Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Instagram ameandika:
"Kuna msamaria mwema ndani ya Jeshi la Polisi kanijulisha kwamba Doctor Conrad Agonza ambae alipigana na Traffic yupo kituo cha Polisi Oysterbay.
Anasema juzi baada ya Wanajeshi wa JWTZ kuachanisha ugomvi huo, walimchukua Dr. Conrad...
AI Generated Image.
The narrative that Ugandan roads are claiming more lives than hospital wards is no longer just a hearsay but reality. With traffic fatalities rising year after year and reaching thousands of preventable deaths annually, highways have turned into death traps
Reckless...
Tukio linalodaiwa kutokea maeneo ya Mwenge, Dar es Salaam, ambapo askari wa usalama barabarani anadaiwa kuchomoa ufunguo wa gari la dereva baada ya kutokea mabishano, linaibua maswali muhimu ya kisheria na kiutendaji.
Je, askari wa usalama barabarani ana mamlaka ya kisheria kuchomoa ufunguo wa...
Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimepokea taarifa kuhusu tukio lililotokea tarehe 8 September 2026 katika eneo la Lugalako, Kinondoni, Dar es Salaam, linalomhusisha Dkt. Conrad Agonza Kahyoza ambaye ni Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ndani katika Hospitali ya Taifa Muhimbili - Mloganzila na...
Ninatambua upendo wananchi walio nao kwa jeshi lao la polisi ila ninapinga wao kujichukulia sheria mkononi kwa kumpiga mtu aliyekuwa akimpiga askari wa usalama barabarani. Kujichukulia sheria mkononi ni uhalifu kama uhalifu mwingine. Wananchi walipaswa kumdhibiti mtuhumiwa na kumfikisha kituo...
Tufanye kama ilivyo kwenye nchi za wenzetu hakuna traffic asiye na silaha ya moto kwanza ukizingua tu chombo kinataifishwa au tail zinapasuliwa.
Nashauri IGP aweke huu utaratibu kwenye Kila traffic station kuwe na watu wenye silaha za moto, hatupendezewi kuona traffic wakivamiwa na wauvu...
Hundreds of passengers have been left stranded at Kampala’s Old Taxi Park during the evening rush hour after Traffic Police impounded commuter taxis deemed to be in dangerous mechanical condition.
The operation is part of a 100-day crackdown launched today by the Ministry of Works and Transport...
Oponya Martin in custody (image courtesy of SP Kananura Michael)
Police have arrested the driver of a Sino truck, registration number UA 367AM, after he allegedly failed to stop when directed by traffic officers in Mpigi District.
The driver, identified as Oponya Martin, was intercepted at...
Some drivers refuse to stay in their lanes, especially those in cars that look like ministerial vehicles.
Even after government issued a directive for all motorists to respect lane discipline, these drivers continue to disregard the rules, putting others at risk.
Citizens are left wondering...
Wakuu hii ishu inauma sana.
Hawa jamaa wanaposimamisha kila daladala ni kwa ajili ya kula 2000
Atakapokuja Rais mwingine atapata shida sana kuirejesha nchi mahala pake
Nimekutana na changamoto na askari wa usalama barabarani (Traffic Police) jijini Dar es Salaam mara kadhaa.
Kwanza, mara nyingi wanakuwa hawana mashine za kutoa risiti. Kila siku utasikia wanaeleza kuwa mashine zina changamoto, kisha huchukua taarifa za leseni na namba za gari kwa kupiga picha...
President William Ruto has announced the rollout of the Nairobi Intelligent Transport System (ITS), a KSh44.9 billion initiative aimed at easing chronic traffic congestion and modernising mobility across the capital. The project will be implemented in three phases and is expected to...
The government is set to overhaul Uganda’s Electronic Penalty System (EPS) after stakeholders endorsed a raft of reforms, including slashing speeding fines to a flat Shs160,000, extending the payment period from 72 hours to 28 days, and revising controversial speed limits.
The proposals were...
Comedian na activist Eric Omondi ameachiliwa kwa personal bond ya KSh100,000 baada ya kufikishwa mahakamani na kushtakiwa kwa kudaiwa kuzuia magari kupita Kimathi Street, Nairobi. Eric alikanusha mashtaka hayo, akisema hana hatia. Kulingana na hati ya mashtaka, anadaiwa kushusha jerricans 120...
The Kampala Capital City Authority (KCCA) has officially begun construction works on the Mpererwe-Kiteezi-Kiti Road, a key infrastructure project aimed at improving urban mobility and reducing traffic pressure on major arteries in the greater Kampala metropolitan area.
The project involves...
Inasikitisha sana kuona hali ya foleni jijini Dar es Salaam imefikia kiwango hiki. Haiwezekani mtu kukaa sehemu moja kwa zaidi ya saa moja bila kusogea. Njia ya kutoka Morocco kuelekea mjini, kupita Serena Hotel hadi uwanja wa ndege, imekuwa ni mateso makubwa – asubuhi na jioni.
Kwa wiki nzima...
Nyakati za asubuhi hapa jijini Dar es salaam kumekuwepo na utaratibu wa Askari wa usalama barabarani (Traffic) wanasimama barabarani hasa maeneo ya Crossway au sehemu zenye mataa ili kudhibiti uelekeo wa magari kwa lengo la kupunguza foleni lakini hali imekuwa tofauti kwani wamekuwa cha...
The police annual crime report, launched today March 30, 2025 indicates that road accidents have increased by 3.7%
The report released today at the Police Headquarters in Naguru indicated that number of crashes have increased from 25,107 in 2024 to 26,044 in 2025.
The Traffic Police director...
The new National Transport and Safety Authority (NTSA) instant traffic fines system, which was intended to deploy AI cameras to instantly impose fines for speeding and other offenses, has been stopped by the Kenyan High Court as of March 12, 2026. Due to legal objections about fairness and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.