Huwez kurud kwenye huu uzi, hiv kwann mnapiga sana ramli eny wa tzHapana,maana kuna wachezaji Wa Chelsea, wanasema waz kuwa hawampendi kocha wao
Mkuu vp umejificha wapi?????naona Uzi hautembei kabisa,au umewalisha watu matango pori????Sipendagi kuangalia mechi,wakati matokeo nakuwa najua nani anashinda katika mchezo.
Wazee Wa kubet kesho weka hata laki kwa man u.
How much you earn ?Sipendagi kuangalia mechi,wakati matokeo nakuwa najua nani anashinda katika mchezo.
Wazee Wa kubet kesho weka hata laki kwa man u.
Sikunyingine umbea wako usiulete humu utaumbukaAisee,ndo maajabu ya mpira haya,hata HAJI MANARA na JOSE MORINHO hawana hamu
Ni kweli kabisa mkuu, wana mgomo mkali sana....wanataka kocha wao afukuzwe.
Manu bhana, haya mgomo umewatokea puani myie.
Manu bhana, haya mgomo umewatokea puani myie.
Pole sana,mkuu........hata mi huku Hali ilikuwa ni tete,mpira una maajabu yakeIpo siku utakuja uchomwe moto adharani wewe,ona ulivyotutia umasikini wengine hiyo hera ya kubet tulichukua mkopo tena kwa riba kubwa.