GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,902
- 10,503
Siachiii ng'oooooHuachi vituko vyako,
Siachiii ng'oooooHuachi vituko vyako,
😆😆Dawa ya hawa washenzi ni kupelekea moto mpaka azime
Umetumia takwimu zipi mkuuKwa jinsi Tatizo la Ushoga lilivyo kubwa Tanzania hadi 2030 wanaume watakua wamepungua sana!
Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati
Zanzibar hali sio shwari, Ukija Dar ndo usiseme kuanzia kinondoni, Mbagala, magomeni, hadi Sinza hali ni tete
Ifikapo 2030 hali itakua mbaya sana nahisi wanaume marijali hawatokuwepo kabisa ni kawaida kinondoni, magomeni, temske buza k.koo mbagala hadi Sinza kukuta shoga ila baada ya nyumba kadhaa
Moshi na Arusha nao wana nafasi yao huko ushoga umeshamiri sana kiasi cha kutishia ustawi wa kizazi cha kaskazini Arusha ushoga umeshamiri sana
Kinondoni mashoga wamejaa sana vijana wengi wa gym kinondoni wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
By 2030 sijui kama marijali watabaki wa kutafuta na tochi
Unahisi hili tatizo la ushoga lipo Tanzania peke yake!!? Tembea nje ya nchi ujionee Tatizo la ushoga lipo kila sehemu Cha msingi ni kumwomba Mungu tu Tuondoke Salama kwenye huu ulimwenguKwa jinsi Tatizo la Ushoga lilivyo kubwa Tanzania hadi 2030 wanaume watakua wamepungua sana!
Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati
Zanzibar hali sio shwari, Ukija Dar ndo usiseme kuanzia kinondoni, Mbagala, magomeni, hadi Sinza hali ni tete
Ifikapo 2030 hali itakua mbaya sana nahisi wanaume marijali hawatokuwepo kabisa ni kawaida kinondoni, magomeni, temske buza k.koo mbagala hadi Sinza kukuta shoga ila baada ya nyumba kadhaa
Moshi na Arusha nao wana nafasi yao huko ushoga umeshamiri sana kiasi cha kutishia ustawi wa kizazi cha kaskazini Arusha ushoga umeshamiri sana
Kinondoni mashoga wamejaa sana vijana wengi wa gym kinondoni wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
By 2030 sijui kama marijali watabaki wa kutafuta na tochi
Huko umewaona wengi eeh?Inasikitisha sana.
Hivi kwanini ushoga umeshamiri sana pwani na zenji?shida nini hasa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi takwimu umezitoa wapi?!Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati
Umejuaje na Ulifuata nini kwenye hiyo mitandao ya mashoga kama wewe siyo mmoja wao?!Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
Mnawaonea wapi? Mbona wengine hatuwaoni kwa idadi hiyo? Mara ya mwisho kuona kiumbe cha aina hii ni muda sana, tena kwa kuambiwa unamuona yule? Ni shoga. Inawezekana circle yako inaruhusu hilo.