Mwezi wa kwanza niliwahi nunua tani 2 kwa hao hao wauzaji wa mchele ila sikugundua maana nilivyoufikisha stoo vijana waliwahi kuuweka kwenye mifuko ya kinga njaa kwahiyo sikupata nafasi ya kupima kila kiroba.
Leo nimeenda nikachukua viroba vitano vya kilo mia mia,nimefika stoo nimevipima...
Unaambiwa huyu jamaa kila mara anakuwa upande wa timu pinzani.
CR7 anataka top four,maguirre hataki.
De Gea anamuogopa huyu beki zaidi ya washambuliaji wa timu pinzani.
Katika hii picha hapa chini ameamua kuapply kile anachokifanya kwenye mazoezi.
Pogba alikula kiatu cha uso.
Hii mbinu itamfanya mwanamke kuogopa kuchepuka kwa kuhisi kuwa ataonekana kuwa mchafu kwa mchepuko wake.
Kwa wale wanaume wanaosafiri safiri sana, yaani kuwa na mkeo inakuwa mara chache, sasa fanya hivi:- mwambie asiwe ananyoa.
Wewe ndio unatakiwa umnyoe tena kwa kuyapunguza tu usiyamalize...
Kwa jinsi hali ilivyo sasa ya kimpira hapa kwetu, hasa katika mazingira ya vibanda umiza, kwa kuangalia mashabiki wa hizi timu mbili kubwa hapa Bongo.
SIMBA
Kwa msimu huu wa 2021/22 hasa siku za hivi karibuni, mashabiki wa Simba wameanza kupungua kuhudhuria mechi za Simba, hasa hasa inapokuwa...
Hatuna muda wa kuinjoy maisha
Mkikutana wapenzi ndani ya wiki mbili tu mmeshabebeshana mimba
Hakuna time ya kufutahia uhusiano wenu utazani nyie ni ng'ombe kwamba mkizaa haraka mnamsaidia mfugaji kupata maziwa na mifugo kuongezeka.
Ona wenzetu weupe wanavyoinjoy,wanaanza na uchumba,wanakaa...
Jamaa alijifanya kama kijana fulani ambae mbususu sio inshu sana kwake,hata siku moja hakuwahi kuonekana kuwa na demu ambae watu wangehisi hata kuwa jamaa anatafuna.
Jamaa kila siku alkuwa busy kuisaka pesa aendelee kujitajirisha,na vijana wengi sana walitamani kuishi kama yeye yaani unazisaka...
Kuna huu wimbo wa Jay Helody-huba hulu.
Sound yake nakuwa sielewi elewi, kila nikijaribu kuuweka naona unatoa sound ya ajabu, najaribu ku-equalizer lakin bado sound inayotoka haisound poa.
Sasa nazani labda itakuwa producer alikosea au studio ilikuwa na vyombo vya kawaida.
Unasound kama...
Kwasasa usitegemee mwanamke anaweza kukuonea huruma wewe mume wake, haijalishi unapambana vipi kwa ajili ya familia yako, anytime anaweza kukufanyia tukio la hatari.
Kwasasa hawa viumbe tuliozoea kuamini kuwa wana huruma, huruma wamebakiza kwa watoto wao na kwa ndugu zao wa damu tu.
Sometimes...
Kuna hizi sekta, kuna watu wake wana matabia ya ajabu:-
WALIMU: Hawa sipendi tabia yao ya kulia lia, kujifanya wakati wote hawana hela, wanapenda kutumia hela za wenzao kama ke. Hawa hutegea mpaka mambo ya kifamilia.
CUSTOMER CARE: Hawa kuna muda hujivika umiliki wa mahali anapofanyia kazi...
Nyie wanawake mnaopenda kuchepuka chonde chonde Haya yafuatayo jitahidini kuyaepuka:-
1. Unapgwa huko mpaka unapata ujauzito wa huko, hii sio pia
2. Unapgwa huko mpaka unaleta maradhi nyumbani hii pia sio poa.
3. Usipigwe na ndugu wa mumeo, mwanamke anaeliwa na ndugu wa mumewe ni kama hana...
Natumai wengi wenu mko poa,na wachache wanaoumwa mungu atawapa ahuweni.
Bila kupoteza wino kama kichwa cha Uzi kilivyo,ningependa kuainisha mambo ambayo wanaume wa kweli huwa wanayafanya mwisho wa mwaka.Nazani Hii dunia bila wanaume nazani ingekuwa kama mbuga tu.
Jamani Kuna wanaume kwa kweli...
Moja kwa moja kwenye mada bila kupoteza muda.
Singo mama wapo katika makundi mbalimbali:
1. Kuna ambao wamebakwa
2. Kuna ambao wamekuwa kutokana na manyanyaso ya kwenye ndoa akaamua kutimuka na wanae
3. Kuna ambao wamekuwa kutokana na tamaa zao
4. Kuna ambao wamekuwa kutokana na kufiwa waume...
Kwasasa kuna nyimbo mbili:-
1.Queen Darlin-Muhogo
2.Rosa ree ft.Tammy tdat-Asante baba remix
Hizi nyimbo zingesikika kwa watu wanaojifanyaga wako dunia ya zamani na wasiojua mziki,zingekuwa zimeshafungiwa siku nyingi.
Ila video ya asante remix nimeielewa sana,sijawahi ona video yenye majonjo...
Kimbunga Kenneth kimetokea africa, lakini nchi za Africa ambazo hazijaathirika zipo lakini hatuwezi kufanya uokozi kwa waliokwama huko,wazungu wametoka huko mbali wamekuja kufanya uokozi na kutoa chakula na malazi(upendo wa ajabu kabisa huu).
MUNGU NI MZUNGU.
Wameajiriwa toka mwezi wa 10 katika hospitali za wilaya za kigoma,waliomba maombi kabla hawajapata leseni wizara ikawaamini ikawaajiri,tatizo limekuja kwenye mkoa wenyewe wanagoma kuwapatia mshahara eti mpaka wapate leseni zao,hayo wakakubaliana nayo,tena wakawabania kwenye hela ya kujikimu...
Ila kuna vitu vipo natural sana, yaani unakuta kitoto cha kike kina miaka 10 lakini unakuta kishajua ni sehemu ipi ya mwili wake ambayo huweza kumpa mihangaiko ya mwili mwanaume atakapoiona.
Sasa saikolojia ambayo sijui waliipata wapi iko hapa: Ni pale mwanamke anapotaka kukutana na mpenzi wake...
Baada ya kuona kuwa wakina dada wamejiwekea vigezo vya kumkubalia mwanaume Wa kumuoa ni mpaka mwanaume awe na pesa za shopping, kula vizuri,kutengeneza nywele kucha kope na kuwa na gari,nyumba pia na mengine mengi mazuri mazuri yanayohitaji pesa.
Sisi kama mabachelor ambao tupo na mpango Wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.