Kilimo hakuna sasa tunaagiza mchele, sukari, samaki, matunda pia
Licha kuwa tuna mashamba mengi sanaa na ardhi nzuri. Mradi kama BBT haieleweki tenaa mwenyewe yupo na ng'ombe kwa chief mirambo
Siasa safi hakuna sasa kuna siasa chafu. Matusi, Kupigwa, siasa imekuwa uadui yaani tumetoka kabisa...