Sisi KKKT tunayo Huduma ya alama kwa Viziwi, Katoriki na Makanisa mengine mnakwama wapi?

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Salaam Wakuu,
images (1).jpeg

Sisi KKKT Dayosisi Mashariki na Pwani Katika ushirika wa Boko Jimbo la Kusini Magaribi, tumeadhimisha ibada ya siku ya Viziwi.

Ibada inaongozwana Mkuu. Wa jimbo Mchungaji Godlove chagulilo.

Wakalimani wapo kama wote.

Je, Makanisa mengine mnakwamba wapi kuwahudumia watu Viziwi?

Leo ni siku ya Bwana ya 16 baada ya Utatu. Zaburi 136:1-12. Luka 4:31-37 na Matendo 12:5-11

MUNGU AMEJAA NEEMA

Nashauri tusiwabague Viziwi
 
Umetembelea makanisa yote?
Makanisa hawezi kufanana.

Kama mlioamua kuwa tawi la ccm.
Msalimie na mkuu wenu, muwakilishi wa ccm..

Malasu...
 
Umetembelea makanisa yote?
Makanisa hawezi kufanana.

Kama mlioamua kuwa tawi la ccm.
Msalimie na mkuu wenu, muwakilishi wa ccm..

Malasu...
Huyu Chawa akienda Boko anadhani kamaliza nchi nzima
 
Kuhusu huduma na kuwajali walemavu kwa hapa nchini KKKT wanaongoza

Kwa mfano kwa Dayosisi za Kaskazini kuanzia Same kuna vituo na shule kabisa za Walemavu na kuna Waalimu na Wachungaji kwa ajili yao tu
 
Salaam Wakuu,

Sisi KKKT Us tumeadhimisha ibada ya siku ya Viziwi Dayosisi Mashariki na Pwani Katika ushirika wa Boko Jimbo la Kusini Magjaribi.

Ibada inaongozwana Mkuu. Wa jimbo Mchungaji Godlove chagulilo.

Wakalimani wapo kama wote.

Je, Makanisa mengine mnakwamba wapi kuwahudumia watu Viziwi?

Leo ni siku ya Bwana ya 16 baada ya Utatu. Zaburi 136:1-12. Luka 4:31-37 na Matendo 12:5-11

MUNGU AMEJAA NEEMA

Nashauri tusiwabague Viziwi
Walemavu wana haki ya kupokea Injiĺ.
 
Salaam Wakuu,

Sisi KKKT Us tumeadhimisha ibada ya siku ya Viziwi Dayosisi Mashariki na Pwani Katika ushirika wa Boko Jimbo la Kusini Magjaribi.

Ibada inaongozwana Mkuu. Wa jimbo Mchungaji Godlove chagulilo.

Wakalimani wapo kama wote.

Je, Makanisa mengine mnakwamba wapi kuwahudumia watu Viziwi?

Leo ni siku ya Bwana ya 16 baada ya Utatu. Zaburi 136:1-12. Luka 4:31-37 na Matendo 12:5-11

MUNGU AMEJAA NEEMA

Nashauri tusiwabague Viziwi
Nilijua taarifa hii ni ya Johnthepatist 🤔,Kumbe ya figanigga😂
 
Back
Top Bottom