Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mi ni mfanyabiashara wa nguo za mtumba, mabelo tunayofungua kipindi hiki ni tofauti sana na miaka ya nyuma hasa kabla ya bandari kubinafsishwa, changamoto ni kuwa kipindi cha nyuma mizigo ilikuwa...
10 Reactions
28 Replies
606 Views
Anonymous
Kumekuwa na malalamiko yanayoashiria uwezekano wa matumizi mabaya ya fedha, ambapo baadhi ya viongozi wanadaiwa kunufaika zaidi na mapato ya hospitali huku watumishi wanaochangia kwa kiasi kikubwa...
0 Reactions
0 Replies
60 Views
Anonymous
TECU imekuwa kichaka cha mameneja wa Mikoa na baadhi ya watu kutoka TANROADS HQ kujinufaisha, wamekuwa wakiweka figisu miradi mingi isimamiwe na TECU ili waendelee kupata fedha bila kazi. Private...
1 Reactions
2 Replies
116 Views
Siku ya tarehe 26 mwezi 5, 2026 mhakiki mali wa Tabora au dalali wa Serikali ambaye ni mtumishi wa Serikali chini ya hazina kaficha baadhi ya magari taktibani 5 ya mnada uliokuwa Tabora kama Land...
2 Reactions
0 Replies
138 Views
Anonymous (f18b)
Ofisi ya Rais – TAMISEMI imemhamisha aliyekua Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mpimbwe kwenda halmashauri ya Mji Nanyamba huku akiwa na tuhuma za wizi wa fedha za serikali. TAKUKURU wilaya walikuwa...
1 Reactions
5 Replies
228 Views
Anonymous
Kiwanda cha Dawa kilichopo Keko (Keko Pharmaceutical Industries - 1997) ambacho kilichukuliwa na Serikali Mwaka 2019 kinavyoachwa kuteketea bila sababu yoyote huku kikiwa chini ya Serikali kwa...
0 Reactions
2 Replies
310 Views
Sijui ni wangapi wamewahi kukumbana na na matatizo ya vodabima. Kwa uzoefu wangu, mara tatu imetokea unalipa bima ya gari kupittia vodabima. Unapata ujumbe kuonesha pesa imetoka kulipia bima ya...
4 Reactions
11 Replies
265 Views
Tanzania hii hasa Tanganyika hali ni tete kwa sasa nipo Morogoro, nashuhudia mashindan ya kupandisha nauli kwa vyombo vya usafirishaji huku wakida EWURA imepandisha bei ya mafuta, wapo...
7 Reactions
15 Replies
516 Views
Nimeona taarifa kuwa Kituo cha PPP-CENTRE kimesema zaidi ya mabasi 150 ya kampuni ya Mofat yameegeshwa kwa zaidi ya miezi sita kutokana na ukosefu wa maeneo ya kutoa huduma, huku mabasi 50 pekee...
2 Reactions
5 Replies
220 Views
Vita ya marekani na Irani imepelekea bei za mafuta kupanda duniani, Kupanda kwa mafuta kumesabisha kupanda kwa nauli kwenye kila aina ya usafirishaji kitu ambacho kimesababisha ukali wa maisha...
4 Reactions
18 Replies
323 Views
Tumepoteza vijana zaidi ya 34 mpaka sasa kwamba hawajulikani walipo kumbe wameuwawa Mdude Nyagali Deusdedith Soka Chaula Na wengine wameuawa tayari Endelea kutega sikio Nani kamuua na lini...
31 Reactions
73 Replies
3K Views
Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe Jumapili ya Leo Wanabodi, msituone Waandishi wa Habari na Watangazaji wa Tanzania, kama ni waoga waoga, na vyombo vya habari vya Tanzania...
13 Reactions
28 Replies
811 Views
Sasshivi wanamiradi iko Tanga na wanaiuza kwa raia wa Zanzibar, nimekwenda kuuliza endapo wana miradi Zanzibar wameniambia ipo, baada ya kuonesha nia ya kununua wakaniambia siruhusiwi maana mimi...
3 Reactions
3 Replies
165 Views
Hii ilikua jana , huyu Polisi alizikusanya Bajaji na kuchukua Rushwa ya kati ya 3000 hadi 5000 kwa Bajaji, Takribani Bajaji 6 wakati huo zilikua zimekamatwa hapo
0 Reactions
7 Replies
235 Views
Mkuu, Kama ulikuwa unabet basi umelenga palepale. Siyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakuja Baada ya ziara ya Kusini Katavi, Nape na Makamba wanatemwa Pia soma...
131 Reactions
271 Replies
32K Views
Ni muda sasa nimekuwa nahudhuria kusikiliza kesi za ndugu/marafiki katika mahakama hii ya mwanzo Arusha maarufu kama Mahakama ya Maromboso, hasa kesi zinazo sikilizwa na mfawidhi wa hii mahakama...
1 Reactions
5 Replies
266 Views
Kampuni ya CCECC inayohusika na ujenzi wa reli ya SGR ya Mwanza Isaka imewapa termination letter wafanyakazi wote waliokuwa katika mradi kutokana kukosa fedha ya kuendeshea mradi. Wakati wa...
20 Reactions
65 Replies
2K Views
Ukifuatilia ziara ya Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Nchemba ya hivi karibuni; utabaini kuwa kuna mamia kwa maelfu ya wananchi hujitokeza kwenye mikutano yake wakiwa na mabango, mafaili, nyaraka za...
0 Reactions
1 Replies
178 Views
Wadau wa JamiiForums, habari zenu. Jana, Machi 26, 2026, Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) ilitoa tangazo ambalo linataka kila mtu au taasisi inayokusanya na kuhifadhi taarifa za watu...
3 Reactions
3 Replies
315 Views
NB: Picha kutoka mtandaoni Lilikuwa ni wazo jema sana kuanzisha kampuni za uzoaji taka kwenye Jiji na hata kwenye maeneo ya makazi ya watu ili kuweka Jiji safi na kuondoa taka mitaani ili kuuweka...
0 Reactions
3 Replies
186 Views
Back
Top Bottom