traffic

  1. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda KCCA Launches Construction of Mpererwe-Kiteezi-Kiti Road.

    The Kampala Capital City Authority (KCCA) has officially begun construction works on the Mpererwe-Kiteezi-Kiti Road, a key infrastructure project aimed at improving urban mobility and reducing traffic pressure on major arteries in the greater Kampala metropolitan area. The project involves...
  2. jimama26

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila, Dar es Salaam imekushinda, inakuwaje kuna foleni kiasi hiki huchukui hatua?

    Inasikitisha sana kuona hali ya foleni jijini Dar es Salaam imefikia kiwango hiki. Haiwezekani mtu kukaa sehemu moja kwa zaidi ya saa moja bila kusogea. Njia ya kutoka Morocco kuelekea mjini, kupita Serena Hotel hadi uwanja wa ndege, imekuwa ni mateso makubwa – asubuhi na jioni. Kwa wiki nzima...
  3. Just Pray

    JamiiForums Tanzania KERO Traffic wanaoongoza magari Masana ni chanzo kikubwa cha foleni, tunasimamishwa zaidi ya dakika 30

    Nyakati za asubuhi hapa jijini Dar es salaam kumekuwepo na utaratibu wa Askari wa usalama barabarani (Traffic) wanasimama barabarani hasa maeneo ya Crossway au sehemu zenye mataa ili kudhibiti uelekeo wa magari kwa lengo la kupunguza foleni lakini hali imekuwa tofauti kwani wamekuwa cha...
  4. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Road Traffic accidents increase by 3.7% as 15 people die daily on Uganda Roads

    The police annual crime report, launched today March 30, 2025 indicates that road accidents have increased by 3.7% The report released today at the Police Headquarters in Naguru indicated that number of crashes have increased from 25,107 in 2024 to 26,044 in 2025. The Traffic Police director...
  5. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania High Court Halts Enforcement of Automated Traffic Fines

    The new National Transport and Safety Authority (NTSA) instant traffic fines system, which was intended to deploy AI cameras to instantly impose fines for speeding and other offenses, has been stopped by the Kenyan High Court as of March 12, 2026. Due to legal objections about fairness and...
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania E-Kesi Barabarani: Kenya Yazindua 'Instant Fines' System ya Traffic

    Serikali, through NTSA, imeanza digital traffic enforcement system mpya inayotumia smart cameras kukamata makosa barabarani. Kama umeenda kasi, hukufunga seatbelt, au umevuka lane ovyo, system itakurekodi instantly na kukutumia SMS notification ikiwa na details za offence na fine unayotakiwa...
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: NTSA Introduces Automated Instant Fines System to Enhance Traffic Enforcement

    The National Transport and Safety Authority (NTSA) has announced the launch of a new Instant Fines Traffic Management System, aimed at making traffic enforcement smoother, fairer, and more transparent for motorists. With this system, any traffic violation will trigger an automatic SMS...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Askari wa barabarani kumpiga dereva faini je amekuwa mahakama?

    Hili swala la askari wa barabarani kumpiga faini dereva haliko sawa kwani anakuwa amemhukumu dereva wakati yawezekana mahakamani angeshinda kesi. Ni vyema sasa mtu afikishwe mahakamani aitwe ajitete kwanza ndipo mahakama itoe adhabu kinyume na hapo ni wizi serikali inafanya kwani makosa mengi...
  9. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mnawakumbuka tigo??wazee wa pikpik waliitutesaa sana wakaanza kubeba majukumu ya traffic kabla hawajatolewa resi loh

    n mda sasa leo nimewakumbuka wazee wa tigoo walikuwa wanakamata pikpik na wengine walijilimikisha kabisa mishahara vs bodaboda yaan wakifika kijiweni boda incharge anakuwa ashakusanya mafao wanawapa haitoshi wakanza kuvamia na magari yetu Mungu fundi walifanya matukio kadhaa machafu wakapigwa...
  10. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Traffic light za isevya Tabora ni aibu

    Jana azam media wametangaza stori kuhusu ubovu wa taa za kuongozea magari za isevya Tabora.Zimeharibika toka mwezi wa pili mwaka huu.Hii ni aibu,waziri anayehusika hebu nenda mwenyewe ukamuondoe yule meneja wa tanroads maanaajibu aliyotoa ni uzembe
  11. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Kwa hayo yanayoendelea kwenye mataa ya Mwenge nashauri baadhi ya maaskari wabadilishiwe vituo

    Ni jambo la kushangaza sana, katika njia ya Mwenge kuelekea Tegeta kuna askari wa traffic wanne ambao badala ya kuongoza magari na kurahisisha foleni, wamegeuza eneo hilo kuwa kituo cha kudai rushwa. Wanaacha majukumu yao ya msingi na kushughulika na dhambi, hali inayosababisha mateso makubwa...
  12. H

