viziwi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Serikali ifanye lugha ya alama kuwa moja ya somo kwa shule za msingi

    Wakuu kwema? Twende moja kwa moja kwenye mada. Watu wanaotumia lugha hii ni wachache ukilinganisha na wengine tunaoweza kuwasiliana kwa sauti/maneno. Kutokana na hii, watu wenye ulemavu huu wa kusikia hupitia changamoto kubwa toka watoto mpaka ukubwa wao. Fikiria uko na mtoto mwenye changamoto...
  2. Mhafidhina07

    Rais wangu nakusihi chonde chonde usitumie vipaza sauti kuongea na viziwi

    Salaam! Hakuna jambo baya kama ushabiki au ufuasi katika dunia hii ya leo. Tumeshuhudia wengi wamefariki, wamejeruhiwa na kupoteza heshima kwa jambo linaloitwa itikadi, dini na siasa, imekuwa ni changamoto kubwa katika dunia yetu. Nakuomba uhubiri amani kama ilivyo jinsia yako na lea kila...
  3. Replica

    Mtu asiyesikia asafiri Tanga-Mbeya kwa baiskeli kuadhimisha wiki ya viziwi duniani

    Kuboja Lugira, mtanzania mwenye ulemavu wa kusikia ameendesha baiskeli yake kwa kilomita 961 kutoka Tanga kwenda Mbeya akitumia siku tano kwenda kushiriki maadhimisho ya wiki ya viziwi duniani akiwapa hamasa wengine wenye ulemavu kwamba inawezekana. Lugira, baba wa mtoto mmoja amesema...
  4. figganigga

    Sisi KKKT tunayo Huduma ya alama kwa Viziwi, Katoriki na Makanisa mengine mnakwama wapi?

    Salaam Wakuu, Sisi KKKT Dayosisi Mashariki na Pwani Katika ushirika wa Boko Jimbo la Kusini Magaribi, tumeadhimisha ibada ya siku ya Viziwi. Ibada inaongozwana Mkuu. Wa jimbo Mchungaji Godlove chagulilo. Wakalimani wapo kama wote. Je, Makanisa mengine mnakwamba wapi kuwahudumia watu...
  5. Raia Fulani

    Wanafunzi (watoto) kupakiwa mbele kwenye bodaboda wakati wa kwenda na kurudi shule ni hatari kwa afya. Mamlaka na wazazi hamuoni hili?

    Habari za alasiri hii ndugu wana JF, naandika kwa kughadhabika kinamna kutokana na upuuzi unaofanywa na baadhi ya wazazi huku mamlaka husika (Jeshi la Polisi) likiwa doro tu. Kuna huu utaratibu wa kuwapeleka watoto wadogo shule kwa kutumia usafiri wa boda boda. Mzazi anamkabidhi mtoto kwa...
  6. The Burning Spear

    We Kasim Majaliwa kwani Waliosaini Mkataba wa Bandari ni Vipofu na Viziwi?

    Baada ya kimya cha Mda mrefu Huyu Mheshimiwa muongo muongo ameanza kujitokeza na ngojera za hapa na pale. Ana tu please mara tuwe na Imani na serikali Sijui Mkataba haujasainiwa. Bla bla Sasa mpka.mnasaini Mkataba wa makubaliano Kwa Nini hamkuzingatia Sheria na maslahi ya Taifa Toka mwanzo...
  7. B

    Ya NEC, ZEC au Jecha si ndiyo haya ya IEBC?

    Hizi ndiyo zile nchi sasa akiziita Trump lile jina letu pendwa. Mola akawalinde ma commissioner hawa waliosimama imara na katiba ya nchi. Yale yale ya kura pigeni mnakotaka ila washindi tutatangazwa sisi. "Chebukati names top govt officials who wanted to influence Presidential results...
  8. B

    Waliojinadi kuwa Serikali Sikivu wamethibika kuwa Viziwi

    Kuna mwenye masikio mazima ambaye hajayasikia manung'uniko ya wananchi? Au basi hata yupo mwenye kutokujua ni nini kinachohitajika kufanywa hadi sasa? Si tulidhani labda wanasikia nusu nusu? Tukashauriana kuongeza sauti? "Serikali 'sikivu' Inaposikia nusu nusu" Kwani lipi wamesikia hata...
  9. Miss Zomboko

    Ili mkalimani wa lugha ya alama afanye kazi yake kwa ustadi, yafuatayo yanatakiwa kuzingatiwa

    Mkalimani na Kiziwi wanatakiwa kuwa kwenye eneo lenye uwazi na mwanga ili alama za mawasiliano ziweze kuonekana na kutafsiriwa kwa usahihi. Mkalimani lazima awe mbobezi kwa kundi au Jamii anayoitafsiria kwa kufahamu lugha yao na utamaduni wao. Mkalimani anatakiwa kuwa na ujuzi wa mambo mengi...
  10. kamwendo

    SoC01 Namna ya kukabiliana na changamoto za maisha ya kila siku kwa Viziwi

    Utangulizi Uziwi ni hali ya upotevu wa usikivu. Hali hii hutokana na sababu mbalimbali kama vile magonjwa,ajali,uziwi wa kuzaliwa nao,kuishi sehemu yenye baridi sana na uchafu wa masikio. Kwa nchi ya ulimwengu wa tatu kama Tanzania Viziwi na walemavu kwa ujumla ni watu waliosahaulika. Ni watu...
  11. Miss Zomboko

    FUWAVITA: Maana na Umuhimu wa wakalimani wa lugha ya alama

    MKalimani wa lugha ya alama ni mtu aliyesomea fani ya lugha ya alama na kufaulu ukalimani. Ukalimani wa lugha ya alama ni fani kama zilivyo fani nyingine kama uhasibu au udaktari. Kwa mujibu wa chuo kikuu cha Dar salaam mpaka mwaka 2020 kimefundisha wakalimani takribani mia moja nchini. Ajira...
Back
Top Bottom