Wanaume wa mikoani mmatuharibia Dar. Wengi wa hao mashoga na wauza papuchi wanatoka mikoani.
 
Kwa Africa Mashariki na Kati Tanzania ndiyo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la ushoga, ndiyo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na Kati.

Zanzibar hali siyo shwari, ukija Dar ndiyo usiseme kuanzia Kinondoni, Mbagala, Magomeni, hadi Sinza hali ni tete.

Ifikapo 2030 hali itakua mbaya sana, nahisi wanaume marijali hawatokuwepo kabisa. Ni kawaida Kinondoni, Magomeni, Temske Buza, K.koo, Mbagala hadi Sinza kukuta shoga kila baada ya nyumba kadhaa.

Moshi na Arusha nao wana nafasi yao huko, ushoga umeshamiri sana kiasi cha kutishia ustawi wa kizazi cha Kaskazini. Arusha ushoga umeshamiri sana. Kinondoni mashoga wamejaa sana, vijana wengi wa gym Kinondoni wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Mitandao kama FB, Badoo, Instagram, na Tinder huko ndiyo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na Tinder, huyo atakuwa anajihusisha na mashoga.

Mpaka 2030 sijui kama marijali watabaki, wa kutafuta na tochi.
 
Kwa jinsi Tatizo la Ushoga lilivyo kubwa Tanzania hadi 2030 wanaume watakua wamepungua sana!

Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati

Zanzibar hali sio shwari, Ukija Dar ndo usiseme kuanzia kinondoni, Mbagala, magomeni, hadi Sinza hali ni tete

Ifikapo 2030 hali itakua mbaya sana nahisi wanaume marijali hawatokuwepo kabisa ni kawaida kinondoni, magomeni, temske buza k.koo mbagala hadi Sinza kukuta shoga ila baada ya nyumba kadhaa

Moshi na Arusha nao wana nafasi yao huko ushoga umeshamiri sana kiasi cha kutishia ustawi wa kizazi cha kaskazini Arusha ushoga umeshamiri sana

Kinondoni mashoga wamejaa sana vijana wengi wa gym kinondoni wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
By 2030 sijui kama marijali watabaki wa kutafuta na tochi
Umetumia takwimu zipi mkuu
 
Na Mungu fundi,kaweka MonkeyPox teyari
Mabwabwa kazi ipo...https://www.dailymail.co.uk/health/article-10835461/Britains-monkeypox-outbreak-DOUBLES-size-Eleven-new-cases-announced-TODAY.html?ito=social-twitter_mailonline
 
Kwa jinsi Tatizo la Ushoga lilivyo kubwa Tanzania hadi 2030 wanaume watakua wamepungua sana!

Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati

Zanzibar hali sio shwari, Ukija Dar ndo usiseme kuanzia kinondoni, Mbagala, magomeni, hadi Sinza hali ni tete

Ifikapo 2030 hali itakua mbaya sana nahisi wanaume marijali hawatokuwepo kabisa ni kawaida kinondoni, magomeni, temske buza k.koo mbagala hadi Sinza kukuta shoga ila baada ya nyumba kadhaa

Moshi na Arusha nao wana nafasi yao huko ushoga umeshamiri sana kiasi cha kutishia ustawi wa kizazi cha kaskazini Arusha ushoga umeshamiri sana

Kinondoni mashoga wamejaa sana vijana wengi wa gym kinondoni wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
By 2030 sijui kama marijali watabaki wa kutafuta na tochi
Unahisi hili tatizo la ushoga lipo Tanzania peke yake!!? Tembea nje ya nchi ujionee Tatizo la ushoga lipo kila sehemu Cha msingi ni kumwomba Mungu tu Tuondoke Salama kwenye huu ulimwengu
 
Kwa Africa mashariki na kati Tanzania ndo inaongoza kwa kuwa na tatizo kubwa la Ushoga ndo inaongoza kuliko nchi yoyote ile Africa Mashariki na kati
Hizi takwimu umezitoa wapi?!
Mitandao kama fb, badoo, insta, na tinder huko ndo pamejaa mashoga, tena ogopa sana mwanaume ambaye yupo badoo na tinder huyo atakua ana association na mashoga
Umejuaje na Ulifuata nini kwenye hiyo mitandao ya mashoga kama wewe siyo mmoja wao?!
 
Mnawaonea wapi? Mbona wengine hatuwaoni kwa idadi hiyo? Mara ya mwisho kuona kiumbe cha aina hii ni muda sana, tena kwa kuambiwa unamuona yule? Ni shoga. Inawezekana circle yako inaruhusu hilo.

Kweli kabisa mkuu sijui anawonea wapi huyu mkuu. Mana ana uzi wake mwingine kama huu huu wenyewe unahusisha watu wa gym hawa wenye vimbavu flani aisee kawasema kweli kweli sasa naona kaanzisha na huu ata kama ana nia njema ya kutoa taarifa ila kwa staili hii ni uhamasishaji sasa
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom