Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

25 March 2024 Muheza, Tanga Bi Yosefa Komba wa CHADEMA jimbo la Muheza azungumza mazito ktk mkutano mkubwa CHADEMA YAONGEA KUPITIA MKUTANO NA WANANCHI WA MUHEZA Kamanda Yosefa Komba aitisha...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Tungali tunaendelea na ule mwezi mtukufu wa Mungu , ambao ni mwezi huu wa 3 , fuatilia simulizi hii ya Nyalandu Pamoja na ukweli kwamba Nyalandu alirejea ccm baada ya Jiwe kuondoka , lakini...
20 Reactions
99 Replies
6K Views
Aliyepuliza kipyenga huyu hapa , aliwahi kuwa Diwani , anaitwa Joel Mwakalebela , Diwani wa zamani wa Kata ya Wazo
7 Reactions
54 Replies
3K Views
Siku zote, historia yako, ndiyo hutoa imani kwa watu wengine. Hivi ni tangu lini anayejulikana ni mwizi na fisadi, mtu akasema amemwona anaiba, taarifa ikatolewa kwa jamii inayomzunguka, mwizi...
8 Reactions
14 Replies
761 Views
Kwanza agenda ya Mbowe na Chama chake anachokimiliki ilikuwa ni Katiba Mpya, wamepambana weeeee hoja yao imekufa kifo cha mende baada ya miswada kupitishwa bungeni na kuwa sheria. Akawapotezea...
5 Reactions
64 Replies
3K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Waumini wa Dini ya kiislamu kuendelea kuhifadhi Quran Tukufu na kufundisha watoto wao kuisoma na pia...
0 Reactions
8 Replies
770 Views
Miradi mingi mikubwa hasa iliyo kamilika na mingine inacheleweshwa kwa makusudi ili kusubiri uchaguzi ufike 2025 ndio mama yao aizindue na kujipa ujiko kama vile yeye ndio muanzishaji? Bwawa la...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Huyu anaongea maneno haya unaweza shangaa naye ana mtoto au watoto. unaweza shangaa ana mke. na unaweza shangaa kabisa anaonekana anafaa baada ya kuongea hii kauli. hawa ndiyo aina ya watu ambao...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Nyakati Hizi za Mfungo ni za kuelezana Ukweli Kwamba Chadema wanafanya Matembezi ya kutoa Ujumbe kwa Serikali lakini siyo Maandamano Maandamano huwa hayana kikomo hadi pale kile kinachopambaniwa...
6 Reactions
37 Replies
1K Views
Taarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania Zaidi soma hapa: "Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu...
12 Reactions
57 Replies
4K Views
Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol akiwa katika Mkutano wa Tatu wa Demokrasia uliofanyika Machi 18, 2024 ametoa wito kwa viongozi wote Ulimwenguni kuunga mkono jitihada za kukomesha taarifa potofu...
0 Reactions
0 Replies
491 Views
Naamini Waziri Mkenda au msemaji wa Serikali wanaona mjadala mkubwa kuhusu combinations mpya za masomo ya kidato cha tano na sita kujumuisha masomo ya kidini. Sasa wasikae kimya, kama wanaona...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Wabobezi ktk fani ya lugha Profesa Aldin Mutembei UDSM, Prof. Mabala na Prof. Raymond Mosha wa chuo nchini U.S.A wajitosa katika mjadala mzito wa TAHASUSI / COMBINATION mpya zinazotegemea kuaza...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakati waziri Ndumbaro anapiga mkwara kuvaa jezi za Ubuntu Botho au Etisalat alianza na neno wao kama Serikali hawatanii na alienda mbali kusema nguvu ya vyombo vya dola itatumika kwa yeyote...
7 Reactions
27 Replies
2K Views
Siku moja baada ya kuchaguliwa uenyekiti wa Chadema Mkoa wa Kagera, bosi wa zamani wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mkoba amesema ataanza na mambo sita ikiwamo kuamsha ari ya wanachama...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya kuibuka kwa mjadala katika mitandao ya kijamii juu ya mchele ulioongezwa virutubisho ulioletwa Tanzania kutoka nchini Marekani, Hussein Bashe ambaye ni Waziri wa Kilimo alieleza kuwa...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Sisi tunayemfahamu mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe tokea kitambo tunamuona ni mtu mwenye Mafanikio Katika nyanja karibia zote Kudumu Kwenye Siasa za Upinzani kwa Zaidi ya miaka 30 hapa...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Siyo siri, wengi tumeshtushwa na msimamo wa sera za elimu kuanza kukumbatia udini. Waziri Mchengerwa katoa taarifa ya masomo yanayofadiliwa KISERIKALI, masomo au Combination(Tahsusi) ambazo...
22 Reactions
176 Replies
10K Views
Akizungumza katika kongamano la huduma ya msaada wa kisheria na upatikanaji haki kwa wananchi linalofanyika mkoani Arusha jana Alhamisi Agosti 17, Dk Ndumbaro amehoji kutokamatwa kwa Prof. Anna...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati. Moja ya tahasusi, si kwa ubaya...
17 Reactions
193 Replies
13K Views
Back
Top Bottom