Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 1,553
- 2,785
Demka na mashairi ya tusonge mbele kama nini..ngoma hii hadi ifike mwisho hili bonge la series breaking bad haifui dafu. Either mwamba atoke huru ama ale mvua za kutoshaHii kesi kama ikiachwa iendelee inakwenda kumwaibisha mtu.. hii kesi ni ya kuachana nayo haraka ili tusonge mbele kama taifa. Tunatakiwa kuanza mapema kumalizia mchakato wa katiba mpya ili kabla ya 2023 iwe tayari na tuanze kujiandaa kwa 2025.