Final ya kesho haina maana,coz Chelsea wana mgomo.

0ozg Tz

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
4,159
11,100
Sipendagi kuangalia mechi,wakati matokeo nakuwa najua nani anashinda katika mchezo.
Wazee Wa kubet kesho weka hata laki kwa man u.
 
Sipendagi kuangalia mechi,wakati matokeo nakuwa najua nani anashinda katika mchezo.
Wazee Wa kubet kesho weka hata laki kwa man u.
Mkuu vp umejificha wapi?????naona Uzi hautembei kabisa,au umewalisha watu matango pori????
 
Ipo siku utakuja uchomwe moto adharani wewe,ona ulivyotutia umasikini wengine hiyo hera ya kubet tulichukua mkopo tena kwa riba kubwa.
 
Ni kweli kabisa mkuu, wana mgomo mkali sana....wanataka kocha wao afukuzwe.
 
Back
Top Bottom