Kama tunavyokumbuka awamu ya 5, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda alianzisha vita kali dhidi ya ushoga.
Baada ya muda kidogo vyombo mbalimbali habari nje ya nchi vikaripoti kuwa mashoga...
Yaani Wananchi wakielezwa Kwanini Dr Kalemani hakuleta mgao wa Umeme na Dr Biteko ameleta mgao wa Umeme basi wataendelea kuwa wavumilivu
Wanachojiuliza ni Kwanini yule aliweza na Huyu anashindwa...
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amemuagiza mkuu wa kituo cha polisi Gongo la Mboto kumkamata bwana mmoja aliyefahamika kwa majina ya Bakari Shingo na wenzie akiwemo...
#CHAKUSHANGAZA
Hayati Baba wa taifa amekuwa akiishi katika karne zote kutokana na kauli zake ama misemo yake ambayo imekuwa ikiishi mpaka Leo.
Misemo ya Baba wa taifa imekuwa ikitumika kwa...
Nauliza tu maana hata Nape alipokuwa Mwenezi alisema Dr Slaa ni mwanachama wa CCM na Wengi tulimbishia hadi pale 2015 alipomaliza majukumu yake mtaa wa Ufipa
Sasa na Hili la Komredi Makonda...
Hii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.
Hii Serikali Sasa...
Utangulizi:
Wabobezi wengi wa uchumi Duniani wanakubaliana adui namba Moja kwenye Uchumi ni Inflation & Unemployment,hakuna uchumi wowote Duniani unaokoa bila kuzalisha ajira Kwa wananchi wake...
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo, ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo.
Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo...
Hello!
Ninaposema Watanzania namaanisha majority ya Watanzania nikiwaondoa watu wachache sana.
Hawa majority walipata taabu sana, wanapata taabu sana na watapata taabu sana.
Babu zao walipata...
Nimefuatilia kwa umakini sana huo mkutano wa UVCCM taifa ambapo vijana kadhaa (chipukizi) wamepiga kampeni kitaifa kuchaguliwa katika nafasi mbalimbali za uongozi.
Chupukizi ndani ya CCM siyo...
Nadhani sasa ni muda muafaka kuwa na gridi za kikanda. Kalemani alikuwq ananichekesha alipokuwq anakaza fuvu kufunga mitambo ya mafuta kwa badhi ya mikoa.
Usalama wa umeme ni usalama wa taifa...
Ni wazi shirika hili limeshindwa kazi yake. Wiki hii nilipo umeme umewaka mchana siku moja tu. Hatuwezi kuendelea namna hii.
Shirika livunjwe. Kuwe na shirika la uzalishaji umeme ambalo...
Aliona mbali sana kwa kuwabebesha watoto wadogo mizigo ya chama.
Alikemea kuwatumia watoto wadogo kwenye mambo ya siasa kupitia kivuli cha SKAUTI.
Leo hii wameyasahau kabisa mawazo ya aliyekuwa...
Nawashangaa sana tena sana wanatoa lawama zao kwa tanesco badala ya wizara husika.
Tanesco ipo chini ya wizara ya nishati wizara inayoongozwa na naibu waziri mkuu.Matatizo ya tanesco sio mapya ni...
Aliyekua mgombea wa Arusha Godbless Lema Jana usiku amesafiri na familia yake kwenda Canada.
==========
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, apata nafasi ya hifadhi ya...
Hii nchi shida kuu ni unafiki, naona kwenye mitandoa kutwa nzima, lawama zinatupiwa TANESCO utazania hio TANESCO ni nchi. Kuambiana Black and White ni ngumu sana nchi hii.
Huu mgao wa umeme Raisi...
Siyo siri ujio wa Makonda ndani ya CCM umekuwa na matokeo chanya.
Hapa mama Samia alilamba dume ka karata.
Tatizo ni Chongolo, anaonekana kutokomea into oblivion.
Makonda anapiga chenga hata za...
Lukuvi amefanya mengi sana pale wizara ya ardhi na alikuwa na maono, mipango na mikakati sahihi.
Lukuvi ndiye aliyehamisha kazi ya kutoa hati milki za ardhi kutoka wizarani na kwenda kwenye ofisi...
Toka baada ya uhuru wa Tanganyika na baadae Tanzania na Afrika imekuwa zinapata aibu kutokana na Njaa.
Njaa inadhalilisha utu wa mtu na kushusha heshima ya mtu na Taifa.Tanzania na Afrika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.