TRA Ruangwa na Polisi Wanalazimisha Kukusanya Mapato kwa Kamata Kamata

Songambele

JF-Expert Member
Nov 20, 2007
4,695
2,553
Watanzania mliokuwa katika wilaya zingine Tanzania tupeana taarifa kuhusiana na zoezi wanalofanya hawa jamaa wa TRA wilayani Ruangwa kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kunyanyasa wafanyabiashara na wamiliki wa magari.

Leo jamaa wameanzisha kamata kamata ya magari na kulazimisha wamiliki kulipia road license ya magari yaliyoandikishwa kwa jina lako hata kama ni chakavu na hayako barabarani.

Wanaendesha zoezi kwa kiburi kikubwa tena wakijinadi wametumwa na wakubwa, haina maana watu hawataki kulipa kodi bali value for money muhimu sana na system inabambikia watu madeni hata kwa gari zilizotoka barabarani miaka 10 iliyopita na wanaachilia kwa upendeleo mkubwa sana.

Rai yangu kwa JPM watumishi inawezekana hawajaelewa maagizo yako na woga wao kwako unakuwa kero kwa wananchi na wapiga kura. Kama akina Bakhresa mnakaa nao na kuzungumza nao namna bora ya kulipa madeni yao basi muulika na hawa watu wenu wa ngazi ya wilaya. Inaonekana kila mtu anataka aonekane anafanya kazi kuridhisha wakubwa kumbe wanawaharibia na chukueni hatua sasa.

Wadau tupeane taarifa zoezi la namna hii linafanyika na wapi katika nchi hii na kwa nini ni Ruangwa?
 
Watanzania mliokuwa katika wilaya zingine Tanzania tupeana taarifa kuhusiana na zoezi wanalofanya hawa jamaa wa TRA wilayani Ruangwa kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kunyanyasa wafanyabiashara na wamiliki wa magari.
Leo jamaa wameanzisha kamata kamata ya magari na kulazimisha wamiliki kulipia road license ya magari yaliyoandikishwa kwa jina lako hata kama ni chakavu na hayako barabarani.
Wanaendesha zoezi kwa kiburi kikubwa tena wakijinadi wametumwa na wakubwa, haina maana watu hawataki kulipa kodi bali value for money muhimu sana na system inabambikia watu madeni hata kwa gari zilizotoka barabarani miaka 10 iliyopita na wanaachilia kwa upendeleo mkubwa sana.
Rai yangu kwa JPM watumishi inawezekana hawajaelewa maagizo yako na woga wao kwako unakuwa kero kwa wananchi na wapiga kura. Kama akina Bakhresa mnakaa nao na kuzungumza nao namna bora ya kulipa madeni yao basi muulika na hawa watu wenu wa ngazi ya wilaya. Inaonekana kila mtu anataka aonekane anafanya kazi kuridhisha wakubwa kumbe wanawaharibia na chukueni hatua sasa.
Wadau tupeane taarifa zoezi la namna hii linafanyika na wapi katika nchi hii na kwa nini ni Ruangwa?

Sasa huko si kwa kiongozi wa watunga sheria
 
Tatizo kubwa la watu Wa Ruangwa Wa kata za Ruangwa na Nachingwea hamtaki maendeleo nammesahau kbs kuwa kulipa kodi kwa maendeleo ya Taifa letu.na Bila Polisi kutumia nguvu hamtalipa kodi kbsa kwakuwa mnajidanganya nyinyi watu Wa PM.sio kweli kuweni mfano bora wakulipa kodi ili kumsaidia sana PM anapowabana watu wengine
 
Tatizo kubwa la watu Wa Ruangwa Wa kata za Ruangwa na Nachingwea hamtaki maendeleo nammesahau kbs kuwa kulipa kodi kwa maendeleo ya Taifa letu.na Bila Polisi kutumia nguvu hamtalipa kodi kbsa kwakuwa mnajidanganya nyinyi watu Wa PM.sio kweli kuweni mfano bora wakulipa kodi ili kumsaidia sana PM anapowabana watu wengine

Ebana hee ndio watu walipie magari mabovu kodi na mengine yalishachinjwa?
 
Acha majungu mbona hata sehemu zingine huwa wanafanya hivyo hivyo.....wanaume Wa dar bwana....
 
Watanzania mliokuwa katika wilaya zingine Tanzania tupeana taarifa kuhusiana na zoezi wanalofanya hawa jamaa wa TRA wilayani Ruangwa kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kunyanyasa wafanyabiashara na wamiliki wa magari.
Leo jamaa wameanzisha kamata kamata ya magari na kulazimisha wamiliki kulipia road license ya magari yaliyoandikishwa kwa jina lako hata kama ni chakavu na hayako barabarani.
Wanaendesha zoezi kwa kiburi kikubwa tena wakijinadi wametumwa na wakubwa, haina maana watu hawataki kulipa kodi bali value for money muhimu sana na system inabambikia watu madeni hata kwa gari zilizotoka barabarani miaka 10 iliyopita na wanaachilia kwa upendeleo mkubwa sana.
Rai yangu kwa JPM watumishi inawezekana hawajaelewa maagizo yako na woga wao kwako unakuwa kero kwa wananchi na wapiga kura. Kama akina Bakhresa mnakaa nao na kuzungumza nao namna bora ya kulipa madeni yao basi muulika na hawa watu wenu wa ngazi ya wilaya. Inaonekana kila mtu anataka aonekane anafanya kazi kuridhisha wakubwa kumbe wanawaharibia na chukueni hatua sasa.
Wadau tupeane taarifa zoezi la namna hii linafanyika na wapi katika nchi hii na kwa nini ni Ruangwa?

hata kigoma zoezi hili linaendelea hata kwa akina mama nitilie wamepewa form za kufanyiwa assesment ya malipo ya kodi ya mapato.
jana mafundi seremala waliandamana hadi kwa mkurugenzi na afisa biashara ili kupata maelezo zaidi juu namna ya kulipa hizo kodi za serikali.Inabidi magari ambayo hayako barabarani tuyauze kwenye vyuma chakavu maana sasa hivi ni balaa tupu
 
Hebu watanzania tuamke, wenye kuonewa ni pamoja na wafanyabiashara wenye "ahueni" ya maisha. Kwa nini wasiungane na kuweka wakili wa kuwatetea.

"If you want to change the world you must change you first " Mahtima Gandhi.
 
Back
Top Bottom