waafrika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. de Gunner

    Je, kuna ukweli kuwa waafrika weusi tumelaaniwa? (World cup rant)

    Kwa kinacho tokea world cup kuna namna kama huo msemo una coleration flani na reality Angalia, jinsi timu zinavyo hustle, zinakamia mwanzoni then baadae ni kama wanaingiwa pepo uzembe, wanaanza kuacha myanya, wanaanza kufanya makosa ya usahihi wa pasi.. Mpaka unajiuliza mbona kama ngozi...
  2. The unpaid Seller

    Video: Waafrika tuna nguvu aise khaa !!, Hivi ilikuwaje wazungu wakatutawala.

    kuna mwamba anawashangaza watu huko ticktock kwa jinsi anavyo onyesha nguvu asili (raw power) aise ilikuaje Wazungu wakatutawala !! Link hiyo hapo chini: https://vt.tiktok.com/ZSQEfpWHf/ Nakiri kukubali nadharia kua hata Samson alikua mwafrika mwenzetu
  3. britanicca

    Nje ya siasa ntakuja na Simulizi ya Maisha ya waafrika nje ya Africa na wanavyopata pesa Asia, Ulaya na Marekani, wengi wanawake wanateseka episode 10

    Nje ya siasa Kidogo Uzi huu utawasaidia wale wanaojitosa hasa watoto wa kike mabinti Kwenda Ulaya (Hapa hawateseki sana) Asia(China, India, Nepal, Thailand ,Hongkon, Malaysia , Macau, Philippines , Singapore, Indonesia, Laos, Vietnam) haya maeneo yote nshayapitia na kuona wadada wanavyoteseka...
  4. H

    Ni wakati wa Waafrika sasa kukubali wafia dini za kuja wote hawako sahihi

    Habari, Ukweli ubaki kuwa ukweli tu kwani Mwafrika kujiita majina ya kuja kwasababu eti ni wafuasi wa dini za kuja na kuacha majina na dini zao huo ni UJINGA uliopitiliza. Hivi kweli hata wasomi hasa maprofesa nao hawaoni kuwa wamepotezwa na imani za kuja? Ujinga ukizidi ni dhambi,tafuteni...
  5. Joshua Mbezi

    Yawezekana Waafrika sio watu na msinibishie🤣😂

    Ukiangalia matukio yanayotokea kwenye nchi nyingi za kiafrika yanathibitisha kuwa sisi sio watu Yawezekana sisi ndio wale sokwe waliokuwa wanakaribia kuwa binadamu lakini mchakato ukaishia njiani Kwa kawaida wanasema binadamu ujifunza kutokana na makosa aliyoyafanya lakini kwa Africa ni...
  6. M

    Tusiwalaumu sana viongozi wetu, ni nature yetu waafrika wengi kuwa loyal kwa rewards kama Vyeo na pesa kuzidi uzalendo wa kufikiria mateso ya wengine

    Unafkiri hawaoni yanayoendelea ?? wanayaona sana tu lakini mapenzi ya vyeo, pesa, maisha mazuri ya familia, n.k. ni muhimu sana kuvitunza Kwa kiasi kikubwa, tatizo linaweza kuwa ni sehemu ya utamaduni wetu wa kisiasa na kijamii. Mara nyingi wengi wetu huwa waaminifu zaidi katika maslahi kama...
  7. baz kaiza

    Viongozi wanaotuongoza wamejilimbikizia ukwasi ambao ni kufuru kwa MUNGU

    Viongozi wanaotuongoza wamejilimbikizia ukwasi ambao ni kufuru kwa MUNGU. Wako tayari hospital zikose dawa wananchi wafe hospital kukosekana dawa ila wao na familia zao zinapata matibabu ulaya. Mwanza kuna ziwa victoria lakini wananchi wa mwanza maji ya kutumia nyumbani ni kama ndoto ya mchana...
  8. M

    Wameshasahau wao walivyokuwa wanabaguliwa na Makaburu! Wanawabagua waafrika wenzao

    Hawa hapa wamesheheni silaha za jadi kushambulia waafrika halafu wanategemea tuwashangilie kombe la dunia!
  9. M

    Ubaguzi wa Afrika ya kusini dhidi ya waafrika wenzao utawatafuna wenyewe kombe la dunia!

    Waangalie hapa walivyosheheni kwa silaha za jadi: pinde, mapanga, fimbo, marungu wakiwa tayari kuwashambulia waafrika wenzao walioko Afrika ya kusini.
  10. Top Gun

    Mpemba aliwahi kuniuliza "unajua kwanini Uislam umeshikilia sana Uarabuni na Africa" akasema "kwa sababu waafrika na waarabu wanaongozwa na mihemuko"

    This was 2019, Tariq aliniambia kiuhalisia yote aliyofundishwa na yote aliojifunza mwenyewe haya hitaji uwe na fikra pevu na yenye mantiki ili yakukae utaishia kuyakimbia na malipo yake kutengwa kwa hio itakubidi uwe umejazwa hisia na muziki wa mambo ya kufikirika ndio uendane nayo.
  11. Kijakazi

    Waafrika na mahusiano tofauti na dunia nzima!

