mvomero

Mvomero is one of the six districts of the Morogoro Region of Tanzania. It is bordered to the north by the Tanga Region, to the northeast by the Pwani Region, to the east and southeast by Morogoro Rural District and Morogoro Urban District and to the west by Kilosa District.
According to the 2002 Tanzania National Census, the population of the Mvomero District was 260,525.

View More On Wikipedia.org
  1. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Norah Mzeru Aongoza Wanawake Kupanda Miti Mvomero Katika Maadhimisho ya Wiki ya Wanawake Duniani

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Morogoro, Mhe. Norah Waziri Mzeru ameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa kupanda miti na kugawa mashuka katika Wilaya ya Mvomero. Siku ya Wanawake duniani huadhimishwa Machi 08 ya kila mwaka. Malengo ya maadhimisho haya ya Siku ya Wanawake duniani...
  2. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Jonas Van Zeeland Aipambania Mvomero Kupata Maji Safi na Salama kwa Wananchi Wake

    MBUNGE VAN ZEELAND AIPAMBANIA MVOMERO KUPATA MAJI SAFI NA SALAMA KWA WANANCHI WAKE "Je, lini Serikali itakamilisha mradi wa kusambaza maji katika tarafa ya Tuliani?" - Mhe. Jonas Van Zeeland, Mbunge wa Jimbo la Mvomero "Serikali inaendelea na utekelezaji wa mradi wa kusambaza maji katika...
  3. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Khamis Hamza Awafunda Maafisa Ardhi Mvomero

    Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amewataka Maafisa Ardhi nchini kutoa elimu ya matumizi bora na sahihi ya ardhi ili kuepusha migogoro ya wakulima na wafugaji nchini. Mhe. Khamis Hamza Khamis Ametoa agizo hilo wilayani Mvomero mkoani Morogoro...
  4. Mathanzua

    TAMISEMI mpo wapi, Wilaya ya Mvomero hakuna kinachoendelea. Ni upigaji, uonevu wa watumishi na ushirikina tu

    Kwa kuandika bandiko hili mtu asije akadhani kwamba mimi ni mtumishi,sio mimi ni mdau wa maendeleo ninayekerwa na hali halisi ilivyo katika Wilaya yangu ya Mvomero.Taarifa nyingi zinakera,ndio, zinakera sana,ni kama Wilaya haina mwenyewe. Kila mahali ushirikina umekuwa gumzo, wafanyikazi...
  5. blackberry m

    Wafugaji Wilaya ya Mvomero wahamishia Minada yote Wilaya ya Kilosa

    WAFUGAJI wa wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro wameamua kuhamishia minada ya mifugo katika wilaya zilizo karibu na wilaya hiyo kutokana na sintofahamu iliyoibuka hivi karibuni. Wakizungumza kwa nyakati tofauti tofauti, wafugaji hao walieleza kuwa wamekuwa wakinyanyaswa na Mkuu wa Wilaya ambaye...
  6. R

    Endapo Waziri Bashe utaenda Mvomero kukuagua mradi aliokuelekeza Katibu Mkuu CCM (wenye value ya 9M) utakuwa ubadhirifu wa Mali za Umma

    Katibu Mkuu WA CCM ndugu Chongolo amemwagiza waziri wa Kilimo Mhe. Bashe kwenda Wilayani Mvomero kukagua na kuupatia ufumbuzi mradi wa umwagiliaji wenye thamani ya SHS milioni Tisa ambao umekwama kuendelea. Kupitia maelekezo haya; Kwanza najiuliza Katibu Mkuu wa chama na Waziri Nani anamwagiza...
  7. JanguKamaJangu

    Morogoro: Waziri amsimamisha kazi Mkurugenzi wa Mvomero kisa Tsh milioni 231 za ujenzi wa Shule ya Sekondari

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Inncocent Bashungwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro, Hassani Njama Hassani kuanzia leo tarehe 20.04.2022 ili kupisha uchunguzi. Waziri Bashungwa amechukua hatua hiyo baada ya...
  8. Lord OSAGYEFO

    Mvomero, Morogoro: Waziri Bashungwa abaini upotevu wa shilingi milioni 231 ujenzi wa miundombinu Sekondari ya Kumbukumbu ya Sokoine

    Watanzania hawa watendaji wetu sasa wamekuwa ni balaa. Upigaji wa fedha za miradi unatisha. Kila kukicha utasikia halmashauri hii imepiga, wilaya hii imepiga. Mkandarasi huyu kapiga ilimradi ni vipigo wa fedha za miradi kwa urefu wa kamba. Wakati umefika kwa serikali isiishie kuwasimamisha kazi...
Back
Top Bottom