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua hili la plate no SSH, nimelikuta mahala sijapata jibu sahihi

    3D ilionekana namba isio rasmi tukaambiwa camera hazisomani na plate namba lakini leo hii kuelekea uchaguzi zimezagaa gari zenye namba za SSH, je hizi camera zinasomaje? Na pia huwezi kukuta zimesimamishwa na trafic, je haziwezi kutumiwa na watu waovu kufanya mambo yasio faa kwa plate za SSH??
  13. Just Pray

    JamiiForums Tanzania KERO Ruti ya daladala Mbezi kupitia Goba hadi Kawe na Makumbusho zinazidiwa abiria asubuhi, Traffic ni kikwazo wanakamata daladala zinazokuja kusaidia

    Wakuu, Naomba kuwasilisha kero inayowakabili wananchi wanaotumia usafiri wa daladala kutoka Mbezi kupitia Goba - Kawe na zile zinazoelekea Makumbusho. Nyakati za asubuhi, kuna changamoto kubwa ya upatikanaji wa daladala. Magari yaliyopo kwenye ruti hii yanaonekana kuzidiwa uwezo, kiasi kwamba...
  14. Hustler_

    JamiiForums Tanzania Jinsi Nilivyogundua Njia Rahisi ya Kuongeza Followers na Traffic kwenye mitandao ya kijamii

    Ndugu zangu wa Jamii Forums, Nimekuwa nikisoma mengi humu, na leo nimeona ni vizuri nami nichangie kitu ambacho kimenisaidia sana — na naamini pia kinaweza kuwasaidia mkiamua kuchukua hatua. Nilikuwa napambana kupata followers Instagram, Twitter, YouTube subscribers, lakini ilikuwa ngumu —...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Traffic lights za Kijitonyama Mataa Tatizo

    Sitaki kuamini kwamba mataa ya kuongozea waenda kwa mguu na magari pale Kijitonyama siku hizi hayafanyi kazi! Yaani ni kero kubwa sana kwa sababu unakuta zile taa za waenda kwa mguu unakuta ile picha nyekundu ya mtu akiwa amesimama siku hizi haibadiliki. Hivyo muda wote ni magari tu na...
  16. Mwanongwa

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Veta - Njiro Arusha kinatuzungusha tuliosoma Kozi ya Udereva, hawapeleki matokeo yetu kwa TRAFFIC.

    Chuo cha Veta Kilichopo Njiro Arusha, KOZI YA UDEREVA Ngazi ya (PSV NA VIP) Kimekuwa Kikituzungusha Kutopeleka Matokeo Yetu TRAFFIC. Wanafunzi wa Intec No. 177 Na 178 Ambao tumesoma mnamo tarehe 24 January 2022, lakini hadi leo ni miaka 4 tukifika Police kwa ajili ya Ku Hakiki Lessen...
  17. P

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya mwanza mataa, tuta la stendi ya daladala makoroboi

    Pale makoroboi stand ya dalala, kuna tuta(bump) kubwa, baada ya tuta hilo kuna mashimo makubwa sana katikati ya barabara. Cha ajabu kwenye tuta hilo na chini ya tuta hilo utakuta zimepaki dalala juu ya tuta, zinapaki daladala tatu hadi nne kwa upana na kuacha sehemu ndogo sana ya barabara...
  18. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Taa Za Makutano ya Uhuru-Msimbazi (Kariakoo) zipo likizo? Basi awekwe Traffic ili kuepusha kero

    Ni zaidi ya miezi miwili kwa nyakati tofauti kila nikipita kwenye makutano ya mataa ya Uhuru na Msimbazi nakutana na kero ya msongamano wa magari eneo hilo, mtaa yaliyofungwa kuongoza magari eneo hilo yanakuwa yamezimika na hazifanyi kazi, waliopo maeneo hayo wanadai kuwa kero hiyo imekuwa ya...
  19. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania Jinsi wenzetu wanavyorenew leseni za udereva. TRA, Trafiki chukueni notice hapo tusichoshane

    Tanzania ukitaka kupata leseni utataga. Uende VETA, ukimaliza VETA unaenda police, police wanakutuma TRA, ukitoka TRA unatumwa tena police, ukifika huko mara unaambiwa mfumo hauko sawa, sijui nenda urudie ya ilimradi uchoke tu basi, au utoe pesa kidogo. Mifumo Bongo Haisomani.
  20. O

    JamiiForums Tanzania Natamani kama Traffic wangekuwa wanavaa ving'amuzi wawapo barabarani

    Salamu kwenu waungwana wa JF. Kusema ukweli imefikia hatua traffic polisi wetu wawapo kazini hasa barabarani kuwa kero na usumbufu usio kuwa na sababu. Kila baada ya km 1 au 2 unakutana na traffic zaidi ya 4 au 5 na kila mmoja yuko busy kutaka kukusimamisha ni kama vile wanafanyiana timming ya...
Back
Top Bottom