    sijawahi kukutana na waafrika mwanaume na girlfriend wake au mke wake wawili tu wakisafiri pamoja, ila nimeshakutana na wahindi akiwa na mke wake au girfriend wakisafiri, wazungu ni kama kawaida, nimeshaona wachina mwanaume akiwa na demu wake tu safarini, hata arabs wa gulfs nimeshakutana nao...
  12. R

    Trump alivyosema waafrika inabidi watawaliwe tena hakukosea

    Hawa ndio viongozi wa Afrika, nchi yake ina matatizo kibao yeye anaponda raha. BREAKING: Congolese President Tshisekedi Stuck at Budapest Airport Over Ebola Concerns President Félix Tshisekedi was held up at Budapest Airport after arriving with a delegation to attend the Champions League final...
  13. Mafyangula

    SI KWELI Cambodia yaagiza Waafrika wote wakiwemo kutoka Kenya, Ghana, Cameroon na Uganda kuondoka nchini humo kabla ya Mei 31, 2026

    Serikali ya Cambodia imetoa tangazo linalowaagiza raia wote wa Afrika, wakiwemo kutoka Kenya, Ghana, Cameroon na Uganda kuondoka nchini humo kabla ya Mei 31, 2026, la sivyo watakamatwa na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria za uhamiaji. Katika taarifa rasmi iliyotolewa na Idara Kuu ya Uhamiaji...
  14. Financial Analyst

    Kwanini sisi Waafrika tusitafute breed ya mbwa koko na mbwa mwitu?

    Wajerumani walifanikisha breed ya GS kutoka mbwa wa kawaida na wolf (mbweha), kwanini sisi waafrika tusitafute breed ya mbwa koko na mbwa mwitu? Ni aina ya mbwa ambao wako loyal sana kwa wenzao, pia ni wawindaji wasiokata tamaa ila atafaa kww ulinzi kutokana na asili yake ya mwituni.
  15. M

    Waafrika tunajivunia tulivyoumbwa mfano nguvu za mwili au vitu tulivyovikuta kama mito, milima na madini, kwanini hatujisifii vitu tulivyotengeneza ?

    Unajua, sehemu kubwa ya fahari ya jamii yoyote duniani hutokana na vitu walivyovibuni au kuviumba wao wenyewe. Waarabu walitoa mchango mkubwa kwenye mfumo wa namba, wazungu wameunda teknolojia na uvumbuzi usiohesabika, Wachina na Wahindi nao wameacha alama kubwa kupitia kazi na ubunifu wao...
  16. M

    Pesa zinazokusanywa ni kwajili ya kuendeleza Dar, Dodoma na Zanzibar ? mikoa mingi imekuwa vyanzo vya mapato bila kupewa umuhimu kwenye maendeleo

    Kuna mikoa huchangia mamia ya mabilioni ya kodi kila mwaka kupitia biashara, kilimo, madini na shughuli nyingine za kiuchumi. Lakini ukifika hata makao makuu na majiji ya mikoa hiyo, maendeleo hayaendani kabisa na mchango wao, Inasikitisha kuona kuwa sehemu kubwa ya mapato hayo yanaelekezwa...
  17. Am the One

    TUSIPOJITUMA TUTATUMWA: Ukweli Mchungu Kuhusu Mustakabali wa Afrika

    TUSIPOJITUMA TUTATUMWA: Ukweli Mchungu Kuhusu Mustakabali wa Afrika. Kuna jambo la kutisha linaloendelea sasa hivi: Vijana wa Kitanzania na Waafrika kwa ujumla wanalegezwa taratibu na mambo yasiyo na tija. Kamari, uraibu wa michezo bila uzalishaji, na anasa za muda mfupi zimekuwa kipaumbele...
  18. Eli Cohen

    Tumekuwa na ndoto kama waafrika kwamba itakuja kutokea mtu mmoja wa kutukomboa lakini nasikitika kusema it will never happen

    UBINAFSI ULAFI UKANDA TAMAA UNYAMA UMALAYA WA KISIASA. Hivi ni vitu ambavyo vipo kwa kila mwanadamu ila kwa mtu mweusi ndio pumzi yake. Tulipata watu wachache ambao waliviweka hivi kando ila mkaishia kuwageuka nyie wenyewe na kuwaua. Mnakula vya watu kwa ulafi huku mkisingizia wazungu kwa...
  19. Damaso

    Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Jana Jumanne bhana nikaamka na dhamira moja—kutafuta ukweli kuhusu ufadhili wa MEXT wa Japan. Nilikuwa na ndoto ya kuwasaidia vijana wangu wanne kufungua milango ya elimu ya kimataifa. Safari yangu iliniongoza hadi barabara ya Ali Hassan Mwinyi, Dar es Salaam, nikiwa na matumaini makubwa, ni...
  20. M

    Waafrika ni nyani tunaoelekea kuwa binadamu. Kama unabisha Tazama vita ya Israel na Iran

    Israel ni taifa dogo sana sawa na mkoa wa Morogoro kila siku wanarusha ndege kwenda Iran na Wanarudi, Kila siku makombora yanaanguka kwenye miji yao lakini umeme, maji, mafuta na huduma zote za kijamii haziathiriki. Tanzania na Waafrika tuna mataifa makubwa yanakila kitu lakini hata vyanzo vya...
Back
Top Bottom