Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kama tunavyokumbuka awamu ya 5, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda alianzisha vita kali dhidi ya ushoga. Baada ya muda kidogo vyombo mbalimbali habari nje ya nchi vikaripoti kuwa mashoga...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Yaani Wananchi wakielezwa Kwanini Dr Kalemani hakuleta mgao wa Umeme na Dr Biteko ameleta mgao wa Umeme basi wataendelea kuwa wavumilivu Wanachojiuliza ni Kwanini yule aliweza na Huyu anashindwa...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amemuagiza mkuu wa kituo cha polisi Gongo la Mboto kumkamata bwana mmoja aliyefahamika kwa majina ya Bakari Shingo na wenzie akiwemo...
3 Reactions
0 Replies
650 Views
#CHAKUSHANGAZA Hayati Baba wa taifa amekuwa akiishi katika karne zote kutokana na kauli zake ama misemo yake ambayo imekuwa ikiishi mpaka Leo. Misemo ya Baba wa taifa imekuwa ikitumika kwa...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Nauliza tu maana hata Nape alipokuwa Mwenezi alisema Dr Slaa ni mwanachama wa CCM na Wengi tulimbishia hadi pale 2015 alipomaliza majukumu yake mtaa wa Ufipa Sasa na Hili la Komredi Makonda...
4 Reactions
20 Replies
981 Views
Hii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja. Hii Serikali Sasa...
25 Reactions
103 Replies
5K Views
Utangulizi: Wabobezi wengi wa uchumi Duniani wanakubaliana adui namba Moja kwenye Uchumi ni Inflation & Unemployment,hakuna uchumi wowote Duniani unaokoa bila kuzalisha ajira Kwa wananchi wake...
3 Reactions
102 Replies
4K Views
Kabla sijaenda mbali, kwanza nikiri mimi ni Mkristo, ila Ukristo wangu sio sababu ya kutohoji hata kama mtasema imani yangu ni ndogo. Tukirudi kwenye mada, huku kwetu ukimpinga Kristo...
40 Reactions
321 Replies
16K Views
Hello! Ninaposema Watanzania namaanisha majority ya Watanzania nikiwaondoa watu wachache sana. Hawa majority walipata taabu sana, wanapata taabu sana na watapata taabu sana. Babu zao walipata...
2 Reactions
7 Replies
629 Views
Nimefuatilia kwa umakini sana huo mkutano wa UVCCM taifa ambapo vijana kadhaa (chipukizi) wamepiga kampeni kitaifa kuchaguliwa katika nafasi mbalimbali za uongozi. Chupukizi ndani ya CCM siyo...
6 Reactions
61 Replies
6K Views
Nadhani sasa ni muda muafaka kuwa na gridi za kikanda. Kalemani alikuwq ananichekesha alipokuwq anakaza fuvu kufunga mitambo ya mafuta kwa badhi ya mikoa. Usalama wa umeme ni usalama wa taifa...
4 Reactions
3 Replies
491 Views
Ni wazi shirika hili limeshindwa kazi yake. Wiki hii nilipo umeme umewaka mchana siku moja tu. Hatuwezi kuendelea namna hii. Shirika livunjwe. Kuwe na shirika la uzalishaji umeme ambalo...
6 Reactions
17 Replies
855 Views
Ni swali tu, je ni kifo cha kawaida? Hawa watu kwa kazi zao wanashughulika na majitu ya hovyo, yakiwemo magaidi, tupate jibu
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Aliona mbali sana kwa kuwabebesha watoto wadogo mizigo ya chama. Alikemea kuwatumia watoto wadogo kwenye mambo ya siasa kupitia kivuli cha SKAUTI. Leo hii wameyasahau kabisa mawazo ya aliyekuwa...
2 Reactions
7 Replies
983 Views
Nawashangaa sana tena sana wanatoa lawama zao kwa tanesco badala ya wizara husika. Tanesco ipo chini ya wizara ya nishati wizara inayoongozwa na naibu waziri mkuu.Matatizo ya tanesco sio mapya ni...
0 Reactions
7 Replies
664 Views
Aliyekua mgombea wa Arusha Godbless Lema Jana usiku amesafiri na familia yake kwenda Canada. ========== Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, apata nafasi ya hifadhi ya...
26 Reactions
170 Replies
20K Views
Hii nchi shida kuu ni unafiki, naona kwenye mitandoa kutwa nzima, lawama zinatupiwa TANESCO utazania hio TANESCO ni nchi. Kuambiana Black and White ni ngumu sana nchi hii. Huu mgao wa umeme Raisi...
25 Reactions
57 Replies
3K Views
Siyo siri ujio wa Makonda ndani ya CCM umekuwa na matokeo chanya. Hapa mama Samia alilamba dume ka karata. Tatizo ni Chongolo, anaonekana kutokomea into oblivion. Makonda anapiga chenga hata za...
5 Reactions
70 Replies
13K Views
Lukuvi amefanya mengi sana pale wizara ya ardhi na alikuwa na maono, mipango na mikakati sahihi. Lukuvi ndiye aliyehamisha kazi ya kutoa hati milki za ardhi kutoka wizarani na kwenda kwenye ofisi...
2 Reactions
4 Replies
671 Views
Toka baada ya uhuru wa Tanganyika na baadae Tanzania na Afrika imekuwa zinapata aibu kutokana na Njaa. Njaa inadhalilisha utu wa mtu na kushusha heshima ya mtu na Taifa.Tanzania na Afrika...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Back
Top Bottom