the Law ground incase of individual rights.
Safi! Na hicho ndo hasa wanachokiogopa..
metathesiophobia "The fear of change"
 
Naunga mkono hoja!
Tumechoka na vyama vyavkilaghai ndani ya Tanzania.
Mgombea binafsi ni wakati sahihi kwa sasa!
 
Ni miaka 62 sasa Toka Tupate Uhuru, Lakini matakwa ya Watanzania na Tanzania walioitaka Bado haijafanikwa kupatikana..
Walau hata kwa 40%

Bado Nchi inajitahidi kufikisha angalau matakwa kwa 50% au hata zaidi ya hapa katika uchambuzi wangu binafsi..
Nimegundua Tatzo ni Sera,Ilani na Hata katiba inayochangia kurudisha nyuma maendeleo yetu..

Tumekuwa na CHAMA Tawala (CCM) Chenye Imani ya Ujamaa (Socialism) katika Uongozi na Nchi ya wa Kibepari..(Capitalism)..

Tuachane na hayo maana hayatudii
Turudi kwenye mada..

Tatizo la wagombea wanaopatikana kwa Vyama ni nini hasa
  • Chama kushangilia Afanyacho mgombea wao hata kama alichokifanya ni uvunjaji wa sheria
  • Ongezeko la Chawa wanaosifia hata kama hawapendi ila tu kwakuwa anayefanya katoka chama fulani
  • Ongezeko la watu wanaoponda hata kama mtendaji aliyefanya jambo.hilo kalifanya kwa ubora na anahitaji sifa ila tu kwakuwa katoka chama tofauti na chake bhasi atatafuta kosa kwenye wema huo
  • Chama kutetea hata pasipo na ulazima wa kutetea

Nini suluhisho..

Kwakuwa Imani Huwezi kuibadili na Kubadili imani Pia Huonesha unafikia ni muda sasa..
Wa Ile katiba ya Waryoba kufanyiwa kazi na kuruhusu Mgombea Binafsi asiye na chama
Nina ilani kuwa..
  • Itakuwa ni vyepesi Kuona mahali anapofanya vizuri na kukosea kwa sababu hatakuwa na upinzani na wewe
  • Pale anapokosea wote mtajua kama kweli kakosea kwa sababu hakutakuwa na kustick au kufumbwa na uchama
  • Itakuwa ni vyepesi kumuwajibisha katika bunge kwa kuwa hatakuwa mwenyekiti wa chama chochote kinachomiliki wabunge hao bungeni..
NAtanguliza shukrani
naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom