figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Salaam Wakuu,
Sisi KKKT Dayosisi Mashariki na Pwani Katika ushirika wa Boko Jimbo la Kusini Magaribi, tumeadhimisha ibada ya siku ya Viziwi.
Ibada inaongozwana Mkuu. Wa jimbo Mchungaji Godlove chagulilo.
Wakalimani wapo kama wote.
Je, Makanisa mengine mnakwamba wapi kuwahudumia watu Viziwi?
Leo ni siku ya Bwana ya 16 baada ya Utatu. Zaburi 136:1-12. Luka 4:31-37 na Matendo 12:5-11
MUNGU AMEJAA NEEMA
Nashauri tusiwabague Viziwi
Sisi KKKT Dayosisi Mashariki na Pwani Katika ushirika wa Boko Jimbo la Kusini Magaribi, tumeadhimisha ibada ya siku ya Viziwi.
Ibada inaongozwana Mkuu. Wa jimbo Mchungaji Godlove chagulilo.
Wakalimani wapo kama wote.
Je, Makanisa mengine mnakwamba wapi kuwahudumia watu Viziwi?
Leo ni siku ya Bwana ya 16 baada ya Utatu. Zaburi 136:1-12. Luka 4:31-37 na Matendo 12:5-11
MUNGU AMEJAA NEEMA
Nashauri tusiwabague Viziwi