Mnaotumia barabara ya Morogoro, Kibaha Mlandizi au Chalinze Mlandizi hali bado ni tete. Wenye mko na njia mbadala jiongezeni au subirini.
Kama sio lazima sana kusafiri ebu subirini, manake malory yanayozima yanaongezeka na kuleta maafa zaidi, ameaga mwingine dunia baada ya kudondoshwa na boda...
Kama ilivyo desturi hatuwezi kukaa kimya kuacha sinema za karne iliyopita ziendelee tena kila uchaguzi unapokaribia.
Sukari adimu kwa maelezo Yao wenyewe uzalishaji ni mdogo kuliko mahitaji.
Hili sio jipya zipo hatua hata mwenda ZAKE alichukua kupambana na uhaba wa sukari.
Wafanyabiashara...
Miaka ya 2010 World Bank walitoa ripoti ya kufanya biashara nchini Tanzania na kwa viwango vya wakati ule tulishika nafasi kama ya 121 kama sijakosea. Raisi wa wakati ule Mh. Jakaya hakuridhishwa na hiyo ranking na kuchukua hatua at least tufikie 2 digits yaani tuwe chini ya 100. Majirani zetu...
Dunia tambara bovu na vituko haviishi na kila kukicha ni vuta nikuvute. Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wakopeshaji wa kidigital ambao si haba wanaongezeka kila kukicha.
Mie natoleo mfano mkopo wako, hawa jamaa ni nouma sana nikiwalinganisha na wengine hawa wabunifu zaidi wameajiri wadada...
Misiba na kunji la wafanyabiashara kariakoo limepooza ile jamba jamba iliyoletwa na NEMC wiki iliyopita. Kama ilivyoada na desturi sie great thinkers lazima tupate muda wa kudurusu zilizo kick na kuona kama kweli baraza na watu wake wenyewe wanawaita wataalam wa mazingira walifungia Bar na...
Bravo Madame Presidaa kwa kuhaidi na kutoa sh. 5 M kwa kila goli linalofungwa katika mashindano ya CAF. Beyond reasonable doubt matokeo tumeyaona na timu zetu ziko robo fainali, hii kitu ilifanyika kwa wakati sahihi na timu nzima ya utekelezaji ilisimama katika malengo, niungane na watanzania...
Jana nimeona Mechi ya Azam na Ruvu, kiukweli pasi na shaka Azam na wao wameshakata shauri liwalo na liwe kama wakubwa wengine, kwa udi na uvumba na wao wanataka matokeo sasa. Najua kama ilivyo desturi mtataka ushahidi lakini angalieni hizi mechi zinavyochezeshwa yaani mpaka Refa anayo matokeo...
Takribani wiki mbili sasa sie wakazi wa Dar mmetunyoosha kwa kutukatia maji. Timeaikoa sababu zenu na jitihada mnazochukua lakini haturidhishwi kabisa na Kasi yenu.
Mnatufikirisha Sana, mpaka tumemkumbuka mwenda zake jiwe, kuna alikuwa anaamua kama kiongozi. Wenzie aliotuachia yapo...
Wadau kama ilivyodesturi najua mnamambo mengi lakini na hili la Udart Mwendokasi ni lenu pia na linahitaji sauti zenu.
Watu wanajazwa kama wanyama na ngoma bado inashindilia kila kituo. Hivi mabasi haya hayana idadi kamili ya kupakia watu? Nani anahusika? Maana yake hakuna? Jamaa wanapokea pesa...
Alipofariki Nelson Mandera dunia nzima ilenda live kwa kipindi chote cha msiba na maombolezo, ilipofikia mwili kuwekwa katika nyumba ya milele kamera zilizimwa na tukaambia ni ndugu wa karibu tu ndio watakaoshiriki zoezi zima la kuzika.
Jana tena wakati Malkia anazikwa pamoja dunia kushiriki...
Nimetuma 100,000 kwenda tigo pesa kwa simbanking, VAT sh. 974.70, govt levy sh. 1,009.00, TMS CHARGE TIGO 5,415.00, wenye akili timamu nimekatwa sh 7,398.7 kwa transaction hii moja tu. Pesa ilitoka kwa mshahara ambao wajuba walishakata PAYE. ni 7.4%. Mwaka 2017 kwa muamala kama huu nilikuwa...
Wahusika mpitie mwito huu wa watu kuitwa katika usahili na kuombwa pesa.
Kuambiwa interview itachukua muda mrefu na aliyealikwa ajilipie chakula. Huu ni uhalifu wahusika wachukue hatua.
Miaka zaidi ya 10 iliyopita Serikali ya Jamhuri ilikuwa inapambana kuboresha mazingira ya kufanya biashara nchini. Report ya world bank wakati ule ili rank Tanzania 121 kwa mazingira magumu zaidi ya kufanya biashara TPSF na wadau wake kupitia doing business Roadmap wakapambana mno. Kwa tathmini...
Ndugu wana JF, kwa heshima kubwa kabisa tunafungua mjadala wa kutafuta fedha za kujenga reli standard gauge kwa sekta binafsi na wananchi. Milango imefunguliwa kwa mujibu wa Waziri Mpango ni Kipande cha Reli kuelekea Mpanda na sehemu ilielekezwa na Mh. Raisi, mie siamini kama ile simu ilikuwa...
Jamani tusamehane wengine tunapendaga kwenda between lines jana Serukamba Bungeni amemtuhumu mpendwa wa CRB kutaka kazi ya REA Kigoma na Katavi mpaka kuipiga stop sababu mchakato ukampe upendeleo.
Kama kawa kama dawa JF paa la bati, manake jana nilisikia kwenye hotuba ya mafanikio ya miaka...
Ndugu wananchi mwaka jana kipindi kama hiki, mkuu wa kaya alipiga marufuku kugawa chakula bure. Vipi tena mbona first lady mbona anagawa tena bure chakula kwa wazee wa chato, katazo halikuwahusu wazee wa chato au first lady sio sehemu ya serikali.
Hii tunaisema sababu tangazo linasema first...
Kufuatia taarifa za Tume kuhusu makinikia hali bado Ni tête kwa maeneo yanayozunguka migodi hasa Bulyanhulu.
Leo toka asubuhi Ni vikosi vya polisi Na silaha nzito vinaranda katika mitaa ya Kakola Na Bugarama. Tuliambia wenye band wameshakuja kuanza mazungumzo Na mshua sasa timu ya wabunge sie...
Imekuwa ni desturi kwa makampuni ya simu kugawana faida na wateja kutokana na matumizi ya huduma. Last week walianza Tigo na leo Voda wameenda hewani kwa kuanza kugawia faida watumiaji wa huduma za simu, na mie nimepokea Tshs 2,009.00 kutoka 219777 MPESA Faida tarehe 30/1/17 saa 8:27.
Kiukweli...
Kama ilivyo ada JF ni paa la bati, juzi ilitolewa taarifa katika radio za mtwara kwamba gari semi trailer mbili zimepotea katika mazingira ya kutatanisha na kufikisha idadi ya magari matatu ndani ya siku mbili.
Korosho imekuwa dhahabu na kwa lugha ya kitaa gunia tatu ni zaidi ya milioni. Yaani...
Watanzania mliokuwa katika wilaya zingine Tanzania tupeana taarifa kuhusiana na zoezi wanalofanya hawa jamaa wa TRA wilayani Ruangwa kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kunyanyasa wafanyabiashara na wamiliki wa magari.
Leo jamaa wameanzisha kamata kamata ya magari na kulazimisha wamiliki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.